Watu weusi ndani ya biblia hawakuwa watumwa bali watu wenye ushawishi mkubwa

Watu weusi ndani ya biblia hawakuwa watumwa bali watu wenye ushawishi mkubwa

1: Mwanamke Zipora
Alikuwa mke wa kiongozi bora wa taifa la kiyahudi, Musa. Alikuwa mweusi. Ushauri wake uliongeza ufanisi wa wayahudi. Baba yake Alikuwa na akili kuliko Musa. Yeye ndiye alimfundisha ugatuzi wa madaraka Musa na Mungu akamwambia Musa aufuate asiupotezee ushauri wa baba mkwe..

2: Simon Mkirene
Huyu alikuwa muafrika kutoka Libya zamani Kirene. Huyu alimsaidia Yesu msalaba kuelekea Goligota. Wenda pasipo yeye Yesu angefia njiani na ukombozi kupata dosari. Mwafrika ni mtu muhimu kwa wokovu wa mwanadamu tangu miaka 2000 iliyopita.

3: Muethiopia
Huyu ndiye mtu wa kwanza kurekodiwa katika biblia asiyemuyahudi kubatizwa. Alikuwa tajiri mkubwa maana mtu wa kawaida ilikuwa vigumu kutoka ethiopia hadi Jerusalem kwenye ibada za kiyahudi. Waafrika matajiri na wenye ushawishi walianza kumpokea Yesu na kumuabudu Mungu wa biblia miaka zaidi ya 1500 kabla ya mzungu kukanyaga Afrika. Mwafrika alianza kumjua Mungu wa kwenye biblia kabla ya mzungu wa magharibi.

Afrika pia imewatunza na kuwalea magwiji wakubwa katika biblia.

Yusufu na israel yote imekulia afrika. Misri.

Ibrahim alipopigwa njaa, alipona kwa kukimbilia misri.

Yesu alipotaka kuuwawa utotoni alikimbizwa misri.

Mwafrika Farao Neko aliwahi kumuua mfalme wa israel Yosia kwa sababu tu alimzuia asipite kwenda kufanya kazi ya Mungu wa israel huko iraq (babeli). Mungu amekuwa akuwatumia waafrika kwa kazi zake tangu siku nyingi.

Kwa hiyo kuendelea kuabudu mizimu, mababu, na ushirikina kisa dini ya Biblia ni ya wakoloni ni mtazamo uliojengwa katika hofu za kujitungia.

Barikiwa.
Nikuongezee na mfalme suleimani! Wimbo ulio bora 1:5 sasa kama yy ni mweisu baba yake je? Mfalme daud?

Samson
Hakuna mzungu wala kabila lolote linaloweza kufuga nywele zijisokote na kuwa vishungi saba! Ni mtu mweusi pekee amepewa hiyo neema ya kufuga rasta, au wewe umemuona mzungu rasi wap?


Waisrael ya kale
Huwezi kupita juani miaka 40 na usipate madhara ya ngozi never waisrael sio wazungu wana asili ya africa yaani nyeusi
 
Mke wa Musa sio Musa.
Hesabu 12:1
Kisha Miriamu na Haruni wakamnenea Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa; maana, alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi.

Kushi~Ethiopia.
Bahati mbaya kwamba Musa Kipindi anaoa Ilikuwa ni kabla ya Exodus so huyo hakuwa zipora alikuwa ni mke mwingine wa Musa na ndo kisa cha wao kukasirika...

Ila mke wa kwanza Musa kumuoa hakuwa mkushi akikuwa mmidiani na alimuoa kabla ya kurudi Misri..
Na ukiangalia hapo Utagundua Mke aliyeolewa aliolewa wakiwa safafini jangwani so KILI KUNKICHWA SIO ZIPORA...
Kuhusu zipora/Sipora

Hibi ndivyo Musa alivokutana na Kumuoa Zipora/Sipora...Mmidiani
Screenshot_20231005-152429.png


Sasa Rudi kwenye Hesabu utaona Musa alikuwa Tayari ana watoto Na tayri wana wa Israel wako safarini kipindi Miriam na Haruni wanalalamika na tayari walikuwa wameshakula na kunywa na mkwe wao wa zamani

(Baba yake na sipora ' huenda ndo yee aliwalalamikia kuwa mwanae kaongezwwa mke 😀😀"kiddn")

Sasa ukiona hapa kwenye hilo fungu ulilotoa utagundua Kitu...Kwenye Hesabu 12:1-15..

Screenshot_20231005-153218.png


Halafu 15 na 16 angalia Mariam anaoewa adhabu ya Umbea wake il walikuwa wamefika wapi na wanaelekea wapi?...

Screenshot_20231005-153448.png
 
Back
Top Bottom