Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
na teknolojia wanazotumia ni za kishetani pia,Kumbe we unalijua hili???? Iko siri kubwa mno imefichwa kuhusu maalbino, zaidi ya hayo mauaji yao, ambayo binafsi siyaafiki katika dunia ya sasa, lakinibabu zetu zamani waliamini watu weupe ni mashetani, waliogopa kabisa