Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Watu weusi na ubaguzi dhidi ya Waarabu/ Uislamu

Status
Not open for further replies.
Mimi nimeweka nilichokiona na siyo kuhadithiwa, kubali kataa waafrika wanawachukia waarabu na uisilamu kwa ujumla, japo siyo wote.

Swala la kuukataa uafrika, hueleweki kijana,,,, vipi wakubali kuitwa waafrika ilhali wao ni waarabu!!! Hivi inaingia akilini uwachukie kisa wao kujiita waarabu!!!! Kwaiyo hata wazungu na wahindi walioko afrika wakubali kuitwa waafrika ilhali wao siyo waafrika!!!!! Hoja mfu hizi, kuwa mwanaume na acheni kulialia bwana.
Hakuna asili inaitwa waafrika bali waafrika ni watu kutoka bara la afrika , kwann wa Oman wanakubali kuitwa waasia licha ya wao kuwa waarabu je kipi kinamzuia Misri kuukubali uafrika
 
Sasa lazima uowe/aolewe binti yako na mwarabu!!!! Wana haki kukataa.

Hivi kwa akili yako tu za kuzaliwa ingawa tunatofautiana imani, binti wa kiarabu utaweza kumhudumia? Utaweza ishinae kwa desturi zao na imani zao wewe kama mkristo/kafiri?? Tunajionea wanaume wa kiswahili wanavyowapa kipondo wake zao na kutoka nje ya ndoa japo siyo wote, sasa mwanamke gani wa kiisilamu/kiarabu ataweza kuvumilia huu upumbafu mlionao!!!!!


Wewe endelea kuteseka, lakini ukweli ni kwamba waafrika ni wabaguzi japo siyo wote,,,,waarabu most of them wana roho nzuri na wakarimu sana sana, japo wako baadhi tu siyo wazuri.
kama hawawez kufungamana na wengine kwann washabikiwe ? km huelew tunakupima corona
 
Mi nadhani unaongea kishabiki, je, huoni mauwaji yamerindima hapa bongo? Nikilist utachoka na kushika kichwa jinsi watu wananyongana/uwana!!! Kila siku mauwaji utasema hawana ukatiri!!!!


Hakuna jamii yenye watu wana roho nzuri, wastaarabu na wakarimu kama waarabu, wana roho ya kipekee, japo siyo wote lakini %kubwa wako poa,,,tunaoshinao na nchi zao tunawaona walivyo wakarimu.
hv umetembea nje ya hapo kwenu chotohor ,bongo ipo salama sana , toka nje ya bongo uone ww
 
Yan kisa waafrica walikua wanashabikia Africans wenzao ndio wabaguzi lol ungeweka na comments za waarab basi ubalance story but hakuna watu wabaguzi duniani kama Waarabu na ndugu zao wahindi Yan wazungu wenyewe wanasubiri waafrica wamwisho haha
 
Ona sasa, wabaguzi utawajuwa tu.


Kemea ubaguzi kijana
Yupo dada kauliwa uarabuni , mwingine anasema walikuwa wanawabaka kilazima ukikataa mshahara hulipwi na hata unapigwa km umeiba vile
 
Unashabikia jembe hlf una akil mgando unatuangusha ww , tofautisha uarabu na uislamu , waarabu ni katili kwny huu uso wa dunia ndio maana nchi nying za kiarabu hazina amani tofaut na waasia wenzao

Angalia south africa walivyokuwa wanawafukuza waafrica wenzao huko kwao.Hao wanaowafukuza ndio wamewasaidia na kupata amani.
 
Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa

Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.

Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi👇🏼
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.

Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.

View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.

Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.

Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.

Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.

Ahsanteni bandugu
Ukiona kuna chuki lazima kuna jambo. Historia inaonyesha waarabu waliwatesa sana watu weusi- kumbuka waarabu ndiyo waliokuwa wanaenda kuwakamatia wazungu watumwa- kwahiyo hawa waarabu waliwafanyia kitu mbaya sana watu weusi, hata leo tunasikia habari za kutisha kwa watu weusi wanaopita Libya kujaribu kuzamia Ulaya, vile vile tunasikia habari mbaya sana kuhusu dada zetu wanaofanya kazi za ndani nchi za Uarabuni. Ukiwa unafuatilia taarifa mbali mbali - si rahisi umuone mwarabu kama rafiki yako.
 
Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol

Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,

[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]
Roho mbaya ya Ubaguzi ni mtu,.Rangi/asili ya mtu haina uhusiano wowote na roho mbaya ya ubaguzi.Na ndio kuna wabaguzi wa kila rangi,umri,dini,jinsia nakadhalika..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Sehemu huyo jamaa kamtaja mzungu ? Mbona unaruka ruka ww
Kwenye uzi wametajwa na nisehemu ya historia ta Africa, kwa nini sijawataja wahindi au wachina.
Mwarabu ana roho mbaya, sawa ! Je mzungu anaroho nzuri ?kwani kujibu hilo swali ni kazi
 
Huja elewa..

Kiufupi ni hivi...ili hii story yako iwe validi,,tuletee na chart za kaarabu kuhusu mechi za afcon

Hapo umebase upande mmoja...

Pia kaa ukijua kuitwa mwafrica maana yake sio mweusi ,,maana yake ww unatokea baarani africa.. so haijarishi uwe mweusi au mweupe.

Mbona kuna wahidni weusi wengi tu,na niwaasia,pia kuna wamarekani weusi wengi tu na wanaitwa waamerika.

Julize kwanini mwaarabu aliye zaliwa africa na kushi africa hataki kuitwa mwafrica? ila huyo huyo akiitwa wa ulaya hapingi...

Ndo asili yao hiyo ndugu wala usiteseke nao hawa watu wabaguzi mtu ana sema eti tunachukia uislam wakati wao ndo wabaguzi kabisa katika inch za wakristo hatuwezi kukataa wislam wajenge msikiti wao nenda katika inch zao ndo utajua hawa watu sio wazuri na asili yao ni kulalamika lalamika tu
 
Ukiona kuna chuki lazima kuna jambo. Historia inaonyesha waarabu waliwatesa sana watu weusi- kumbuka waarabu ndiyo waliokuwa wanaenda kuwakamatia wazungu watumwa- kwahiyo hawa waarabu waliwafanyia kitu mbaya sana watu weusi, hata leo tunasikia habari za kutisha kwa watu weusi wanaopita Libya kujaribu kuzamia Ulaya, vile vile tunasikia habari mbaya sana kuhusu dada zetu wanaofanya kazi za ndani nchi za Uarabuni. Ukiwa unafuatilia taarifa mbali mbali - si rahisi umuone mwarabu kama rafiki yako.

Hapo msiwalaumu hao waarabu kwa historia…Je vipi kuhusu wale machifu waliowauza waafrica wenzao kwa hao waarabu.Matatizo yenu msipende kuwabebesha watu wengine jiangalieni kwanza nyie
 
Yan kisa waafrica walikua wanashabikia Africans wenzao ndio wabaguzi lol ungeweka na comments za waarab basi ubalance story but hakuna watu wabaguzi duniani kama Waarabu na ndugu zao wahindi Yan wazungu wenyewe wanasubiri waafrica wamwisho haha

Achana nao hawa ndugu yangu ndo asili yao hiyo kulalamika lalamika na wakati wao ndo wabaguzi
 
Vipi upo kiembe samaki au wapi? Bora mzungu atakuruhusu hata ukar kwake kwa amani Ila sio mwarabu mshenzi sana.

Imagine hata Hawa waarabu koko wa Kariakoo hauwezi kuona hata binti yake ameolewa na mwafrika acha asiye muislam Yani mwafrika muislam mwenzie tu ni kazi kupata mahusiano Tena wakiona yupo karibu wanamkimbiza mbali au mwanaume anaweza kutengwa kabisa.

Mwarabu wa Egypt, Libya na Tunisia wamekuwa wakijitoa kwamba wapo Africa tena wengi hawataki kabisa kuchangamana na waafrika.

Kimsingi Kuna race ambayo inaukataa uafrika (weusi) Kama hao Egypt, Libya, Djibouti, Tunisia, Morocco, Algeria, Ethiopia, North Sudan, hao wanajionaga sio waafrika na wakiona mwafrika mweusi wanambagua washenzi sana.
Sasa Kwan kuoa au kuolewa si mapenz ya mtu Yan we unalazimisha kwakuwa ni waarabu bas aolewe na mtu mweus ,mbona tunafaham Weng waarabu wameolewa na blacks
 
Sasa Kwan kuoa au kuolewa si mapenz ya mtu Yan we unalazimisha kwakuwa ni waarabu bas aolewe na mtu mweus ,mbona tunafaham Weng waarabu wameolewa na blacks

Kwani hakuna wanaokataza mabinti zao wasiolewe na watu wasio na pesa.Je huo sio ubaguzi?
 
Mbona sijaona wanaowabagua waislam hapo.??

Alafu huijui miarabu vizuri wewe,hadi unakuja kuitetea.

Mimi nasimama na Blacks against them.
 
Yaan icheze South Africa vs England, then mtu ashabikie England??. Haiwezekan.

Utasema waarabu wanaroho mbaya, wazungu Je wanaupendo gani na waafrica. Nahisi Ni Mapenzi tu ya mtu Kama ilivyo kwa Simba na Yanga.

Otherwise Ni wivu tu.
 
mkuu nilikuwa nakufatilia vizuri mpaka ulipoingiza mambo ya dini/uislam. Labda kama tu ulikuwa ufahamu
  1. Asilimia zaidi ya tisini (90%) ya wakaazi wote wa Senegal ni waislam
  2. burkina faso waislam 62%
  3. comoro waislam 98.2%
  4. Chad waislam 55%
  5. Gambia waislam 95%
  6. Guinea waislam 84%
  7. Mali waislam 94%
  8. Somalia Karibia wote kabisa waislam
  9. Sierra leone 78%
Nakadhalika nakadhalika..... Katika hizo nchi chache nilizokutajia hapo zipi zilikuwa zinashabikia "waislam" wenzao misri, na zipi zilikuwa zinashabikia "wasiokuwa" waislam senegali? mbona kila kitu tu lazima dini iingizwe?watu hawawezi kuwa na sababu nyingine zaidi ya dini?Sio kila kitu kinachomuhusu mwarabu basi kinahusu uislam jifunze kutofautisha...
 
Mzee naona kama mara ya pili hii unaandika nyuzi kuhusu haya mambo nadhani wewe kinachokutesa sio uarabu na waarabu sema ni udini tu sema mada ya leo umejificha ficha tu ila kuna mada yako ya mwaka 2019 ulitaja kabisa kwamba nyie wagalatia kwanini mnapenda kuwabagua waarabu.

Nilichokiona kwako ni udini tu sio kingine uwezi kumpangia mtu anachokipenda mimi nikifurahia ngozi nyeusi mwenzangu anaposhinda ubaguzi ukwapi hapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom