Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Status
Not open for further replies.

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
7,591
Reaction score
6,946
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi👇🏼
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

20220130_230446.jpg
20220130_230643.jpg
20220130_231039.jpg
20220130_231137.jpg
20220130_231221.jpg
20220130_231421.jpg
20220130_231859.jpg
20220130_231945.jpg
20220130_232022.jpg
20220130_232102.jpg
20220130_232137.jpg
20220130_232223.jpg
20220130_232255.jpg

20220204_114835.jpg
20220204_115002.jpg
20220204_115114.jpg
20220204_115300.jpg
20220204_115424.jpg
20220204_115514.jpg
20220204_115539.jpg
20220204_120147.jpg

Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
 
Ili kuweka kumbukumbu sawa, waarabu hawachukuliwi kama watu weupe ila "coloured people" kama walivyo wahindi ,walatino etc. Siyo blacks wote waliokuwa wanataka hawa waarabu wotoke ila kila mmoja alikuwa na mtizamo wake.

Ni kama wewe na baadhi yenu mlivyokuwa mnataka waarabu wafanye vizuri, hakuna aliyewashtumu.

Kwa waarabu wana historia nyingi inayowahukumu dhidi ya waafrika. Unge balance vizuri hii habari kama ungeleta comments za waarabu vile walivyokuwa wanazishabikia hizi timu tunazoita za blacks.
 
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi[emoji1370]
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
Nadhani chuki inaanzia kwenye vitabu vya kihistoria hasa mada za ukoloni lakini pia mtindo wa maisha wa hao waarabu wenyewe. Wanaishi kwa kujitenga tenga(yawezekana wana lengo zuri lenye maslahi kwa upande wao) lakini kwa jamii zetu za kiafrika hio ni nongwa tena kubwa.

Watu wanataka changanyikeni yaani kwa mfano mwarabu akifariki washiriki msiba tena wale na ubwabwa pamoja hadi washibe sasa unakuta msiba wanaoubeba wao kama wao tu tena kimya kimya. Hahahahaaaaa.

NB: Nachukia ubaguzi wa aina yoyote ile.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol

Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,

[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]
 
Hii habari haijakamilika bila kuleta comments za waarabu timu zao zikicheza na mataifa yenye watu weusi (majority)

Anzisha na wewe mada za waarabu kama utakutana na comments za kipumbavu na uwendawazimu kama za watu weusi, mtu mpaka anatukana "waarabu wanafitina mbwa hawa" huoni kuwa hii ni chuki!!!!! Acha kutetea ujinga bwana, kemea ubaguzi
 
Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol

Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,

[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]

Watu weusi ni wabaguzi kupindukia, kubaguana wao kwa wao, na chuki imewakaa kwenye damu dhidi ya waarabu, japo co wote, wakifuatiwa na wahindi, wayahudi, waamerika na wazungu kwa ujumla.
 
Hayo ni maneno tu ya kimichezo ushabiki upo wa kibara,kikanda na wa ki nchi Mimi kama mtanzania ikicheza Uganda na morocco bila unafiki nitashabikia Uganda na huo ndio ushabiki wa kikanda.kwa husimshutumu mtu kwa kuonyesha interest zake.
 
Ndugu yangu watu weusi ndo wanaongoza duniani kwa kutokua wabaguzi. Huku kwetu warabu tunaishi nao mitaa yote. Had wengine ni viongozi wakubwa serikalin. Ila uarabuni huwezi Kuta kitu kama hicho. Kila sku tunaskia taarifa za mateso kwa wafanyakazi wa ndani huko uarabun
 
Ndugu yangu watu weusi ndo wanaongoza duniani kwa kutokua wabaguzi. Huku kwetu warabu tunaishi nao mitaa yote. Had wengine ni viongozi wakubwa serikalin. Ila uarabuni huwezi Kuta kitu kama hicho. Kila sku tunaskia taarifa za mateso kwa wafanyakazi wa ndani huko uarabun

Wewe huijui rangi nyeusi sema tu ndo hivyo hawana nguvu ya kiuchumi ila dunia ingejuta
 
Mbona sio kwa Waarabu tu, unafuatilia World Cup?
mechi mfano ya Ghana vs Uruguay, Waafrica wote walikuwa upande wa Ghana

Au labda Nigeria vs Russia, Waafrica kama wote watakuwa upande wa Nigeria

Nadhani inaketwa tu na ushabiki tu wa mtu kuchagua cha kwao zaidi ya chuki, japo chuki ipo sikatai

Mfano ikitokea Tz vs Uganda, Watz watakuwa upande wa Uganda sio kwa sababu wanaichukia Uganda, bali wanaipenda zaidi Tz
 
Mtu kushabikia timu anayoipenda sioni kama ni dhambi lakini kama 90% ya mashabiki walikuwa wanaziombea timu za waafrica weusi, hapo nadhani hao waafrica weupe ndio wanaotakiwa kujitathimini uhusiano wao na waafirca wenzao weusi.

Maana kama suala la ubaguzi limeanza kwao mpaka leo huwezi kuta mwarabu ameoa/ameolewa na mwafrica mwenye rangi nyeusi tofauti na wale ambao ni zao la biashara za utumwa.

Mimi sababu zangu za kutozishabikia hizo timu za kaskazini mwa Africa yaani Algeria,Egypt, Mali, Morocco nk ni moja tu hizi timu hazijawah onyesha umwamba wao/ukubwa wao zinapokuwa zimefuzu world cup yaani huwa zinaishia makundi some times with no points.

Zinachezea kichapo tuu na kufurushwa basi hata kama umefurushwa basi hata kagoli ka kufutia machozi tofauti na hizi za mablack wanafaiti unaona kabisa hawa kuna jambo waliliendea ila labda miuondo mbinu na uzoefu zimewafelisha ndio maana ushabiki wangu uko kwa blacks kusema cha moyoni,

Nawashukurur sana Senegal kwa kubeba hili kombe
 
Shida ni uarabu au uislam? Ungetoa uislam maana kuna waislam wengi tu walifurahi Egypt walivyofungwa.
Kama ni ubaguzi kila sehemu kuna ubaguzi na ubaguzi hauwezi kuisha watu wa familia moja tu wanabaguana Sasa watashindwa vipi kubagua watu wa nje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom