Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Wengi au labda wote, tunajua kuhusu historia, hutolewa kutoka vyombo vya habari vya White - aina moja au nyingine. Kwa maana kwamba hiyo tunaita historia leo ni maandiko ya wagiriki, warumi na waarabu, tengenezo la vyombo vya habari vya White ni kuwafurahisha na kufariji watazamaji weupe , sio kuwashawishi mtu yeyote. Baada ya yote, ni kiini macho. Kwa hiyo kwanza kabisa, hebu tufafanue ni nini REAL, na ni nini fantasy
Hivyo hivyo vyombo vya Whites ndivyo viliandika kuwa Fuvu la mtu wa kwanza kabisa lipo Oldupai Gorge, Tanzania na picha wanapost.

Ni hivyo vyombo ndivyo vinasema kuwa mchezo wa mieleka ulianzia Africa kisha ugiriki

Ni hivyohivyo vyombo vinavyoitangaza Serengeti, Kilimanjaro, Ngorongoro na Selou game reserves kila kukicha.

Hebu tuche kulalamika sisi watu weusi

Tulikuwa wapi tusigundue vyombo vyetu vya habari ambavyo vingeitangaza Africa in a positive image?

Kwanini tunalalamika kuwa walitumia vyombo vyao kuandika historia ya uongo kuhusu Afrika?
 
kama waarabu ndio wabaya sana wameharibu sana brain za jamaa zetu[/QUOTjamaa zetu wapi unawazungumzia mchumba.Hivi unajuwa kama mahusiano kati ya jamii za Aftica(pwani) na zile za Asia kutoka iran,oman zilianza karne ya 9 karne 8± ahed kabla ya kuanza kwa ukoloni.
Jamii kutoka bara Asia na Afrika zilifanya biashara kwa karne nyingi bila ya kuweko kwa migogoro baina yao hadi walipokuja wareno kuingilia biashara hizo.
Kuna hisroria nyingi ambayo imefichwa kuhusu uhusiano kati ya waarabu na Waafrika
 
Waafrika bwana kwa kutaka kujikweza kwa mambo ya kusadikika utawaelewa tu.

Mwafrika hajawahi sitaarabika kuzidi Mzungu wewe.

Tunawaona bushmen na maisha yao huko Namibia Then uniambie wametokana na jamii iliyostarabika ni kujidanganya tu.
 
Hivyo hivyo vyombo vya Whites ndivyo viliandika kuwa Fuvu la mtu wa kwanza kabisa lipo Oldupai Gorge, Tanzania na picha wanapost.

Ni hivyo vyombo ndivyo vinasema kuwa mchezo wa mieleka ulianzia Africa kisha ugiriki

Ni hivyohivyo vyombo vinavyoitangaza Serengeti, Kilimanjaro, Ngorongoro na Selou game reserves kila kukicha.

Hebu tuche kulalamika sisi watu weusi

Tulikuwa wapi tusigundue vyombo vyetu vya habari ambavyo vingeitangaza Africa in a positive image?

Kwanini tunalalamika kuwa walitumia vyombo vyao kuandika historia ya uongo kuhusu Afrika?
Sasa hivyo ulivyotaja na vinavyosifiwa 99.99% ni vitu vya kiasili ambavyo have nothing to do with Africans. Kwani Mlima Kilimanjaro kuwepo pale ni Wachagga ndio wameuweka?
 
Hivyo hivyo vyombo vya Whites ndivyo viliandika kuwa Fuvu la mtu wa kwanza kabisa lipo Oldupai Gorge, Tanzania na picha wanapost.

Ni hivyo vyombo ndivyo vinasema kuwa mchezo wa mieleka ulianzia Africa kisha ugiriki

Ni hivyohivyo vyombo vinavyoitangaza Serengeti, Kilimanjaro, Ngorongoro na Selou game reserves kila kukicha.

Hebu tuche kulalamika sisi watu weusi

Tulikuwa wapi tusigundue vyombo vyetu vya habari ambavyo vingeitangaza Africa in a positive image?

Kwanini tunalalamika kuwa walitumia vyombo vyao kuandika historia ya uongo kuhusu Afrika?
Wamegawanyika, wako wanaoficha na wanaofunua
 
Waafrika bwana kwa kutaka kujikweza kwa mambo ya kusadikika utawaelewa tu.

Mwafrika hajawahi sitaarabika kuzidi Mzungu wewe.

Tunawaona bushmen na maisha yao huko Namibia Then uniambie wametokana na jamii iliyostarabika ni kujidanganya tu.
The saga is more complex kuliko unavyo fikiri wewe
 
this is also a falacy. Kama mtu mweusi ndiye asili ya ustaarabu na maendeleo duniani alipatwa na nini leo tuko hivi. ustaarabu ziro kabisa. ukija huku mijini kama Dar es Salaam wanakunya hadi kwenye mifuko ya Malboro na kutupa jalalani. Tusijikweze sana na kutafuta huruma ya dunia. Sisi watu weusi tumechelewa sana kuzinduka. kama ni evolution basi ilianzia kwa watu weupe, wakafuta wengine kama Wahindi, Waarabu n.k ndo tunafuata sisi wa mwisho. Wakati wenzetu walishafikia hadi hatua ya kuwa na magari, meli na hata kuzindua ndege sisi bado tulikuwa hatuvai hata nguo. tusijidanganye sana kwamba tulikuwa mbele zamani wakati ni dhana ya uwongo iliyokubuhu. Tuache kutafuta kuhurumiwa, tupambane hali zetu.
It is not a fallacy brother,read the bible pale rebecca mke wa isaka alipozaa mapacha,imeandikwa esau alitoka akiwa mwekundu ambayo inaweza maanisha ni mweupe,lkn haijaandikwa rangi ya mwenzie,hapo jiongeze.

Musa alipokua anapokea ishara kutoka kwa Mungu,akaambiwa aingize mkono wake kwny joho,mkono ukatoka mweupe km theluji,yaani alipata ukoma,wataalam wanakwambia ni mtu mweusi tu ambaye akipata ukoma ngozi yake inakua nyeusi.

Mzungu kafanikiwa sana kutubrainwash,katudanganya hadi kwny masuala ya ushauri wa kiafya,kuna ushauri wa kiafya hauwezi kupewa sawa kati ya mweusi na mweupe,sababu inawz dhuru mmoja wapo,lkn wao wanatuaminisha tuishi km wao kwa lengo la kutupungza,lkn hii ni topic ya cku ingine.

Read brother utagundua mengi sana.
 
Kuna verse moja kwny wimbo ulio bora wa mfalme sulemani,anasema yeye ni mweusi nk,ckumbuki ni sura ipi.
 
Kumbe huku kwenye Shithole siyo kwetu
Sisi ndio first inhabitants wa dunia,kuna theory mbili za mwanzo wa wazungu,inasemekana wazungu ni uzao wa malaika walioshuka na kuzaa na binadam wakt wa nuhu.

Na nyingine inasema wazungu walianzia kwa esau mtoto wa isaka,isaka alizaliwa mwekundu kwa mujibu wa bible na alikua na malaika wengi,ht yakobo alipojivika ngozi ya kondoo kujifanya esau bdo babake aliamini yeye ni esau kweli cuz alikua na malaika wengi hadi mikononi,sote tunajua wazungu wana malaika mengi kuliko waafrika.
 
Sasa hivyo ulivyotaja na vinavyosifiwa 99.99% ni vitu vya kiasili ambavyo have nothing to do with Africans. Kwani Mlima Kilimanjaro kuwepo pale ni Wachagga ndio wameuweka?
Wazungu kuandika kuwa mieleka iliasisiwa Africa kisha Wagiriki wakaiga sio kuukuza utamaduni wa kiafrika ama kuupongeza?

BTW, swali la msingi lilikuwa kwamba ni kwanini Waafrika hawakugundua vyombo vya habari vitakavyowatangaza vizuri wao na ustaarabu wao duniani kote?
 
Apa mzungu alichemka kufikilia
Ni maswali ambayo hata walimu wetu wa historia huko msingi na sekondari na hata wa biolojia wameshindwa kujiuliza na kutufuta na huo ujinga kwamba blacks tu ndio walitokea kizazi cha masokwe
 
Hivyo hivyo vyombo vya Whites ndivyo viliandika kuwa Fuvu la mtu wa kwanza kabisa lipo Oldupai Gorge, Tanzania na picha wanapost.

Ni hivyo vyombo ndivyo vinasema kuwa mchezo wa mieleka ulianzia Africa kisha ugiriki

Ni hivyohivyo vyombo vinavyoitangaza Serengeti, Kilimanjaro, Ngorongoro na Selou game reserves kila kukicha.

Hebu tuche kulalamika sisi watu weusi

Tulikuwa wapi tusigundue vyombo vyetu vya habari ambavyo vingeitangaza Africa in a positive image?

Kwanini tunalalamika kuwa walitumia vyombo vyao kuandika historia ya uongo kuhusu Afrika?
Mkuu tatizo sio tulikuwa wapi
Tatizo mzungu katubrainwash kwamba kila kitu kilianzia kwake Scientist wa kwanza mzungu
Mbailiojia wa kwanza mzungu
Mfizikia wa kwanza mzungu
Mkemia wa kwanza mzungu
Mjeolojia wa kwanza mzungu

Ukienda deep utakuta material walizotumia hao wanaosemwa wagunduzi wa kwanza walichukua kwa watu weusi kizembe sana wengi tulijua mzungu alifuata treasure tu afrika na sio kweli ona mmarekani alichokifanya iraq kawagombanisha kumbe yeye alifuata material zote za kimapokeo amezipeleka kwake baadae utasikia wamegundua kitu flani kumbe iliandikwa mahali fulani na wao wakaiba kukiendeleza tu na sio wagunduzi
 
Mkuu tatizo sio tulikuwa wapi
Tatizo mzungu katubrainwash kwamba kila kitu kilianzia kwake Scientist wa kwanza mzungu
Mbailiojia wa kwanza mzungu
Mfizikia wa kwanza mzungu
Mkemia wa kwanza mzungu
Mjeolojia wa kwanza mzungu

Ukienda deep utakuta material walizotumia hao wanaosemwa wagunduzi wa kwanza walichukua kwa watu weusi kizembe sana wengi tulijua mzungu alifuata treasure tu afrika na sio kweli ona mmarekani alichokifanya iraq kawagombanisha kumbe yeye alifuata material zote za kimapokeo amezipeleka kwake baadae utasikia wamegundua kitu flani kumbe iliandikwa mahali fulani na wao wakaiba kukiendeleza tu na sio wagunduzi
Mkuu...Waafrika wengi tunapenda kujifariji katika Uongo na Ujinga.

Pia waafrika wengi tunapenda kulalamika badala ya kutafuta masuluhisho ya matatizo yetu.

Lakini zaidi Waafrika tunapenda raha na starehe lakini hatutaki kutengeneza mazingira ya kuleta hizo raha na starehe sisi wenyewe.

(Hizo ndio tabia za Mtu mweusi [emoji115] )

Hata hapa inatupasa tukubali kuwa Wazungu walishatuacha mbali sana KIUMOJA, KIFIKRA, KIUBUNIFU na KIUGUNDUZI. halafu baada ya hapo tutafute namna ya kujiongeza haswa kiumoja na kiugunduzi.

Viongozi wa Afrika kwa miaka mingi sana pia wamekuwa ni sababu ya umasikini wa kupindukia Afrika.

Kujipa Hopes hapa ni Ujinga tu na wala haitamzuia Mzungu kuzidi kutuacha mbali.


Long live Donald Trump[COLOR]
 
Maelfu ya miaka watu weusi walikwenda bara Asia na Ulaya na kufanya ustaarabu huko, mtu mweusi ndiye aliyestaarabisha Dunia, uliyofundishwa darasani Ni historia changa mno, Tena ya karibu mno, mtu mweusi hujitambui, ungelijijua wewe....!!!!!! Dunia itatikisika, sisi tulikuwa wenyeji asilia wa bara la Asia na Ulaya maelfu ya miaka kabla ya biashara ya utumwa, kimsingi wenyeji asilia wa dunia ni sisi, mwalimu wako wa history anakwambia ulikwenda Ulaya Kama mtumwa???????!!!!!

The British, with the "Modern" Germans, were the originators of revisionist history. It was they who first began to write Blacks out of history after the “Race/Religious Wars" of the late medieval. Now look, the British will soon start teaching their children the truth: that Blacks were the original people of Britain. But please know, this is not the result of truth seeking, those truths were always known
Exactly mtu mweusi ndiye aliyeleta civilization duniani,hata pale kwenye bahari ya shamu,katika lile kongamano la watu watu kutoka Misri,walikuwepo watu weusi pia,Nina uhakika na ninachokisema,
 
Back
Top Bottom