Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Unapo uliza swali la namna hii unabidi ujiulize pia wenyeji wa hizo nchi na wageni ?

Swala la kukuandikia historia ya kila taifa halina maana, swala nime kutajia nchi hizo zilizo na wenyeji wanao ongozwa na wageni.

Ukitaka historia zaidi ya hayo mataifa tumia muda wako kufuatilia hilo, nimekwisha kutajia nchi za kuanzia.


Je hao wao walikaribisha wageni nchini mwao waje kuwaongoza?? Je hao wageni walizaliana na hao wenyeji??

Hizo ni ideas zako zilizomo kwenye mada yako na inabidi ujibu hayo maswali kutetea hizo ideas zako.
 
Hii post ni ya kipumbavu sana watu weusi tuna akili sana sema mifumo yetu ndo ya kipumbavu , tunaweza fan
Ya makubwa ila ndo hivyo ,unakuta watu eti deni limeiva na unaenda kopa t kadhaa ili ulipe mikopo wakati una mpaka tozo, mambo ya kihuni
Haya yote uliyo andika ana fanya mtu aliye kosa akili.
 
Report hata sasa hautakuwa mtu wa kwanza kufanya hivyo, Ila kaa tambua akili hamna.

Bitter truth.


Wewe ndio kabisa huna akili kwa kushika nia ya hovyo ambayo haijawahi kushikwa na nchi yoyote duniani, njia ya kukabidhi UONGOZI kwa wageni!! , wakikuletea tamaduni zao za ushoga nk, utamlaumu nani??, wakati huo wewe umeshakufa umeacha nyuma yako kizazi chako cha mashoga!!-- inakuwa ni nchi ya kufira na na kusagana kwa kwenda mbele.
Sweet truth.
 
Wewe ndio kabisa huna akili kwa kushika nia ya hovyo ambayo haijawahi kushikwa na nchi yoyote duniani, njia ya kukabidhi UONGOZI kwa wageni!! , wakikuletea tamaduni zao za ushoga nk, utamlaumu nani??, wakati huo wewe umeshakufa umeacha nyuma yako kizazi chako cha mashoga!!-- inakuwa ni nchi ya kufira na na kusagana kwa kwenda mbele.
Umeshindwa kureport uzi ufungiwe ? au nikusaidie kufanya hivyo ?

Swala ni kuwa akili ya uongozi hatuna, siku tukipata ukiwa hai ndio utaelewa nini hasa nacho zungumza ila kaa tambua hatuna akili ya uongozi.

Bitter truth.
 
Si mmekataa serikali ya majimbo lakini! Huu mfumo ungeleta maendeleo sana hasa mikoa yenye rasilimali kubwa kusaidia mikoa ya jirani yake ambayo iko less fortune.
Hakuna mkoa usio na rasilimali za kutosha tanzania.kama unabisha taja uone
 
weusi wa South Africa wamenishamgaza sana. South Africa inaweza kuwa ndiyo uthibitisho mkubwa. Nasikia hata Liberia walikuwa wamatekani weusi waliorudi kutawala nchi na zikaanza vita, yaani hopeless
Zimbabwe wakati huo ikiitwa South Rhodesia ilikuwa kama ulaya mji wake mkuu Salisbury kwa sasa Harareulikuwa unang'aa.
Baada ya kukabidhiwa mweusi kila kitu kikawa giza.
 
Hao wazungu una wazidi nini wewe mtu mweusi ? Au una wazidi ujinga na kukosa akili.
Tatizo letu kubwa ni kukosa kujiamini au kujikubali. Hali hii imetokana na hao wazungu walipokuja wakatuvuruga na kuona kile tulichokuwa tunafanya si chema.

Kama historia inasema kweli juu ya mabadiliko na hatua za maendeleo ya watu wa kwanza, kuwa walichonga mawe, wakafikia hatua ya kufua vyuma ili kupata vifaa mbali mbali na mambo mengi ya kimaendeleo. Je, kama wageni wasingeingilia mifumo yetu ya ubunifu unadhani leo hii tungekuwa wapi? Tungewaza utegemezi kama unavyowaza?
Wageni walipoona tuna hatua fulani ya ubunifu, wakadai kuwa tuyafanyayo Ni ya kishenzi. Wakazidi kutu-terrorise kwa kukamata viongozi wetu, kuharibu tamaduni zetu. Wakeleta mambo ya kwao ili kuwanufaisha wao. Hapa ndipo tulipoanza kuharibikiwa. Wakatubwetesha kutuletea elimu ambayo kwa wale ambao walionekana wabunifu miongoni mwetu waliwachukuwa kwenda kuwafanyia kazi zao, hii ilifanyika kuzima maono ya wale walioonyesha upeo wa kufahamu mengi.
Mambo ni mengi Ila kijumla ni uzuzu kuwaza nchi kuikabidhi kuendeshwa au kuingizwa na wazungu. Ni kujidharau kusikofaa. Ningekuunga mkono Kama ungekaribisha mjadala na michango mbali mbali namba gani juhudi zifanyike ili kupata maendeleo.
Kama wewe huna akili juu ya nini tufanye ili tuijenge nchi na kupata maendeleo; wapo watu humu wana maono mazuri Ila tu hawako katika nafasi za maamuzi.
 
Tatizo letu kubwa ni kukosa kujiamini au kujikubali. Hali hii imetokana na hao wazungu walipokuja wakatuvuruga na kuona kile tulichokuwa tunafanya si chema.

Kama historia inasema kweli juu ya mabadiliko na hatua za maendeleo ya watu wa kwanza, kuwa walichonga mawe, wakafikia hatua ya kufua vyuma ili kupata vifaa mbali mbali na mambo mengi ya kimaendeleo. Je, kama wageni wasingeingilia mifumo yetu ya ubunifu unadhani leo hii tungekuwa wapi? Tungewaza utegemezi kama unavyowaza?
Wageni walipoona tuna hatua fulani ya ubunifu, wakadai kuwa tuyafanyayo Ni ya kishenzi. Wakazidi kutu-terrorise kwa kukamata viongozi wetu, kuharibu tamaduni zetu. Wakeleta mambo ya kwao ili kuwanufaisha wao. Hapa ndipo tulipoanza kuharibikiwa. Wakatubwetesha kutuletea elimu ambayo kwa wale ambao walionekana wabunifu miongoni mwetu waliwachukuwa kwenda kuwafanyia kazi zao, hii ilifanyika kuzima maono ya wale walioonyesha upeo wa kufahamu mengi.
Mambo ni mengi Ila kijumla ni uzuzu kuwaza nchi kuikabidhi kuendeshwa au kuingizwa na wazungu. Ni kujidharau kusikofaa. Ningekuunga mkono Kama ungekaribisha mjadala na michango mbali mbali namba gani juhudi zifanyike ili kupata maendeleo.
Kama wewe huna akili juu ya nini tufanye ili tuijenge nchi na kupata maendeleo; wapo watu humu wana maono mazuri Ila tu hawako katika nafasi za maamuzi.
Wazungu wali tukuta tupo tuna vaa magome ya miti wengine uchi unaita hayo maendeleo ?

Machifu wanapewa nguo wanakamata weusi wenzao na kufanya kama zawadi ya utumwa hiyo ni akili ?

Wazungu wali tukuta tupo duni na wala hatuku fanana nao kwa chochote kile angalau unge niambia kuhusu uchina na maendeleo ningekuelewa kwa haraka sana.

Tulikuwa duni tuka inuliwa kwa ubabe ubabe wa wazungu tuka anza kupaa, weusi walivyo chukua madaraka tukaanza kudidimia tena pumbavu kabisa.
 
Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)

Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.

Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.

Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.

South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.

Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.

Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.

MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Nikiwa Rais Mtalimia meno !
 
Wazungu wali tukuta tupo tuna vaa magome ya miti wengine uchi unaita hayo maendeleo ?

Machifu wanapewa nguo wanakamata weusi wenzao na kufanya kama zawadi ya utumwa hiyo ni akili ?

Wazungu wali tukuta tupo duni na wala hatuku fanana nao kwa chochote kile angalau unge niambia kuhusu uchina na maendeleo ningekuelewa kwa haraka sana.

Tulikuwa duni tuka inuliwa kwa ubabe ubabe wa wazungu tuka anza kupaa, weusi walivyo chukua madaraka tukaanza kudidimia tena pumbavu kabisa.
VERY SHORT AND CLEAR, HUJITAMBUI. BADO UNA VIELEMENT VYA KUTAWALIWA.
YOU ARE GOOD FOR NOTHING.
 
Umeshindwa kureport uzi ufungiwe ? au nikusaidie kufanya hivyo ?

Swala ni kuwa akili ya uongozi hatuna, siku tukipata ukiwa hai ndio utaelewa nini hasa nacho zung umza ila kaa tambua hatuna akili ya uongozi.

Bitter truth.


Nani kapinga kwamba hatuna akili ya uongozi??.

Ninachopinga ni hizo ideas zako za kupata hao viongozi wenye akili, ideas ambazo hazijawahi kuwa implemented popote duniani na sidhani kama zitawahi kuwa implemented in the future, ni ideas destructives na sio constructives.

Tafuta ideas zingine ili tuzijadili na sio hizo.
 
Nyerere alikuwa mzuri kwenye siasa na sio kwenye uchumi, hakuwahi zalisha bali alitumia akiba aliyoachiwa na wakoloni
Viongozi wote wa kiafrika duniani ni wazuri sana kwa kuongea , ila utendaji ni sifuri.

Hata waafrika wanaofanya kazi zao kwa ufanisi ni wale ambao unakuta mabosi zao sio waafrika wenzao.
 
Asante kwa kunielewa.


Tutafute suluhu inayofaa ili tupate viongozi wenye akili na sio kwenda kuokoteza huko nje mercenaries wa kigeni kuja kututawala kuua uhuru wetu tulioupigania kwa damu na jasho.
 
MUNGU alikuwa na makusudi ya kuibalance dunia, afrika ni kwa ajili ya raslimali za dunia
Hata China na Marekani wana rasilimali.

Ila Afrika kuna rasimali plus watu wasiojitambua kuanzia viongozi wao wa juu wa ccm hadi chini kabisaaa.
 
Katika hao watu weupe unaowapenda na kuwaona ni bora sana kuliko mtu mweusi pia wapo Wahalifu, Mashoga, Wazinzi nk, sasa hebu niambie utafuata kigezo gani cha kuwapata hao rafiki zako weupe unaowapenda na uwakabidhi wawe viongozi katika nchi yako bila kuwapata wahalifu??

Lazima ukubali kwamba uhalifu pia upo kwa watu weupe.
Wakati wa ukoloni , wazungu wengi waliokuja kulowea Afrika walikuwa kwenye kundi la surplus population ambalo kwa kias kikubwa linaundwa na hao watu wa hovyo hovyo .
 
Back
Top Bottom