Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Status
Not open for further replies.
mkuu nilikuwa nakufatilia vizuri mpaka ulipoingiza mambo ya dini/uislam. Labda kama tu ulikuwa ufahamu
  1. Asilimia zaidi ya tisini (90%) ya wakaazi wote wa Senegal ni waislam
  2. burkina faso waislam 62%
  3. comoro waislam 98.2%
  4. Chad waislam 55%
  5. Gambia waislam 95%
  6. Guinea waislam 84%
  7. Mali waislam 94%
  8. Somalia Karibia wote kabisa waislam
  9. Sierra leone 78%
Nakadhalika nakadhalika..... Katika hizo nchi chache nilizokutajia hapo zipi zilikuwa zinashabikia "waislam" wenzao misri, na zipi zilikuwa zinashabikia "wasiokuwa" waislam senegali? mbona kila kitu tu lazima dini iingizwe?watu hawawezi kuwa na sababu nyingine zaidi ya dini?Sio kila kitu kinachomuhusu mwarabu basi kinahusu uislam jifunze kutofautisha...
Uyu jamaa ni mdini wewe tafuta ata mada zake nyingine za nyuma lakini uzuri watanzania kwenye udini atupo nadhani kajionea comment za wadau umu jinsi wanavyowaza.
 
Bora niwe mbaguzi tuu siwezi kumpenda mwarabu au color yoyote mbele ya mweusi mwenzangu, charity starts at home... Wenyewe walitubagua na kututesa so tukipata nafasi kama hizi tunapooza machungu
 
Ukiona kuna chuki lazima kuna jambo. Historia inaonyesha waarabu waliwatesa sana watu weusi- kumbuka waarabu ndiyo waliokuwa wanaenda kuwakamatia wazungu watumwa- kwahiyo hawa waarabu waliwafanyia kitu mbaya sana watu weusi, hata leo tunasikia habari za kutisha kwa watu weusi wanaopita Libya kujaribu kuzamia Ulaya, vile vile tunasikia habari mbaya sana kuhusu dada zetu wanaofanya kazi za ndani nchi za Uarabuni. Ukiwa unafuatilia taarifa mbali mbali - si rahisi umuone mwarabu kama rafiki yako.

Historia za kusadikika, hazina ukweli wowote. Ebu niambie wakina nani wameziandika na kuzisambaza hizo historia za kuwashutumu waarabu!!!
 
Mtu mweusi ndiye mhanga namba moja wa ubaguzi duniani huo ndiyo ukweli.
Mtu kusema mbona weusi kwa weusi wanabaguana it doesn't justify sisi kubaguliwa na race nyingine. Ukifanya comparison kati ya black race na race zingine, weusi tupo more social dhidi ya race zingine kuliko wao dhidi yetu.
Ukweli useme. Tunapojadili tujadili kwa fikra huru bila kufungwa na itikadi.
 
bali waafrika ni watu kutoka bara la afrika

Yahh, hata misry, morocco wanatambuwa wao wako bara la afrika. Sasa tatzo nini? Je ulitembelea nchi zao ukagundua hawa watu wanakataa kuwa siyo waafrika/katika bara la afrika!!!! Tunisia wana club inaitwa Club Africain

Club Africain is a Tunisian football club based in Tunis that competes in the Tunisian Championship. It fields several sport teams, including football, handball, basketball, swimming and volleyball

Je, Tanzania bara kuna club yoyote inaitwa Afrika?

Kemea ubaguzi, na siyo kuchochea.
 
Historia za kusadikika, hazina ukweli wowote. Ebu niambie wakina nani wameziandika na kuzisambaza hizo historia za kuwashutumu waarabu!!!
Ndugu walioandika ni waarabu wenyewe. Mfano mzuri ni kitabu kinachoitwa Sahih Al Buhari kina ukubwa wa mara 9 au 10 wa Qurani. Mambo yote mazuri na mabaya utayakuta humo ndani ya kitabu. Tatizo ukienda katika nyumba za ibada utakikuta hakina hata ukubwa wa daftari sababu wamefanya mchujo na baadhi ya tasfiri si sahihi.
 
Hakika, wengi wanaodai Waafrika ni Wabaguzi ni aidha wanajihami na Uislamu au Ukristo wao.

Ni wa kuonewa huruma tu.

Kujipendekeza kwa muarabu au mzungu hakutafanya watuchukulie nasi kuwa watu, zaidi ya kutuumiza zaidi.


(Chuki, ubaguzi, roho mbaya) haya yote yanaondosha maendeleo. Ndio maana black peoples most of them hawana maendeleo, wanaishi kichuki, roho mbaya na ubaguzi. Ukiwa na elements hizi tusahau kuendelea mzehe.


Kemea ubaguzi, na acha kuchochea.
 
(Chuki, ubaguzi, roho mbaya) haya yote yanaondosha maendeleo. Ndio maana black peoples most of them hawana maendeleo, wanaishi kichuki, roho mbaya na ubaguzi. Ukiwa na elements hizi sahau kuendelea mzehe. Na mtapata tabu mno.


Kemea ubaguzi, na acha kuchochea.
Tumeshawashtukia ninyi. Anguko lenu lipo karibu sana. Nyakati za kujinyekeza mezani mwa colonial masters zinaelekea ukingoni. Hatutakuwa wapole tena kunyenyekea Utumwa wetu.

Na hatuna haja na Maendeleo ambayo Tafsiri yake umemezeshwa na haohao wafurahiao Unyonge wako.
 
Ndugu walioandika ni waarabu wenyewe. Mfano mzuri ni kitabu kinachoitwa Sahih Al Buhari kina ukubwa wa mara 9 au 10 wa Qurani. Mambo yote mazuri na mabaya utayakuta humo ndani ya kitabu. Tatizo ukienda katika nyumba za ibada utakikuta hakina hata ukubwa wa daftari sababu wamefanya mchujo na baadhi ya tasfiri si sahihi.

Aise nimebaki kucheka tu 😁😁😁😁 kama hujui kitu kaa kimya kuliko kujiaibisha babaa.
 
Bora niwe mbaguzi tuu siwezi kumpenda mwarabu au color yoyote mbele ya mweusi mwenzangu, charity starts at home... Wenyewe walitubagua na kututesa so tukipata nafasi kama hizi tunapooza machungu

mchukulie mtu yeyote kuwa ni binadamu usione rangi angalia personality japo wengi tunafeli hapa
tunaona rangi na sio utu... sad
 
Aise nimebaki kucheka tu 😁😁😁😁 kama hujui kitu kaa kimya kuliko kujiaibisha babaa.
We unajua kitu gani? Kama unachojua ni kuskiza tuu bila ya kufanya utafiti mwenyewe huwezi niambia chochote.
Fanya utafiti acha porojo.
 
Hii kitu inaniumiza sana roho....
Mwaka jana mdogo angu alikuja kunishtakia kuwa kuna mwalimu kampiga bila kosa huku akimwambia kuwa eti babu zake walinyanyasika sana kwa kuteswa na babu zetu.
 
Ndugu yangu watu weusi ndo wanaongoza duniani kwa kutokua wabaguzi. Huku kwetu warabu tunaishi nao mitaa yote. Had wengine ni viongozi wakubwa serikalin. Ila uarabuni huwezi Kuta kitu kama hicho. Kila sku tunaskia taarifa za mateso kwa wafanyakazi wa ndani huko uarabun
Wema wa waafrica unatoka na karne za kulishwa propaganda kuwa wao ni dhaifu.

Wakati kwa wadamu mambo mengi mizizi yake ni hapa AFRICA.
 
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi[emoji1370]
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
Hivi kuna nchi ambayo muafrika akienda hathaminiwi kama Uarabuni??

Kiarabu ni kigumu kwahiyo kukosa mawasiliano na kutoelewa lugha kunasababisha kukosekana Kwa reference ya kimahusiano Kati ya waafrika wengi ukitaka uamini hata ikicheza China na England wengi watashabikia England [emoji23][emoji23][emoji23]

Just try to be positive.. lugha ni changamoto labda Kwa wale waislam kwao itakuwa ni rahisi sana
 
One sided story hao unaowatetea ni wabaguzi kupindukia ishi nao ujue matatizo yao hata Acheze Haiti Vs Tunisia mimi haiti.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom