Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Status
Not open for further replies.
Sifa kubwa ya mtu kuwa na ROHO mbaya ni sababu ya UMASIKINI tu mtu aliokuwa nao hakuna kitu kingine kwahiyo WAAFRICA sifa kubwa tuliyokuwa nayo ni umaskini wewe chukua mfano rahisi tu hapa hapa Tanzania utapata jibu anzia kwenye familia hadi kitaifa kwa ujumla utapata jibu rejea utawala wa tano matajiri wataishi kama mashetani.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Kama ni Waarabu tu, mfano ikicheza Cameroon vs Croatia, Waafrica watashangilia wapi?
Hili ndio jibu la swali nililomuuliza member niliyemquote?

Anyway umeuliza swali la kipumbavu sana,Cameroon ni Africa na Croatia ni Europe unataka kufananisha Senegal na Egypt ambazo zote zimo ndani ya bara la Afrika?

Mfano wako ni wa hovyo sana na hauna maana,au umekurupuka tu kutoka usingizini na ukacomment japo bila hata kunawa uso?
 
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi👇🏼
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
Vipi upo kiembe samaki au wapi? Bora mzungu atakuruhusu hata ukar kwake kwa amani Ila sio mwarabu mshenzi sana.

Imagine hata Hawa waarabu koko wa Kariakoo hauwezi kuona hata binti yake ameolewa na mwafrika acha asiye muislam Yani mwafrika muislam mwenzie tu ni kazi kupata mahusiano Tena wakiona yupo karibu wanamkimbiza mbali au mwanaume anaweza kutengwa kabisa.

Mwarabu wa Egypt, Libya na Tunisia wamekuwa wakijitoa kwamba wapo Africa tena wengi hawataki kabisa kuchangamana na waafrika.

Kimsingi Kuna race ambayo inaukataa uafrika (weusi) Kama hao Egypt, Libya, Djibouti, Tunisia, Morocco, Algeria, Ethiopia, North Sudan, hao wanajionaga sio waafrika na wakiona mwafrika mweusi wanambagua washenzi sana.
 
Mbona sio kwa Waarabu tu, unafuatilia World Cup?
mechi mfano ya Ghana vs Uruguay, Waafrica wote walikuwa upande wa Ghana

Au labda Nigeria vs Russia, Waafrica kama wote watakuwa upande wa Nigeria

Nadhani inaketwa tu na ushabiki tu wa mtu kuchagua cha kwao zaidi ya chuki, japo chuki ipo sikatai

Mfano ikitokea Tz vs Uganda, Watz watakuwa upande wa Uganda sio kwa sababu wanaichukia Uganda, bali wanaipenda zaidi Tz
Umeirukia mada na kuanza kukurupuka kucomment tu,hiyo mifano yako ni tofauti na mada,

Egypt ipo Africa na Senegal ipo Africa,ila "Waswahili" wengi waliamua kusupport Senegal coz ya ubaguzi wa rangi ya ngozi tu,

Uwe unajipa muda wa kuelewa maudhui ya thread kwanza.
 
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi👇🏼
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
Naomba ulicho fanya hapa yaani hizo screen short nenda kwenye magroup yeyote ya waarabau tena wa maifa mbali mbali then niletee hapa...ndio utajua weusi na waarabu nani wanaubaguzi...

Yaani mfano Tz inacheza na Misri then atokee mwarabu hata wa hapa bongo eti yupo ta tanzania nakuhakilishia itakuwa 01/100..

Huwajui waarabu ww......kwanza hata kuitwa waafrica hawataki, wanasema wanaishi africa ila sio waafrica...
 
Sifa kubwa ya mtu kuwa na ROHO mbaya ni sababu ya UMASIKINI tu mtu aliokuwa nao hakuna kitu kingine kwahiyo WAAFRICA sifa kubwa tuliyokuwa nayo ni umaskini wewe chukua mfano rahisi tu hapa hapa Tanzania utapata jibu anzia kwenye familia hadi kitaifa kwa ujumla utapata jibu rejea utawala wa tano matajiri wataishi kama mashetani.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe Mkuu,umasikini na wivu ndio chanzo cha roho mbaya.
 
Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol

Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,

[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]

Kwa kweli Ubaguzi duniani upo sana hata vita nyingi zilianza na ubaguzi na kutengana

Na tunajua ubaguzi ulivyo hata kuna makabila yanabaguana pia
Ila at least wametuachia Ikulu na majengo mengi kama wazungu walivyoacha maana wangetaka wangeyabomoa tu kama wana roho chafu
IMG_4316.jpg
 
Naomba ulicho fanya hapa yaani hizo screen short nenda kwenye magroup yeyote ya waarabau tena wa maifa mbali mbali then niletee hapa...ndio utajua weusi na waarabu nani wanaubaguzi...

Yaani mfano Tz inacheza na Misri then atokee mwarabu hata wa hapa bongo eti yupo ta tanzania nakuhakilishia itakuwa 01/100..

Huwajui waarabu ww......kwanza hata kuitwa waafrica hawataki, wanasema wanaishi africa ila sio waafrica...

Mimi nimeweka nilichokiona na siyo kuhadithiwa, kubali kataa waafrika wanawachukia waarabu na uisilamu kwa ujumla, japo siyo wote.

Swala la kuukataa uafrika, hueleweki kijana,,,, vipi wakubali kuitwa waafrika ilhali wao ni waarabu!!! Hivi inaingia akilini uwachukie kisa wao kujiita waarabu!!!! Kwaiyo hata wazungu na wahindi walioko afrika wakubali kuitwa waafrika ilhali wao siyo waafrika!!!!! Hoja mfu hizi, kuwa mwanaume na acheni kulialia bwana.
 
Umeirukia mada na kuanza kukurupuka kucomment tu,hiyo mifano yako ni tofauti na mada,

Egypt ipo Africa na Senegal ipo Africa,ila "Waswahili" wengi waliamua kusupport Senegal coz ya ubaguzi wa rangi ya ngozi tu,

Uwe unajipa muda wa kuelewa maudhui ya thread kwanza.
Generally, ushabiki wa mpira au wa kitu kingine chochote ndiyo ulivyo, mfano Kagera Sugar ikicheza na Mbeya Kwanza watu wa Mbeya watakuwa upande wa Mbeya Kwanza japo timu zote ni za Tanzania, na sio chuki

Watu wanasapoti timu za mji wao, nchi yao au ukanda wao kwanza kuliko za kwingineko
 
Waarabu wanachukiwa na baadhi ya watu ingawa sio wote kutokana na uchafu walioufanya enzi za ukoloni. Alafu pia kihistoria ni wavamizi wa eneo hilo la misri. Misri ilikuwa misri ya watu Weusi sio hiyo ya waarabu. Ni wavamizi. Alafu wengine huwatenga watu weusi katika sala misikitini.
 
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi[emoji1370]
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
Muulize Dickson Kibabage ubaguzi aliopata Tunisia hadi akaamua kurudi nyumbani .anakwambia wachezaji wenzake wa kiarabu wakiwa swimming pool akitaka yeye nae aingie kwenye swimming waarabu wanatoka.Achana na waarabu kabisa yaani afadhali hata mzungu.
 
Vipi upo kiembe samaki au wapi? Bora mzungu atakuruhusu hata ukar kwake kwa amani Ila sio mwarabu mshenzi sana.

Imagine hata Hawa waarabu koko wa Kariakoo hauwezi kuona hata binti yake ameolewa na mwafrika acha asiye muislam Yani mwafrika muislam mwenzie tu ni kazi kupata mahusiano Tena wakiona yupo karibu wanamkimbiza mbali au mwanaume anaweza kutengwa kabisa.

Mwarabu wa Egypt, Libya na Tunisia wamekuwa wakijitoa kwamba wapo Africa tena wengi hawataki kabisa kuchangamana na waafrika.

Kimsingi Kuna race ambayo inaukataa uafrika (weusi) Kama hao Egypt, Libya, Djibouti, Tunisia, Morocco, Algeria, Ethiopia, North Sudan, hao wanajionaga sio waafrika na wakiona mwafrika mweusi wanambagua washenzi sana.

Sasa lazima uowe/aolewe binti yako na mwarabu!!!! Wana haki kukataa.

Hivi kwa akili yako tu za kuzaliwa ingawa tunatofautiana imani, binti wa kiarabu utaweza kumhudumia? Utaweza ishinae kwa desturi zao na imani zao wewe kama mkristo/kafiri?? Tunajionea wanaume wa kiswahili wanavyowapa kipondo wake zao na kutoka nje ya ndoa japo siyo wote, sasa mwanamke gani wa kiisilamu/kiarabu ataweza kuvumilia huu upumbafu mlionao!!!!!


Wewe endelea kuteseka, lakini ukweli ni kwamba waafrika ni wabaguzi japo siyo wote,,,,waarabu most of them wana roho nzuri na wakarimu sana sana, japo wako baadhi tu siyo wazuri.
 
Muulize Dickson Kibabage ubaguzi aliopata Tunisia hadi akaamua kurudi nyumbani .anakwambia wachezaji wenzake wa kiarabu wakiwa swimming pool akitaka yeye nae aingie kwenye swimming waarabu wanatoka.Achana na waarabu kabisa yaani afadhali hata mzungu.
Duh..! Huyo alikuwa nani? Mcheza mpira?
 
Wayahudi,
Waarabu
Wahindi,
Waafrica,


Ni Wabaguzi, Makatili, Wabinafsi, Roho Mbaya, kupindukiaaaaaaaa

Mi nadhani unaongea kishabiki, je, huoni mauwaji yamerindima hapa bongo? Nikilist utachoka na kushika kichwa jinsi watu wananyongana/uwana!!! Kila siku mauwaji utasema hawana ukatiri!!!!


Hakuna jamii yenye watu wana roho nzuri, wastaarabu na wakarimu kama waarabu, wana roho ya kipekee, japo siyo wote lakini %kubwa wako poa,,,tunaoshinao na nchi zao tunawaona walivyo wakarimu.
 
Mimi nimeweka nilichokiona na siyo kuhadithiwa, kubali kataa waafrika wanawachukia waarabu na uisilamu kwa ujumla, japo siyo wote.

Swala la kuukataa uafrika, hueleweki kijana,,,, vipi wakubali kuitwa waafrika ilhali wao ni waarabu!!! Hivi inaingia akilini uwachukie kisa wao kujiita waarabu!!!! Kwaiyo hata wazungu na wahindi walioko afrika wakubali kuitwa waafrika ilhali wao siyo waafrika!!!!! Hoja mfu hizi, kuwa mwanaume na acheni kulialia bwana.
Huja elewa..

Kiufupi ni hivi...ili hii story yako iwe validi,,tuletee na chart za kaarabu kuhusu mechi za afcon

Hapo umebase upande mmoja...

Pia kaa ukijua kuitwa mwafrica maana yake sio mweusi ,,maana yake ww unatokea baarani africa.. so haijarishi uwe mweusi au mweupe.

Mbona kuna wahidni weusi wengi tu,na niwaasia,pia kuna wamarekani weusi wengi tu na wanaitwa waamerika.

Julize kwanini mwaarabu aliye zaliwa africa na kushi africa hataki kuitwa mwafrica? ila huyo huyo akiitwa wa ulaya hapingi...
 
Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol

Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,

[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]
Mzungu anaroho nzuri et? Unaweza kutoa mifano ya roho nzuri ya wazungu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom