Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Ni ukweli mchungu, SA imekuwa fuc...na black people's, Tanzania imeibiwa mno na black people's kuliko hata wakoloni walivyoiba,Africa ni ushelisheli, Mauritius 🇲🇺, Namibia, Botswana na kidogo Ghana 🇬🇭, the rest ni shithole countries
Ghana yenyewe imeingia bankruptcy kutokana na ushenzi wa viongozi.

Hao Botswana washukuru mabepari wa kijerumani waliopo pale, at least kuna mwanga kwao.
 
Anza wewe kutokuandika maana na wewe ni mweusi Sasa akili umezipata wapi
 
South ilipo haribu n kulegeza masharti ya wageni kuingia pale watu wageni ndo wameharibu south
 
Naunga mkono hoja.
Screenshot_20221220-163733_WhatsApp.jpg
 
Ni ukweli mchungu, SA imekuwa fuc...na black people's, Tanzania imeibiwa mno na black people's kuliko hata wakoloni walivyoiba,Africa ni ushelisheli, Mauritius 🇲🇺, Namibia, Botswana na kidogo Ghana 🇬🇭, the rest ni shithole countries
Ninasemaga mara kwa mara kwamba SELFISHNESS ndio shida yetu kuu Africa !! Siku ikiondoka hiyo kitu mioyoni mwetu Africa itaendelea sana !! Watu wengi wanafikiria kujilimbikizia mali tu badala ya kufikiria kuziendeleza Nchi zao !! SELFISHNESS ndio Adui yetu Mkuu !!
 
Unataka upinde waje watuongoze wewe
 
Watu weusi tuna akili nadhani walioingia kwenye siasa na wanaotuongoza siyo wabunifu na uwezo wao haukidhi matakwa ya ofisi walizokalia
Mara paap unaukwaa urais. Unafikiri kuna lo lote ambalo utaweza kufanya ili kubadili mifumo hii ya kinyonyaji iliyowekwa na wakubwa wa dunia?

Angalizo: Ukijichanganya unauliwa!
 
Kwa uandishi huu kweli nimeamini wewe ni mtu mweusi na huna akili.

Uwaachie nchi kwa miaka 100 wakutawale halafu baada ya hiyo miaka ujipenyeze kuchukua utawala??!!--- kwa akili hiyo hata ya kuku inayo afadhali.

Katika hiyo Miaka 100 wewe hutakuwepo, na tayari itakuwepo generation nyingine na mabadiliko ya kiuchumi na kijamii na mitazamo mipya kiasi kwamba hiyo azima ya wetu weusi kujipenyeza kushika madaraka ikawa ni ndoto ukizingatia kwamba madaraka yalivyokuwa matamu na ukute hao mliowakabidhi nchi wawe ni makatili/madikteta hapo ndio kabisa usahau kushika madaraka na utakuwa umejiingiza kwenye ukoloni/utumwa kwa kujitakia.

Turidhike na hali zetu na tujibidishe kwa kadiri tutavyoweza kwani akili hizi na uwezo wetu katupatia Mungu na wala sio kutokana na juhudi zetu binafsi, basi tusijidharau na kumkufuru Mungu.
Umenena vyema kabisa.
 
Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)

Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.

Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.

Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.

South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.

Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.

Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.

MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Na uwakika hujawahi kufanya kazi wala kuishi na watu weupe la sivyo usingeandika hivi.
 
Si mmekataa serikali ya majimbo lakini! Huu mfumo ungeleta maendeleo sana hasa mikoa yenye rasilimali kubwa kusaidia mikoa ya jirani yake ambayo iko less fortune.
Mkuu, kwa kweli kwa sasa Tanzania ilipawa kuendeshwa ki-majimbo tena yasizidi 7. Serikali ya Majimbo huleta maendeleo ya haraka kwenye Jimbo na Nchi kwa ujumla. Majimbo yote yapo vizuri kiuchumi. Kwa mfano:- 1. JIMBO LA KUSINI; kuna Korosho, Tumbaku, gas, madini, mafuta, makaa ya mawe, bandari, uvuvi n.k; 2. JIMBO LA PWANI: korosho, uvuvi, viwanda, kilimo, bandari, kiwanja cha ndege, gas, madini n.k; 3.JIMBO LA KASKAZINI MASHARIKI: bandari, mkonge, kahawa, madini, utalii, uvuvi, mifugo n. k; 4;
JIMBO LA KASKAZINI: Madini, mifugo, uvuvi, pamba, kahawa utalii n.k; 5; JIMBO LA KATI: Madini, Zabibu, Alizeti, mifugo, viwanda, utalii n.k;
6. JIMBO LA MAGHARIBI: Madini, uwindaji wa kitalii, uvuvi, mawese, nk; 7 JIMBO LA KUSINI NYANDA ZA JUU; madini, uvuvi, Kahawa, vanilla, pareto, mbao, chai, makaa ya mawe n.k..
Mazao mengine yote ambayo hayakutajwa kwenye majimbo yanapatikana kwenye majimbo karibia yote.
Kwa mantiki hiyo kila JIMBO LIPO VIZURI
 
Na uwakika hujawahi kufanya kazi wala kuishi na watu weupe la sivyo usingeandika hivi.
Nimeishi na kufanya kazi na wachina naelewa nacho zungumza.
 
Back
Top Bottom