Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Unaifahamu vizuri kingdom ya mali enzi za mansa mussa? Na chuo kikuu cha kwanza inasadikika kilikuwa Timbuktu. Ndiyo maana hadi leo france anapiganisha makombola na kumaliza kabisa shahidi hizi za kihistoria.
Unabishana na mtu asiyejikubali hakuna mahali mtu mweupe alituweza kama kutuaminisha sisi ni weak people mwambie akatafute historia ya mtu mweusi kwenye piramids za misri
 
Tatizo wewe ni mbishi na hautaki kujua,nani amekwambia hawakuvuka nje kwenda kusaka makazi sehemu nyingine?soma kaka,soma historia tena si hyo ya kina Nyambari Nyangwine na Major Events.Hyo Spain unavyiona hapo ishatawaliwa na weusi kwa miaka mingi tu,Columbus alivyofika Marekani alikuta tayari kuna weusi walishafika kitambo,Australia yenyewe waingereza waliikuta na weusi ndio nchi yao,visiwa vya Papua New Guinea wapo weusi.

Nikuulize swali,hivi kwanini kwenye kila lugha ya asili kwa makabila yote kuna maneno ambayo ukiyatafsiri maana yake ni "soma" na "andika", sasa haya maneno walikua wanayatumia wapi kama shule zililetwa na hao wazungu wako?
hiyo ni kutafuta huruma ya ulimwengu. Waafrika tukubali kwamba tuko nyuma. tupambane na hali zetu, tusonge mbele. tusijidanganye na historia feki. Eti tulishatawala Ulaya!!!. Alitawala haanguki jumla jumla. Iangalie Babeli (Iraq), Iangalie Uajemi (Iran), Angalia Ugiriki, angalia na Roman Empire (Italy). kwa akili tu ya kawaida, unaziona zinafana na Tanzania? maisha yao yanafanana na ya Wagogo wa Dodoma? Aliyewahi kuwa juu hawezi kuanguka jumla jumla hadi anakuwa hana nguo na anaishi katika mashimo. Wakati wakoloni wanakuja sisi tulikuwa katika mashimo. Waulize babu zako kama waliwahi kuwa na maendeleo kabla ya Wazungu zaidi ya kumiliki wake ambao wapo uchi.

TUACHANE NA HISTORIA FEKI, TUFANYE KAZI KWA BIDII, TUSOMESHE WATOTO ILI NA SISI SIKU MOJA TUWE KAMA CHINA NA MAREKANI INGAWA WAKATI HUO WENYEWE WAKATUWA LEVEL NYINGINE YA JUU ZAIDI.
 
c2dba43ddb4e637c5c134c6862197796.jpg
 
hiyo ni kutafuta huruma ya ulimwengu. Waafrika tukubali kwamba tuko nyuma. tupambane na hali zetu, tusonge mbele. tusijidanganye na historia feki. Eti tulishatawala Ulaya!!!. Alitawala haanguki jumla jumla. Iangalie Babeli (Iraq), Iangalie Uajemi (Iran), Angalia Ugiriki, angalia na Roman Empire (Italy). kwa akili tu ya kawaida, unaziona zinafana na Tanzania? maisha yao yanafanana na ya Wagogo wa Dodoma? Aliyewahi kuwa juu hawezi kuanguka jumla jumla hadi anakuwa hana nguo na anaishi katika mashimo. Wakati wakoloni wanakuja sisi tulikuwa katika mashimo. Waulize babu zako kama waliwahi kuwa na maendeleo kabla ya Wazungu zaidi ya kumiliki wake ambao wapo uchi.

TUACHANE NA HISTORIA FEKI, TUFANYE KAZI KWA BIDII, TUSOMESHE WATOTO ILI NA SISI SIKU MOJA TUWE KAMA CHINA NA MAREKANI INGAWA WAKATI HUO WENYEWE WAKATUWA LEVEL NYINGINE YA JUU ZAIDI.
Sio huruma ya ulimwengu,wewe unaugua inferiority complex syndrome na haujui tatizo lako.Sasa utalinganishaje Tanzania na Uajemi?yaani nchi ya Juzi unalinganisha na falme iliyopata kutokea miaka kibao kabla yake?Hizo falme zote ulizozitaja zimeanguka jumla kabisa hakuna kitu kimebakia,l ukiilinganisha na jinsi ilivyokua.Unajua Roma ilikua inatawala eneo gani la dunia na sasa linganisha na hako ka nchi ka Italia sahv uone.Ustaarabu wa mtu mweusi ulianzishwa kabla ya staarabu zote hizo ulizozitaja hazipo na wala hakuna mtu anawaza kama zitakuwepo,miaka 20000 kabla ya kuanza kwa Tawala ya Roma.

Huko shule hata tukiwapeleka ndio wataishia kufundishwa mambo ya kipuuzi haya unayotaka kutuaminisha hapa wewe kua mtu mweusi alikua anaishi kwenye mashimo,yaani unaongelea Historia ya mtu mweusi kuanzia mwaka 1800 baada ya kristo.Historia ya mtu mweusi can be traced many centuries back before Christ.

Swali langu hujajibu lakini,kama walikua hawajui kusoma na kuandika maneno ya kilugha yanayomaanisha "soma" na "andika" yalikua ya kazi gani??Halafu historia ya Mwafrika wewe umeijua kutoka kwa vyanzo vipi?
 
hiyo ni kutafuta huruma ya ulimwengu. Waafrika tukubali kwamba tuko nyuma. tupambane na hali zetu, tusonge mbele. tusijidanganye na historia feki. Eti tulishatawala Ulaya!!!. Alitawala haanguki jumla jumla. Iangalie Babeli (Iraq), Iangalie Uajemi (Iran), Angalia Ugiriki, angalia na Roman Empire (Italy). kwa akili tu ya kawaida, unaziona zinafana na Tanzania? maisha yao yanafanana na ya Wagogo wa Dodoma? Aliyewahi kuwa juu hawezi kuanguka jumla jumla hadi anakuwa hana nguo na anaishi katika mashimo. Wakati wakoloni wanakuja sisi tulikuwa katika mashimo. Waulize babu zako kama waliwahi kuwa na maendeleo kabla ya Wazungu zaidi ya kumiliki wake ambao wapo uchi.

TUACHANE NA HISTORIA FEKI, TUFANYE KAZI KWA BIDII, TUSOMESHE WATOTO ILI NA SISI SIKU MOJA TUWE KAMA CHINA NA MAREKANI INGAWA WAKATI HUO WENYEWE WAKATUWA LEVEL NYINGINE YA JUU ZAIDI.
Unaikumbuka mali empire, misri,achakuwa mtumwa wa fikra
 
Sasa utalinganishaje Tanzania na Uajemi?yaani nchi ya Juzi unalinganisha na falme iliyopata kutokea miaka kibao kabla yake?
ndo maana nakuambia sisi ndo tunaamka tangu dunia iumbwe. hivyo kubali kwamba tupo nyuma sana hivyo tupamnae tufike huko. Nimekuomba ulinganishe tanzania hizo falme maana unasema tuliwahi kuwa juu kuliko wao kabla ya kuanguka. ndo nakuambia aliyekuwa juu hawezi kuanguka hadi arudi katika hali ya sifuri. hivyo sisi hatukuwahi kuwa huko mnakoaminishwa.
 
Unaikumbuka mali empire, misri,achakuwa mtumwa wa fikra
hizo empire za kushindana kuwa na wake wengi na ng'ombe wengi na biashara kubwa ilikuwa chumvi za kuzoa ufukweni kama wanavyofanya Watu wa mwambao wa bahari hata leo na kutengeneza mikuki kama wanavyofanya Wamang'ati wa kule bonde la Eyasi. lakini kamwe hawakuwa na uwezo hata wa kutengeza redio wala baiskeli hadi Wazungu wanakuja kuwaangusha.
 
Kuna swali huwa najiuliza kulingana na hizi mada zinazompa nguvu myu mweusi. Kama kweli tulikuwa advanced kiasi hicho how come tupo dependent na inferior kwa ngozi nyeupe.?
Kuwa mstaarabu ina maana hata uwezo wako wa kufikiri ni mzuri so ina maana tulishindwa kufikiria kama inawezekana race nyingine inaweza kutufanyia hila kwa kuwa tumewazidi? Hivyo tukaweka mikakati ambayo ingetufanya kuikabili hila hizo zilizofanywa na mtu mweupe zidi yetu?
Hawa watu weupe walipokuja kuchukua malighafi ina maana kwa wakati huo hatukuwa tunajua uthamani wa malighafi hizo?
Histori ya darasani tunaambiwa tikuwa tunachezea bao dhahabu na vito vingine vya thamani, kweli hatukujua uthamani wa vito hivyo mpaka mtu mweupe anakuja kuchukua kwa kutubadilishia na vijiko na vitu vingine vya kipuuzi???
Tutasema tuligundua hili mara lile..je wakati hawa watu weupe wanafanya hiyo mikakati yao ya kutufanya tuwe inferior kwao tangu walipoanza hiyo miaka 500 iliyopita...je mtu mweusi alikuwa anafanya nini na ameshindwa vipi kujipanga na yeye ndie akawa superior kwa ngozi nyeupe tangu hiyo miaka 500 iliyopita???
 
Unaikumbuka mali empire, misri,achakuwa mtumwa wa fikra
Mbali sana huko, Mirambo na Mkwawa hawajui? Walitawala watu ktk mifumo iliyo hitaji elimu na maarifa makubwa. Inasemekana hata chuo kikuu cha kwanza kuwepo ulimwenguni, kilikuwepo Afrika. Kuna mengi nadhani bado hayajulikani vizuri kutuhusu.

Nawapongeza wote wenye kuyafatilia haya mambo, mapinduzi ya kweli yanaanzia kwenye ufalme wa "ubongo" na si vinginevyo. Nadhani tuko ktk mwanzo mpya.
 
this is also a falacy. Kama mtu mweusi ndiye asili ya ustaarabu na maendeleo duniani alipatwa na nini leo tuko hivi. ustaarabu ziro kabisa. ukija huku mijini kama Dar es Salaam wanakunya hadi kwenye mifuko ya Malboro na kutupa jalalani. Tusijikweze sana na kutafuta huruma ya dunia. Sisi watu weusi tumechelewa sana kuzinduka. kama ni evolution basi ilianzia kwa watu weupe, wakafuta wengine kama Wahindi, Waarabu n.k ndo tunafuata sisi wa mwisho. Wakati wenzetu walishafikia hadi hatua ya kuwa na magari, meli na hata kuzindua ndege sisi bado tulikuwa hatuvai hata nguo. tusijidanganye sana kwamba tulikuwa mbele zamani wakati ni dhana ya uwongo iliyokubuhu. Tuache kutafuta kuhurumiwa, tupambane hali zetu.
this is also a falacy. Kama mtu mweusi ndiye asili ya ustaarabu na maendeleo duniani alipatwa na nini leo tuko hivi. ustaarabu ziro kabisa. ukija huku mijini kama Dar es Salaam wanakunya hadi kwenye mifuko ya Malboro na kutupa jalalani. Tusijikweze sana na kutafuta huruma ya dunia. Sisi watu weusi tumechelewa sana kuzinduka. kama ni evolution basi ilianzia kwa watu weupe, wakafuta wengine kama Wahindi, Waarabu n.k ndo tunafuata sisi wa mwisho. Wakati wenzetu walishafikia hadi hatua ya kuwa na magari, meli na hata kuzindua ndege sisi bado tulikuwa hatuvai hata nguo. tusijidanganye sana kwamba tulikuwa mbele zamani wakati ni dhana ya uwongo iliyokubuhu. Tuache kutafuta kuhurumiwa, tupambane hali zetu.
Sikushangai, ukiwa Kama muhanga wa historia iliyochafuliwa, sio makosa yako
 
Kuna swali huwa najiuliza kulingana na hizi mada zinazompa nguvu myu mweusi. Kama kweli tulikuwa advanced kiasi hicho how come tupo dependent na inferior kwa ngozi nyeupe.?
Usipo ziona tembe zinazoufanya mkufu wa matatizo yetu, hutajua chanzo Wala hatma, lakini SI kazi ndogo iliyofanyika kutufikisha hapa, kuanzia mapandikizi bandia ya mfumo dini, mfumo elimu, mfumo siasa, mfumo utamaduni, mfumo sayansi na tekinolojia vyote vimetumika kufanya uhalifu na dhuluma hii, kujikomboa tunakwenda ngazi kwa ngazi tukichimoa kila msumari, mkiambiwa dini hizo ukiristo na uislamu Ni kazi ya weupe kutufunga msukuleni, wengine wenu Hapa mnaanza kugombana....lakini ndilo tatizo lenyewe, wewe mweusi si wewe mpaka utoke kwenye usukule wa hii mifumo
 
Back
Top Bottom