Ncha ya Mkukina
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 561
- 694
- Thread starter
- #41
Asante tunashukuru, lakini ukweli utajulikana tu pamoja na yoteTupambane kujiletea maendeleo. Historia haiwezi kutusaidia kitu. Hizo ni zilipendwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante tunashukuru, lakini ukweli utajulikana tu pamoja na yoteTupambane kujiletea maendeleo. Historia haiwezi kutusaidia kitu. Hizo ni zilipendwa.
Asante Sana
Kwahiyo unaamini kwamba, mikuki, majembe, majahazi, nguo zote ni mazao ya wageni Afrika? Hapana, tumepitia yote waliyo yapitia wao, ili tu lingetosha kudhihirisha kwamba, weusi ni watu, watu walio kamili, hivyo wangeweza kuyafanya yote ambayo wengine wameyafanya. Naamini yaliyo nenwa na mleta Uzi ni ya kweli na yalishatukia.hizo empire za kushindana kuwa na wake wengi na ng'ombe wengi na biashara kubwa ilikuwa chumvi za kuzoa ufukweni kama wanavyofanya Watu wa mwambao wa bahari hata leo na kutengeneza mikuki kama wanavyofanya Wamang'ati wa kule bonde la Eyasi. lakini kamwe hawakuwa na uwezo hata wa kutengeza redio wala baiskeli hadi Wazungu wanakuja kuwaangusha.
Asante ndugu, polepole tutafika, kung'oa misumari na miiba hii dhalimu waliyotuchomaMbali sana huko, Mirambo na Mkwawa hawajui? Walitawala watu ktk mifumo iliyo hitaji elimu na maarifa makubwa. Inasemekana hata chuo kikuu cha kwanza kuwepo ulimwenguni, kilikuwepo Afrika. Kuna mengi nadhani bado hayajulikani vizuri kutuhusu.
Nawapongeza wote wenye kuyafatilia haya mambo, mapinduzi ya kweli yanaanzia kwenye ufalme wa "ubongo" na si vinginevyo. Nadhani tuko ktk mwanzo mpya.
Jana yako ndio Leo yako, na Leo yako itaunda Jana na kesho yakoTupambane kujiletea maendeleo. Historia haiwezi kutusaidia kitu. Hizo ni zilipendwa.
ndo maana alishurutishwa kuubeba ule Msalaba. Angekuwa Mzungu asingelazimishwa kuubeba msalaba wa Yesu. Hiyo pia inadhihirisha kuwa tulikuwa nyuma ya wenzetu miaka mingi sana. Tuamke, tupambane, tuache kulalamika kuwa tulionewa. Sisi ndo tumejionea wenyewe. tupambane tusonge mbele waliko wenzetu.Tunaambiwa hata Simon wa Krene alikuwa ni black. Muungiliano lazima ulikuwepo.
Asante, tutayajibu maswali yako mazuri polepoleKuna swali huwa najiuliza kulingana na hizi mada zinazompa nguvu myu mweusi. Kama kweli tulikuwa advanced kiasi hicho how come tupo dependent na inferior kwa ngozi nyeupe.?
Kuwa mstaarabu ina maana hata uwezo wako wa kufikiri ni mzuri so ina maana tulishindwa kufikiria kama inawezekana race nyingine inaweza kutufanyia hila kwa kuwa tumewazidi? Hivyo tukaweka mikakati ambayo ingetufanya kuikabili hila hizo zilizofanywa na mtu mweupe zidi yetu?
Hawa watu weupe walipokuja kuchukua malighafi ina maana kwa wakati huo hatukuwa tunajua uthamani wa malighafi hizo?
Histori ya darasani tunaambiwa tikuwa tunachezea bao dhahabu na vito vingine vya thamani, kweli hatukujua uthamani wa vito hivyo mpaka mtu mweupe anakuja kuchukua kwa kutubadilishia na vijiko na vitu vingine vya kipuuzi???
Tutasema tuligundua hili mara lile..je wakati hawa watu weupe wanafanya hiyo mikakati yao ya kutufanya tuwe inferior kwao tangu walipoanza hiyo miaka 500 iliyopita...je mtu mweusi alikuwa anafanya nini na ameshindwa vipi kujipanga na yeye ndie akawa superior kwa ngozi nyeupe tangu hiyo miaka 500 iliyopita???
Maelfu ya miaka watu weusi walikwenda bara Asia na Ulaya na kufanya ustaarabu huko, mtu mweusi ndiye aliyestaarabisha Dunia, uliyofundishwa darasani Ni historia changa mno, Tena ya karibu mno, mtu mweusi hujitambui, ungelijijua wewe....!!!!!! Dunia itatikisika
The British, with the "Modern" Germans, were the originators of revisionist history. It was they who first began to write Blacks out of history after the “Race/Religious Wars" of the late medieval. Now look, the British will soon start teaching their children the truth: that Blacks were the original people of Britain. But please know, this is not the result of truth seeking, those truths were always known[/QUOTEk
kifaa cha mwanzo cha ustarabu ni elimu(ilm)na mwafrika hakua nayo-tuanzie hapo!!!
hizo falsafa tu. jana mbovu haiwezi kukusaidia kusonga mbele. Jana yetu ilikuwa mbovu ndo maana tupo nyuma, hivyo hatuna cha kujifunza kutoka jana yetu. Tupambane kusonga mbele.Jana yako ndio Leo yako, na Leo yako itaunda Jana na kesho yako
Asante nduguTatizo wewe ni mbishi na hautaki kujua,nani amekwambia hawakuvuka nje kwenda kusaka makazi sehemu nyingine?soma kaka,soma historia tena si hyo ya kina Nyambari Nyangwine na Major Events.Hyo Spain unavyiona hapo ishatawaliwa na weusi kwa miaka mingi tu,Columbus alivyofika Marekani alikuta tayari kuna weusi walishafika kitambo,Australia yenyewe waingereza waliikuta na weusi ndio nchi yao,visiwa vya Papua New Guinea wapo weusi.
Nikuulize swali,hivi kwanini kwenye kila lugha ya asili kwa makabila yote kuna maneno ambayo ukiyatafsiri maana yake ni "soma" na "andika", sasa haya maneno walikua wanayatumia wapi kama shule zililetwa na hao wazungu wako?
Daah katika kuhakikisha white supremacy inatawala na African inferiority inajikita vizazi mpaka vizazi wazungu wamefanikiwa sana.
Kama tulistaarabika tulijizua vip kutokuchuliwa utumwani,unakuta mtu mmoja ana bunduki anaswaga makundi ya watu porini,MTU anatumwa apeleke barua kwa DC kilometer 40 akifika DC anaisoma barua kumbe barua inamtaka muhusika awekwe ndani au alambwe viboko.Kulikuwa na magwiji wa waganga na walozi wa hali ya juu,lkn walishindwa kuzuia utumwa hadi ulipositishwa na waliouleta baada ya uvumbuzi wa machine,hata Uhuru walitupa wao baada ya kuona kutawala direct ni gharama wakatupa Uhuru bandia kupitia kwa wakoloni weusi ili watunyonye wakishirikiana na wakoloni weusi, ndo maana miaka 50 ndani ya kujitawala Africa hakuna maendeleo, wakati wakoloni weupe walitawala mda mfupi kuliko tulioupata baada ya Uhuru lkn walileta maendeleo yanayoonekana,ikiwemo miji, miundombinu,mashule,nk.Mkoloni mpya kwa Africa ni China kupitia mkoloni mweusi ambae ndo mnufaika mkubwa kwa sasa wa raslimali za africa, kwake tutegemee tu kuiweka Africa bond km ilivo Bandari ya Malaysia na Srilanka.Tupambane kujiletea maendeleo. Historia haiwezi kutusaidia kitu. Hizo ni zilipendwa.
Ndio nyinyi tukiwaita mrudi kwenye ibada yenu asilia mnaanza yesu yesu, muhamadi muhamadi!!!! Ndio watu Kama nyinyi mnatukwamisha.....lakini tutajikomboa tuTatizo ni anguko la ustaarabu wa kiafrika.!
'Hapana' sio kwa kiwango hiki..!?
Tembo hakondi kufikia kiwango cha Mbuzi.
Ni Uongo mtupu na
Kutafuta Huruma.
nilijua tu fikra fupi hamuishagithis is also a falacy. Kama mtu mweusi ndiye asili ya ustaarabu na maendeleo duniani alipatwa na nini leo tuko hivi. ustaarabu ziro kabisa. ukija huku mijini kama Dar es Salaam wanakunya hadi kwenye mifuko ya Malboro na kutupa jalalani. Tusijikweze sana na kutafuta huruma ya dunia. Sisi watu weusi tumechelewa sana kuzinduka. kama ni evolution basi ilianzia kwa watu weupe, wakafuta wengine kama Wahindi, Waarabu n.k ndo tunafuata sisi wa mwisho. Wakati wenzetu walishafikia hadi hatua ya kuwa na magari, meli na hata kuzindua ndege sisi bado tulikuwa hatuvai hata nguo. tusijidanganye sana kwamba tulikuwa mbele zamani wakati ni dhana ya uwongo iliyokubuhu. Tuache kutafuta kuhurumiwa, tupambane hali zetu.
Ndio nyinyi tukiwaita mrudi kwenye ibada yenu asilia mnaanza yesu yesu, muhamadi muhamadi!!!! Ndio watu Kama nyinyi mnatukwamisha.....lakini tutajikomboa tuhizo falsafa tu. jana mbovu haiwezi kukusaidia kusonga mbele. Jana yetu ilikuwa mbovu ndo maana tupo nyuma, hivyo hatuna cha kujifunza kutoka jana yetu. Tupambane kusonga mbele.
Na kuhakikisha anaeneza dunia nzima kuwa Timbuktu ni mahali ovyo kabisa kwa kutumia Hollywood!Unaifahamu vizuri kingdom ya mali enzi za mansa mussa? Na chuo kikuu cha kwanza inasadikika kilikuwa Timbuktu. Ndiyo maana hadi leo france anapiganisha makombola na kumaliza kabisa shahidi hizi za kihistoria.
Msaidie mwenzio, sio kwa matusinilijua tu fikra fupi hamuishagi
Kwa kweliMsaidie mwenzio, sio kwa matusi