Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
wewe hata mda wa kula unawaza tope tu...hivi huko zenji mnafanywa nin?Wewe umeliwa tope bure bila ujira ukapoteza linda lako,pole sana ila ndio imesha tokea.
Hili ndio jibu la swali nililomuuliza member niliyemquote?Kama ni Waarabu tu, mfano ikicheza Cameroon vs Croatia, Waafrica watashangilia wapi?
Vipi upo kiembe samaki au wapi? Bora mzungu atakuruhusu hata ukar kwake kwa amani Ila sio mwarabu mshenzi sana.Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa
Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.
Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi👇🏼
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.
Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.
View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.
Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.
Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.
Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.
Ahsanteni bandugu
Umeirukia mada na kuanza kukurupuka kucomment tu,hiyo mifano yako ni tofauti na mada,Mbona sio kwa Waarabu tu, unafuatilia World Cup?
mechi mfano ya Ghana vs Uruguay, Waafrica wote walikuwa upande wa Ghana
Au labda Nigeria vs Russia, Waafrica kama wote watakuwa upande wa Nigeria
Nadhani inaketwa tu na ushabiki tu wa mtu kuchagua cha kwao zaidi ya chuki, japo chuki ipo sikatai
Mfano ikitokea Tz vs Uganda, Watz watakuwa upande wa Uganda sio kwa sababu wanaichukia Uganda, bali wanaipenda zaidi Tz
Naomba ulicho fanya hapa yaani hizo screen short nenda kwenye magroup yeyote ya waarabau tena wa maifa mbali mbali then niletee hapa...ndio utajua weusi na waarabu nani wanaubaguzi...Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa
Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.
Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi👇🏼
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.
Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.
View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.
Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.
Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.
Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.
Ahsanteni bandugu
Nakubaliana na wewe Mkuu,umasikini na wivu ndio chanzo cha roho mbaya.Sifa kubwa ya mtu kuwa na ROHO mbaya ni sababu ya UMASIKINI tu mtu aliokuwa nao hakuna kitu kingine kwahiyo WAAFRICA sifa kubwa tuliyokuwa nayo ni umaskini wewe chukua mfano rahisi tu hapa hapa Tanzania utapata jibu anzia kwenye familia hadi kitaifa kwa ujumla utapata jibu rejea utawala wa tano matajiri wataishi kama mashetani.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol
Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,
[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]
Naomba ulicho fanya hapa yaani hizo screen short nenda kwenye magroup yeyote ya waarabau tena wa maifa mbali mbali then niletee hapa...ndio utajua weusi na waarabu nani wanaubaguzi...
Yaani mfano Tz inacheza na Misri then atokee mwarabu hata wa hapa bongo eti yupo ta tanzania nakuhakilishia itakuwa 01/100..
Huwajui waarabu ww......kwanza hata kuitwa waafrica hawataki, wanasema wanaishi africa ila sio waafrica...
Generally, ushabiki wa mpira au wa kitu kingine chochote ndiyo ulivyo, mfano Kagera Sugar ikicheza na Mbeya Kwanza watu wa Mbeya watakuwa upande wa Mbeya Kwanza japo timu zote ni za Tanzania, na sio chukiUmeirukia mada na kuanza kukurupuka kucomment tu,hiyo mifano yako ni tofauti na mada,
Egypt ipo Africa na Senegal ipo Africa,ila "Waswahili" wengi waliamua kusupport Senegal coz ya ubaguzi wa rangi ya ngozi tu,
Uwe unajipa muda wa kuelewa maudhui ya thread kwanza.
Muulize Dickson Kibabage ubaguzi aliopata Tunisia hadi akaamua kurudi nyumbani .anakwambia wachezaji wenzake wa kiarabu wakiwa swimming pool akitaka yeye nae aingie kwenye swimming waarabu wanatoka.Achana na waarabu kabisa yaani afadhali hata mzungu.Afrika tunalia kila siku kuhusu maswala ya ubaguzi ila mechi ya Misri na Senegal 90% ya Waafrika duniani kote walikuwa wanaisapoti Senegal. Huu ni ubaguzi haswaa
Tukubali tu, Waafrika ni wabaguzi, wana chuki na wana roho mbaya, japo sio wote. Wapo wanawachukia Waarabu kisa ni Waarabu hata kama tunaishinao nyumba moja ama bara moja, na wapo wanaowachukia waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na sababu ziko nyingi tu, ukihoji utapewa majibu yasiyo na maana yoyote, majibu ya kishenzi tu.
Chukulia mfano;
Katika timu za taifa ama ligi[emoji1370]
Siku wakikutana South afrika na England or Brazili na Ghana, hapa hutaona ubaguzi wowote.. wengine watashabikia timu za wazungu na kuachana na S.afrika and Ghana, ila wengine watashabikia timu za bara letu, ila itokee timu za Afrika ya kaskazini kwa maana Algeria na Brazili or Morocco na Germany/England uone kama watashabikia timu za Kiarabu, labda wachache sana wenye utu na uzalendo. So namna gani waarabu wanachukiwa na watu weusi hususani hapa kwetu hata kama tumeishinao miaka na miaka/karne na karne lakini still wanachukiwa, huu ni upumbavu haswaa.
Nimescreen short baadhi ya comments kutoka kwa wasiyo jitambua na mjionee wenyewe, na siyo kuhadithiwa.
View attachment 2113614View attachment 2113615View attachment 2113616View attachment 2113617View attachment 2113618View attachment 2113619View attachment 2113620View attachment 2113621View attachment 2113622View attachment 2113623View attachment 2113624View attachment 2113625View attachment 2113626
View attachment 2113581View attachment 2113582View attachment 2113583View attachment 2113584View attachment 2113585View attachment 2113587View attachment 2113588View attachment 2113592
Je, Hapa utasema watu weusi siyo wabaguzi? Ila others wanajitambua, hawana mambo ya kishenzi.
Najuwa wengine wenye chuki hawatapendezewa kuwekewa hadharani huu ujumbe wa ubaguzi, hivyo umia, teseka ama jinyonge tuu lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.
Ndugu zanguni tukemee ubaguzi, roho mbaya na chuki kwa hawa wasiyojitambua.
Naomba uzi huu uwe fundisho kwa wasiyojielewa, wanaoeneza ubaguzi, chuki na roho mbaya.
Ahsanteni bandugu
Vipi upo kiembe samaki au wapi? Bora mzungu atakuruhusu hata ukar kwake kwa amani Ila sio mwarabu mshenzi sana.
Imagine hata Hawa waarabu koko wa Kariakoo hauwezi kuona hata binti yake ameolewa na mwafrika acha asiye muislam Yani mwafrika muislam mwenzie tu ni kazi kupata mahusiano Tena wakiona yupo karibu wanamkimbiza mbali au mwanaume anaweza kutengwa kabisa.
Mwarabu wa Egypt, Libya na Tunisia wamekuwa wakijitoa kwamba wapo Africa tena wengi hawataki kabisa kuchangamana na waafrika.
Kimsingi Kuna race ambayo inaukataa uafrika (weusi) Kama hao Egypt, Libya, Djibouti, Tunisia, Morocco, Algeria, Ethiopia, North Sudan, hao wanajionaga sio waafrika na wakiona mwafrika mweusi wanambagua washenzi sana.
Duh..! Huyo alikuwa nani? Mcheza mpira?Muulize Dickson Kibabage ubaguzi aliopata Tunisia hadi akaamua kurudi nyumbani .anakwambia wachezaji wenzake wa kiarabu wakiwa swimming pool akitaka yeye nae aingie kwenye swimming waarabu wanatoka.Achana na waarabu kabisa yaani afadhali hata mzungu.
Yes ni mchezaji wa KMC kwa sasa.Duh..! Huyo alikuwa nani? Mcheza mpira?
Sasa kama anaweza kuishi kwenye hekalu wakati majirani wanaomzunguka wanaishi kwenye vibanda vya nyasi.Mswahili ni mbaguzi sana na angekua na utajiri na nguvu Dunia isingekalika,
Mungu fundi sana aisee.
Wayahudi,
Waarabu
Wahindi,
Waafrica,
Ni Wabaguzi, Makatili, Wabinafsi, Roho Mbaya, kupindukiaaaaaaaa
Huja elewa..Mimi nimeweka nilichokiona na siyo kuhadithiwa, kubali kataa waafrika wanawachukia waarabu na uisilamu kwa ujumla, japo siyo wote.
Swala la kuukataa uafrika, hueleweki kijana,,,, vipi wakubali kuitwa waafrika ilhali wao ni waarabu!!! Hivi inaingia akilini uwachukie kisa wao kujiita waarabu!!!! Kwaiyo hata wazungu na wahindi walioko afrika wakubali kuitwa waafrika ilhali wao siyo waafrika!!!!! Hoja mfu hizi, kuwa mwanaume na acheni kulialia bwana.
Jikite kwenye hii mada, wazungu pia ni watuhumiwa wengine. Huu uzi hauwahusu la sivyo tungesema ya kwao pia.Wazungu wao hawana hizo historia nyingi zinazowahukumu dhidi ya waafrika?
Mzungu anaroho nzuri et? Unaweza kutoa mifano ya roho nzuri ya wazungu.Muarabu ameishi Africa karne na karne na hakuna maendeleo aliweka, Muarabu ni mtu katili sana japo sio wote lakini ni wabinafsi sana wakifuatiwa na ndugu zao Waafrica sijui ndio waliambukizana miroho michafu wakati wanatawaliana, lol
Ubaguzi hauwezi kuisha ndio maana hata Kunguru haiwezi kuishi na Mwewe, ukifua huwezi kuchanganya nguo nyeupe na za rangi,
[emoji2484][emoji1732][emoji125][emoji3257]