Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha... acha nicheke tu.Nimeishi na kufanya kazi na wachina naelewa nacho zungumza.
Tuna jinyonya wenyewe kwa upumbavu wetu hakuna anaye toka ng'ambo.Mara paap unaukwaa urais. Unafikiri kuna lo lote ambalo utaweza kufanya ili kubadili mifumo hii ya kinyonyaji iliyowekwa na wakubwa wa dunia?
Angalizo: Ukijichanganya unauliwa!
Madaraka ni matamu hasa kwa ngozi nyeusi na waarabu,kwa race zingine mambo ni tofauti.Kwa uandishi huu kweli nimeamini wewe ni mtu mweusi na huna akili.
Uwaachie nchi kwa miaka 100 wakutawale halafu baada ya hiyo miaka ujipenyeze kuchukua utawala??!!--- kwa akili hiyo hata ya kuku inayo afadhali.
Katika hiyo Miaka 100 wewe hutakuwepo, na tayari itakuwepo generation nyingine na mabadiliko ya kiuchumi na kijamii na mitazamo mipya kiasi kwamba hiyo azima ya wetu weusi kujipenyeza kushika madaraka ikawa ni ndoto ukizingatia kwamba madaraka yalivyokuwa matamu na ukute hao mliowakabidhi nchi wawe ni makatili/madikteta hapo ndio kabisa usahau kushika madaraka na utakuwa umejiingiza kwenye ukoloni/utumwa kwa kujitakia.
Turidhike na hali zetu na tujibidishe kwa kadiri tutavyoweza kwani akili hizi na uwezo wetu katupatia Mungu na wala sio kutokana na juhudi zetu binafsi, basi tusijidharau na kumkufuru Mungu kwani yawezekana hii hali yetu unayoiona dhalili labda ni makusudio fulani ya Mungu ambayo hatuyajui ambapo faida yake tutakuja kuiona bila kutarajia, isitoshe binadamu hatuwezi wote kulingana, hata maumbile yetu ni tofauti sasa hii ipo juu ya yule aliyetuumba.
Wazungu ndio wameendelea sana lakini hao ndio mashoga wa kutupwa na Uchafu wao huo wangependa kuuleta huku kwetu, ilmuradi hakuna zuri lisilokuwa na kasoro.
Kila siku hua nasema humu naonekana mbaya narudia tena Nyerere na mashoga zake waliojifanya kudai Uhuru wakati tulikua hatujaweza kujitawala bado ndio wametufikisha hapa Sisi watu weusi bado hatuna uwezo wa kujitawala tuliwahi sanaa kuwafukuza wakoloni muda ulikua bado tunakoelekea vizazi vitakuja kufahamu hili hawa kina Nyerere walikua na tamaa ya uongozi tu hatutakiwi kuwasifia ilitakiwa tuchape makaburi Yao bakora za kutosha yametuingiza kwenye shida nyingi Kwa sababu ya Shobo dundo zaoKwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)
Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.
Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.
Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.
South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.
Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.
Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.
MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Serikali za majimbo zina wafaa watu walio na akili pekee kama ambavyo democracy ina hitaji watu wa namna hio bila hivyo umasikini na rushwa vita tawala katika majimbo.Mkuu, kwa kweli kwa sasa Tanzania ilipawa kuendeshwa ki-majimbo tena yasizidi 7. Serikali ya Majimbo huleta maendeleo ya haraka kwenye Jimbo na Nchi kwa ujumla. Majimbo yote yapo vizuri kiuchumi. Kwa mfano:- 1. JIMBO LA KUSINI; kuna Korosho, Tumbaku, gas, madini, mafuta, makaa ya mawe, bandari, uvuvi n.k; 2. JIMBO LA PWANI: korosho, uvuvi, viwanda, kilimo, bandari, kiwanja cha ndege, gas, madini n.k; 3.JIMBO LA KASKAZINI MASHARIKI: bandari, mkonge, kahawa, madini, utalii, uvuvi, mifugo n. k; 4;
JIMBO LA KASKAZINI: Madini, mifugo, uvuvi, pamba, kahawa utalii n.k; 5; JIMBO LA KATI: Madini, Zabibu, Alizeti, mifugo, viwanda, utalii n.k;
6. JIMBO LA MAGHARIBI: Madini, uwindaji wa kitalii, uvuvi, mawese, nk; 7 JIMBO LA KUSINI NYANDA ZA JUU; madini, uvuvi, Kahawa, vanilla, pareto, mbao, chai, makaa ya mawe n.k..
Mazao mengine yote ambayo hayakutajwa kwenye majimbo yanapatikana kwenye majimbo karibia yote.
Kwa mantiki hiyo kila JIMBO LIPO VIZURI
Upo sahihi 100% sisi bado sana kujitawala katika njia iliyo bora.Kila siku hua nasema humu naonekana mbaya narudia tena Nyerere na mashoga zake waliojifanya kudai Uhuru wakati tulikua hatujaweza kujitawala bado ndio wametufikisha hapa Sisi watu weusi bado hatuna uwezo wa kujitawala tuliwahi sanaa kuwafukuza wakoloni muda ulikua bado tunakoelekea vizazi vitakuja kufahamu hili hawa kina Nyerere walikua na tamaa ya uongozi tu hatutakiwi kuwasifia ilitakiwa tuchape makaburi Yao bakora za kutosha yametuingiza kwenye shida nyingi Kwa sababu ya Shobo dundo zao
Eheeee, chukulia hii ya Eskom South Africa, yaani Rais alikuwa anaongoza looting na wale wahind. kama mwinyi na Chavda, kikwete na EPA na yule muhindI, lini Rais wa India au China ataingia njama na wewe mswahili aibie nchi yake? Only in Afric, Mobutu, Zum, kikwete, mwiny, Chiluba, Grace Mugabe, Dos santos etc etc etcNawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Naomba uelewe mweupe atajenga kwake lakini siyo kwako mwafrika na hata hivyo kwanini watusaidie.Mfano mwepesi ni huu tazama China inavyo jiongoza na sisi ? Tafakari halafu jipe jibu wewe mwenyewe.
Positivity, sometimes unapofanya research moyo unakuuma, ni conscience binadamu wote wanayo lakini huo ndiyo ukweliNawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Wanapaswa wawe raia wa kudumu wa nchi zetu. tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa mpaka sasa tumeshindwa over.Naomba uelewe mweupe atajenga kwake lakini siyo kwako mwafrika na hata hivyo kwanini watusaidie.
Waafrika tutafute vya kwetu.
Hao watu hawana mtazamo huu ndio maana nimesema huwajui.Wanapaswa wawe raia wa kudumu wa nchini zetu. tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa mpaka sasa tumeshindwa over.
Self interest. Always wapo for their interest.Wana mtazamo upi ?
Ni nyingi lakini kumsaidia Mwafrika siyo moja wapo. Jaribu kutembea Ulaya, Marekani na huko China utajua dhamani ya Mwafrika.Interest zao ni zipi ?