Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Kuna wale aborigines wa Australia,kuna black wa India, lkn wengi wanaishi maisha duni sana km bushmen,
Asili ya kitu ni asili aifutiki iko damuni,mfano kuna matajiri wengi tu Nyerere aliwafilisi kwa sera zake za kimasikini za utaifishaji na kuwasakama matajiri wa kuwanyang'anya Mali zao halali walizotafuta kihalali hata kabla ya Uhuru,na kuwafanya kuwa masikini, alipoingia Mzee ruksa akatupilia mbali sera za kuzalisha masikini, kwa kuruhusu sekta binafsi asilimia kubwa wale waliozulumiwa mali zao kwa kutaifishiwa wakiwa hawana kitu lkn wana ujuzi wa kutafuta Mali, walifanikiwa wakawa matajiri zaid, kuliko hata mali zao zilizotaifishwa.Hivo km hao Waafrica wa mwanzo wangekuwa wameendelea hata Leo tungekuwa mbali sana baada ya Uhuru km iliyo Malaysia, Singapore,nchi za Scandinavian, China ambazo Africa ilikuwa sawa kiuchumi baada ya Uhuru. Rejea thamani ya dola kabla na sasa baada ya Uhuru.
 
Ingekuwa ni true basi zile remote area za ndani ambazo hazikuathiriwa na tamadamuni za wageni wakoloni zingekuwa zimestaarabika sana.Labda mtoa mada alitaka kumaanisha ustaarabu upi, wa kiutamaduni,kifikra nk.Maana kuna ustaarabu na maendeleo ni vitu viwili tofauti.
Ustaarabu wa kuwasha moto, kupika, kuabudu miungu, hesabu, agriculture, architecture etc.
There was over 10000 different communities in al kebulan now known as Africa.
The story is broad broda and it is destroyed, hidden, reshaped.
Man! Know thyself
 
Sasa mnalia nini.! Ikiwa ninyi
ndio mliowafunza ujanja huo!?

Kama ni hivyo,wanachukua kinachowastahili,wasingejua
Bila shaka kama si ninyi wenyewe.

Kwani Hamjiamini?
Nasi wajukuu tunajifunza sio kulia bali ni kufahamishana
 
Ustaarabu wa kuwasha moto, kupika, kuabudu miungu, hesabu, agriculture, architecture etc.
There was over 10000 different communities in al kebulan now known as Africa.
The story is broad broda and it is destroyed, hidden, reshaped.
Man! Know thyself
Asante Sana ndugu kwa mchango wako pia
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Asili ya kitu ni asili aifutiki iko damuni,mfano kuna matajiri wengi tu Nyerere aliwafilisi kwa sera zake za kimasikini za utaifishaji na kuwasakama matajiri wa kuwanyang'anya Mali zao halali walizotafuta kihalali hata kabla ya Uhuru,na kuwafanya kuwa masikini, alipoingia Mzee ruksa akatupilia mbali sera za kuzalisha masikini, kwa kuruhusu sekta binafsi asilimia kubwa wale waliozulumiwa mali zao kwa kutaifishiwa wakiwa hawana kitu lkn wana ujuzi wa kutafuta Mali, walifanikiwa wakawa matajiri zaid, kuliko hata mali zao zilizotaifishwa.Hivo km hao Waafrica wa mwanzo wangekuwa wameendelea hata Leo tungekuwa mbali sana baada ya Uhuru km iliyo Malaysia, Singapore,nchi za Scandinavian, China ambazo Africa ilikuwa sawa kiuchumi baada ya Uhuru. Rejea thamani ya dola kabla na sasa baada ya Uhuru.
Asante Sana ndugu kwa mchango huuu
 
.”
christopher-columbus.jpg

Black People Sailed to the Americas
Long Before Columbus
Posted by Taylor Gordon
Columbus Himself
According to renowned American historian and linguist Leo Weiner of Harvard University, one
of the strongest pieces of evidence to support the fact that Black people sailed to America before
Christopher Columbus was a journal entry from Columbus himself. In Weiner’s book, “Africa
and the Discovery of America,” he explains that Columbus noted in his journal that the Native
Americans confirmed “black skinned people had come from the south-east in boats, trading in
gold-tipped spears
 
Mnatumia hekima zenu kwenye kujua haya, na ndio
Mana mnataabika.

Ni illusion tu Hakuna Wizi

'Hata na ninyi mkishikamana
Mtaenda kwao na kuchukua
Vyao'.

Na wewe utazaliwa tena kama Mzungu na kudai haki zao.sawa
Asante Sana ndugu kwa mchango huuu
 
[QUOTETimbuktu post: 25495326, member: 466574"]Ingekuwa ni true basi zile remote area za ndani ambazo hazikuathiriwa na tamadamuni za wageni wakoloni zingekuwa zimestaarabika sana.Labda mtoa mada alitaka kumaanisha ustaarabu upi, wa kiutamaduni,kifikra nk.Maana kuna ustaarabu na maendeleo ni vitu viwili tofauti.[/QUOTE]
Refer timbuktu
 
Historia inatuambia kuwa columbus na Henry the navigator Ndiyo binadamu walio gundua merikebu, lakini tangu kipindi cha nabii yona merikebu zilikuwepo. Hapa inaonyesha kuwa kuna kipindi teknologia ilipotea. Mpaka baadaye Henry the navigator anagundua tena merikebu.
 
[QUOTETimbuktu post: 25495326, member: 466574"]Ingekuwa ni true basi zile remote area za ndani ambazo hazikuathiriwa na tamadamuni za wageni wakoloni zingekuwa zimestaarabika sana.Labda mtoa mada alitaka kumaanisha ustaarabu upi, wa kiutamaduni,kifikra nk.Maana kuna ustaarabu na maendeleo ni vitu viwili tofauti.
Refer timbuktu[/QUOTE]
Asante kwa angalizo lako
 
mummies.jpg

Narcotics za Marekani zimefunuliwa
katika Mummies wa Misri
Ugunduzi wa narcotics wa Marekani katika mummies ya Misri umewaacha hoi wanahistoria fulani wakashangaa.
Hivi karibuni, wataalam wa archaeologists wamegundua uwepo wa madawa ya kulevya yanayojulikana kuwa yanayotokana na
Mimea ya Marekani katika mummies wa kale ya Misri. Dutu hizi zilijumuisha Amerika Kusini
cocaine kutoka Erythroxylon na nikotini kutoka Nicotiana tabacum. Mtaalam wa sumu ya Ujerumani Svetla
Balabanova aliripoti matokeo hayo, ambayo yanaonyesha kwamba misombo hiyo ilifanya njia yao kwenda Afrika
kupitia biashara ya Trans-Atlantic ambayo ingekuwa kabla ya Columbus kufika kwa maelfu ya miaka.
 
ndo maana alishurutishwa kuubeba ule Msalaba. Angekuwa Mzungu asingelazimishwa kuubeba msalaba wa Yesu. Hiyo pia inadhihirisha kuwa tulikuwa nyuma ya wenzetu miaka mingi sana. Tuamke, tupambane, tuache kulalamika kuwa tulionewa. Sisi ndo tumejionea wenyewe. tupambane tusonge mbele waliko wenzetu.
Kwenye hili nna wasiwasi na hata uhalisia wa Yesu mwenyewe coz isingekua rahisi pia kwa mzungu kumuua mzungu mwenzake kisa eti ni Masia ivo kwa point iyo nahisi hata Yesu mwenyewe alikua mweusi na ikapelekea kutafutwa Mweusi mwenzie kumsaidia msalaba.
 
artifacts.jpg


Nyara ghafi za Misri ya kale zakutwa Marekani Kaskazini
Kwa miaka, archaeologists wa Eurocentric wamegeuza kwa kiasi kikubwa shavu lingine wakati ilipokuja ugunduzi wa mabaki kutoka Misri ya kale yaliyogundulika katika Amerika. Kulingana na Dk.
David Imhotep, mwandishi nyuma ya kitabu "Wamarekani wa Kwanza walikuwa Waafrika: Imeandikwa
Ushahidi, "" Nguvu za Misri zilizopatikana Amerika ya Kaskazini kutoka kwenye vitabu vya Algonquin juu ya
Pwani ya Mashariki na majina na majina ya mahali pa Misri katika Grand Canyon "ni ishara zote za
kuwasili mapema Amerika na Waafrika. Hii pia imeunganishwa na akaunti ya awali ya
Watu wa weusi wenye ujuzi wa ajabu katika bahari. Kabla ya 445 B.C., mwanahistoria wa Kigiriki Herodotus aliandika
"Mfalme Ramses III akiongoza timu ya Waafrika baharini". Pamoja yote hii ingekuwa inaelezea Waafrika walikuwa na ujuzi meli kufika Dunia Mpya kabla
Columbus.
 
Back
Top Bottom