Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Sio kweli CCM na vyama vyote vilivyorithi ukoloni ni makatiri na wezi kuliko Wakoloni wenyewe. Apa ni Katiba Mpya kuondoa mifumo ya kikoloni.
 
Sio kweli CCM na vyama vyote vilivyorithi ukoloni ni makatiri na wezi kuliko Wakoloni wenyewe. Apa ni Katiba Mpya kuondoa mifumo ya kikoloni.
CCM na hivyo vyama vingine ni watu weusi hao hao.
 
Lee Kwan Ye Rais wa kwanza wa Singapore alikuwa classmate wa Nyerere, na Lee alimsifia sana Nyerere alivyokuwa anaimba mashahiri ya Shakespeare na alitafsiri Kwa Kiswahili, ila Lee alipoulizwa wewe umefanyaje Singapore kuwa advanced na Nyerere kufanya Tanzania banana republic, Lee alisema hata yeye hajui kwa sababu Nyerere alikuwa extra intelligent sijui kilichomshinda ni nini
Alikumbatia falsafa za kijinga, Lee alimuonya kuwa hazina faida kwa taifa lake.
 
Nasikitika kakini nakiri uko sahihi kwa asilimia 99.
Sisi watu weusi na mamlaka, vyeo, Mali na madaraka kwa ujumla ndio udhaifu wetu.
Nadhani ukitaka kumbomoa au kumuangamiza mtu mweusi mpe madaraka, Mali, mamlaka ama uluwwa au ukubwa hapo ndio utaona tulivyo mapoyoyo.
Najua wengine hapa wataanza kubisha lakini hebu tuangalie mifano michache
(1) South Africa ya mkaburu na ya mtu mweusi.
(2) South Rhodesia (Zimbabwe) ya mzungu na Zimbabwe ya mtu mweusi.
(3) Tanganyika ya Sir Edward Twining na Danganyika chini ya mafisiem aka mkoloni mweusi.
(4) Zanzibari chini ya usultan wa ukoo wa Abu Said na Zenj ya mtu mweusi chini ya Chama Cha Majambazi.
(5) Namibia , Nigeria, Mozambique, Botswana, Kenya.........nk
List ni ndefu mnoooo , na hakuna hata sehemu moja khusasan huku kusini mwa jangwa la sahara ambapo utasema kuna afadhali.
Ni nuksi na mikosi tu raia dhidi ya mafisadi na marafiki, jamaa na ndugu zao.
Wote tuna shida kila kona
 
TUNSA FAIDA GANI DUNIANI? LAKINI WATAWALA NDILO TATIZO KUBWA
Mimi naona shida ni jamii ambayo inazalisha hao watawala, kinachofanywa na hao watawala kinaakisi mtazamo mzima wa jamii, ndiyo maana tunabadilisha viongozi au vyama kila wakati lakini mambo ni yale yale
 
Lee Kwan Ye Rais wa kwanza wa Singapore alikuwa classmate wa Nyerere, na Lee alimsifia sana Nyerere alivyokuwa anaimba mashahiri ya Shakespeare na alitafsiri Kwa Kiswahili, ila Lee alipoulizwa wewe umefanyaje Singapore kuwa advanced na Nyerere kufanya Tanzania banana republic, Lee alisema hata yeye hajui kwa sababu Nyerere alikuwa extra intelligent sijui kilichomshinda ni nini
Wapo wengi sana ambao wanakuwa brilliant kwenye mfumo wa elimu wa kimagharibi ambao tumerithishwa na Wazungu. However that does not have much to say about the masses that are left behind in the European based educational system and the majority of which cannot catch up fat enough with the White Man’s way of thinking. You dig? Wazungu wapo extremely sophisticated, huwezi kushindana nao. Waafrika tumebaki kuiga chochote kipya kutoka kwao. Lkn kwao huko kuwa hivyo ni akili ya kawaida ya kila siku. Ni mfumo wao wa maisha au ustaarbu wao ndiyo umesababisha watu wafikiri Wazungu wana akili kuliko Waafrika.
 
Back
Top Bottom