Tahariri yenye Taharuri
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 416
- 499
Wamekuchezea akili sisi Ni goldholeSasa inakuwaje Afrika inaitwa shithole?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekuchezea akili sisi Ni goldholeSasa inakuwaje Afrika inaitwa shithole?
Na dini zao piaKinachotumaliza sisi weusi Woga wa kimapokeo kutoka kwenye maandiko ya kihistoria yaliyoandikwa na wazungu Kwamba tulianzia kuwa Masokwe je hao wazungu walikuwa sokwe gani?
Asante sana
Asili ya wazungu Ni ualbinoHivi wazungu kwanini wananuka,tatizo ni nini ?
Wazungu niliowahi kukaa nao huwa wanakaharufu furani hivi kabovu na usiombe awe ameloana na mvua
Asante ndugu, polepole tutafika
Tunahitaji chombo Cha kutukutanisha pamojaSisi tutabaki hivihivi eti "mungu anawaona"
Pia inadhihirisha kwamba blacks walisha kuwa na maingiliano na falme za mbali hapo zamani hata kabla yao kuja kwetu. Australia ina wakazi wa asili ambao ni ma blacks, pia inasemekana walitoka Afrika miaka 50000 kabla ya Yesu.ndo maana alishurutishwa kuubeba ule Msalaba. Angekuwa Mzungu asingelazimishwa kuubeba msalaba wa Yesu. Hiyo pia inadhihirisha kuwa tulikuwa nyuma ya wenzetu miaka mingi sana. Tuamke, tupambane, tuache kulalamika kuwa tulionewa. Sisi ndo tumejionea wenyewe. tupambane tusonge mbele waliko wenzetu.
kule misri wakati kunajengwa pyramid chambo cha usafirishaji nilikuwa ngarawaHistoria inatuambia kuwa columbus na Henry the navigator Ndiyo binadamu walio gundua merikebu, lakini tangu kipindi cha nabii yona merikebu zilikuwepo. Hapa inaonyesha kuwa kuna kipindi teknologia ilipotea. Mpaka baadaye Henry the navigator anagundua tena merikebu.
Unajua sababu ya kurise kwa Mali empire? (sio kingdom)Unaifahamu vizuri kingdom ya mali enzi za mansa mussa? Na chuo kikuu cha kwanza inasadikika kilikuwa Timbuktu. Ndiyo maana hadi leo france anapiganisha makombola na kumaliza kabisa shahidi hizi za kihistoria.
AsanteMkuu figisu alizochezewa mtu mweusi hazijafanyika ndani ya mwaka au miaka 10,ni zaidi ya miaka 500.
Waafrika jamani tutafute historia halisi ya Waafrika iliyoandikwa bila bias yoyote.
Sasa unafikiria uvamizi uliofanywa,uporoji wa mali asili na nguvu kazi,uharibifu wa ujuzi/elimu ya mwafrika,ufutaji wa utamaduni wetu,upandikizaji wa mfumo wa elimu usioendana na mazingira yote ya Kiafrika,ukoloni rasmi,ukoloni mambo leo,ubaguzi wa rangi unafikiri madhila haya yote yanaweza yakafanya mtu kusimama katika ukuu wake?Kwa msaada zaidi kama unataka kujua tafuta kitabu cha mwanahistoria nguli wa Kisenegali,anaitwa Cheikh Anta Diop kinaitwa,African Origin of Civilization, Myth or Reality. Bwana Diop alikuwepo kwenye mkutano maarufu wa UNESCO miaka ya 70 iliokua unajadili asili ya watu wa Misri ya kale,huyu bwana aliwashinda Wazungu pale alipothibitisha hoja kua lugha ya Wamisri wa kale ilikua inashabihiana sana na lugha ya kabila huko Senegali hivyo basi hao Wamisri wa kale walikua ni watu wenye asili ya weusi.Kwa maana hiyo Wamisri asili[Achana na hawa waarab unaowaona sasahivi ambao walikuja hapo baada ya Misri kutekwa na Waroma,baadae Wagiriki na ndio wakaja Ottomans(waarab)] ndio waliwafundisha akina Plato na Aristotle hiyo philosophia wanaosemekana wao ndio wababa .
Amazingkule misri wakati kunajengwa pyramid chambo cha usafirishaji nilikuwa ngarawa
walikuwa wanatoa mawe upande mmoja wa MTO hadi upande mwingine
How long will they hide us???? In the end even in Africa it will be or it already is that white , light skinned folks who will represent us, to complete this bizzare racial madness
[emoji15]Trump is wrong' in Africa are gold holes, a Jackpot bingo, from whence Europe was conceived