Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Afu we utakuwa msabato wewe,tawala kubwa NNE???? Haha hahah, wapi utaacha dola LA Sumeria,wapi utaacha dola LA uajemi??? Na babeli,African ni kongwe kuliko zote,pole sana ndugu

of Elam (Medo-Persia, or Iran)



Iran, the land of the Aryans has a long and rich history. Some of the world's most ancient settlements have been excavated in the Caspian region and on the Iranian plateau. Village life began there around 4000 BC. (post Edenic era)
Na Dola Kongwe la Mesopotamia Iraqi ya leo
 
Mwache twende Mimi na wewe, unawajua The Moors wewe, watu walioitawala Ulaya Italy mpaka spain kutoka Morocco? weusi tii
Asante Binti Hemedi kwa kutusaidia, si kwamba tunajua kila kitu, tunaumiza vichwa kutafuta, na wakati mwingine tunategemea nguvu ya wanaharakati wengine Kama wewe, asante Sana ndugu
 
Nyakati hizi za Sasa zina turuhusu zaidi na zaidi mbali na "umri wa safari uchunguzi za Ulaya" utumwa na ukoloni ambao ulijiri mapema awali ya karne ya 15 na kuendelea na tumevuka ng'ambo zaidi ya nyakati za ubaguzi wa rangi, taaluma na dini, wanahistoria wanaanza kutambua kuwa Waafrika walikuwa mafundi na walimu wenye ujuzi muda mrefu kabla ya Wazungu, kinyume na imani maarufu lakini potofu za leo. Wapo wamesahau utumwa na ukoloni, wanasema mweusi hajui kitu hawezi kitu
 
Tuache hii ujinga. Mimi binafsi nilisoma sana haya mambo yanayohusiana na Afrocentrism na blah blah nyingine kibao. Mwisho wa siku nikaona ni ujinga tupa kule. Hoja ni mufilisi. Sisi tupambane kuwafikia wenzetu. Ni sawa na wale wanaokaa vijiweni na kuanza kusema 'enzi zangu nilikua...'. Waafrika tuna safari ndefu sana sana.
Unachanganya mambo mkuu,hakuna anaepinga hali mbaya sana tulionayo waafrika kwa SASA,ila watu wanapinga ya kua eti hii hali iliyopo kwa sasa ndio asili yetu haswa kuanzia mwanzo kabisa ya race yetu.Na jambo hili linatumika ila kuwaaminisha na kuwafanya waafrika tusibadilike tukijua kua hii hali yetu ya sasa ndio asili yetu hivyo hata iweje tutaishia kua hivihivi.
Tunavyokumbushia umaridadi wa mtu mweusi tunataka uwe kama hamasa ya kutukwamua sisi kutoka hali tuliyonayo kufikia hali yetu ya ukuu tuliyokua nayo kitambo.Kwa maana nyingine uduni wa mwafrika sasahv hautunyimi haki yetu ya kusema kua kamwe hatukua watu duni.
 
Unachanganya mambo mkuu,hakuna anaepinga hali mbaya sana tulionayo waafrika kwa SASA,ila watu wanapinga ya kua eti hii hali iliyopo kwa sasa ndio asili yetu haswa kuanzia mwanzo kabisa ya race yetu.Na jambo hili linatumika ila kuwaaminisha na kuwafanya waafrika tusibadilike tukijua kua hii hali yetu ya sasa ndio asili yetu hivyo hata iweje tutaishia kua hivihivi.
Tunavyokumbushia umaridadi wa mtu mweusi tunataka uwe kama hamasa ya kutukwamua sisi kutoka hali tuliyonayo kufikia hali yetu ya ukuu tuliyokua nayo kitambo.Kwa maana nyingine uduni wa mwafrika sasahv hautunyimi haki yetu ya kusema kua kamwe hatukua watu duni.
Bukoba boy Asante Sana mpiganaji mwenzetu
 
Wametuzidi maarifa kwa kutuaminishisha sisi si lolote si chochote(kisaikolojia) na pia walihakikisha wajuzi wote na wataalam mbalimbali ujuzi wao wanakufa nao wenyewe bila kurithisha vizazi vijavyo.
Wametuletea mfumo wa elimu tofauti na mahitaji na mazingira yetu, dini,mfumo tawala na siasa, pia wakaua biashara yetu batter trade , Sasa sisi tumekuwa consumer tu na buyers wa product za Asia a Ulaya, kamwe hawataki tuwe watengenezaji, Bali vitendea kazi, na watoa malighafi
 
We have been discouraged, we are being discouraged now, systematically, nawe hujui, kwamba mfumo mzima umeaharibiwa nyaka nyaka, ndio kwanza tunaanza kuamka upya
Discouragement ni jambo la kawaida kwenye jamii mbili tofauti,Na linatokea mpaka leo hilo sio jambo la kulilalamikia kabisa.Pia mimi sio kwamba nazungumza kitu ambacho sikijui nazungumza vitu ambavyo navijua na nimevisoma sana.

Nimesoma haya maandiko mengi yanayojaribu kuplace position flani ya mwafrika kwenye ancient world.Nimewasoma Pharaos,Nimewasoma akina Hannibal,Imhotep,HammurabiMansa K Mussa.Nimesoma dola nyingi tu za zamani kama Ancient Egypt,Sumeria,Persia,Carthage,Greece,Nubia.Nimesoma book of the dead,Epic of Gilgamesh etc.Nayajua vizuri haya mambo.

Lakini nilichogundua Black-Centric viewers Wanalalamika sana kujaribu kutafuta huruma ya dunia kwa kutumia blah blah za hovyo kabisa.Tena kwenye mambo ambayo hayana hata ushahidi convincing kwa sababu wengi wao wana inferiority complex.Wamefikia mpaka hatua wanasema wazungu walivunja pua za Statues kufuta historia ya mweusi yaani mambo fulani ambayo hayana fact yoyote.

Kama kuna tulikuwa kuwa intelligent kuliko wao how come watudiscourage kama tuliwazidi?

Mbona hakuna falsafa yeyote ya mwafrika ya kueleweka compared to other world societies?.Kuna falsafa za wachina,Hindi etc kwa nini za hao zinaishi mpaka leo lakini za mwafrika hazipo?.Jibu ni kwamba haijawahi kuwepo falsafa ya mtu mweusi.

Tukubalini tu tupo nyuma tuendelee kupambana na haliyetu tu.
 
Tukubalini tu tupo nyuma tuendelee kupambana na haliyetu tu.
Ukubaliane na Nani??? Umekubali mwenyewe....asiyeona uhusiano wa Moja kwamba Moja wa Jana yake na kesho yake, hajaijua kamwe leo yake, na hakika katika binadamu wote wenye madhila, hakuna dhila lililokubwa kuliko mtu kushindwa kujipenda nafsi yake mwenyewe, na utahangaika na watu wote si huyu mja, Ni Kama maiti inayotembea.....Basi katika ngano za kale za wafalme imepata kusimuliwa kwamba, Mara Moja baada ya miaka mingi, mfalme wa nchi alitoa msamaha kwa wafungwa wote, hata hivyo kuko miongoni mwao maisha ya gereza walisha yazoea, , Basi mfalme aliagiza wanyolewe nywele zao na kuhasiwa, Kisha akaamuru watiwe Tena gerezani siku zote za maisha yao, na hata maiti zao na makaburi yangetiwa mhuri na kuzungushiwa minyororo na kutiwa ilani ya waliolaaniwa, wafungwa wa nafsi. Nami nikitafakari Sana, namwomba Ameni aninusuru, katu nisiwe katika kundi la Waja Hawa....
 
Wametuzidi maarifa kwa kutuaminishisha sisi si lolote si chochote(kisaikolojia) na pia walihakikisha wajuzi wote na wataalam mbalimbali ujuzi wao wanakufa nao wenyewe bila kurithisha vizazi vijavyo.
This is rubbish kaka. Kusema kwamba wameua wataalam ni very weak defending statement. Kama ni kweli we were that superb haya mambo ya intelligence ni genetic issue. Hivyo bado tungeweza kuzalisha hao wajuzi na watu wenye vipawa vikubwa hata kama the ancestors waliuwawa.
 
Unachanganya mambo mkuu,hakuna anaepinga hali mbaya sana tulionayo waafrika kwa SASA,ila watu wanapinga ya kua eti hii hali iliyopo kwa sasa ndio asili yetu haswa kuanzia mwanzo kabisa ya race yetu.Na jambo hili linatumika ila kuwaaminisha na kuwafanya waafrika tusibadilike tukijua kua hii hali yetu ya sasa ndio asili yetu hivyo hata iweje tutaishia kua hivihivi.
Tunavyokumbushia umaridadi wa mtu mweusi tunataka uwe kama hamasa ya kutukwamua sisi kutoka hali tuliyonayo kufikia hali yetu ya ukuu tuliyokua nayo kitambo.Kwa maana nyingine uduni wa mwafrika sasahv hautunyimi haki yetu ya kusema kua kamwe hatukua watu duni.
Hapana hujanielewa labda tu kwamba nili-generalise maelezo yangu. Na pia nieleweke si kwamba kutuzidi kwetu wenzetu kunawapa justification ya kutukandamiza na kutunyonya. Nachopinga ni hizi tales za ubabaishaji khs waafrika. Na pia labda tu niseme kwamba kikubwa ninachowalaumu white folks ni kuja kutuharibia mfumo wetu wa maisha waafrika tuliokua nao kabla ya ujio wao; kwa wao mfumo wetu wa maisha tuliokua nao kabla ya invasion waliona ni primitive na savage, lakini mimi mpak kesho nawalaumu na kuwaona washenzi wakubwa hawa watu weupe kwa kutuletea mifumo yao ya dini, elimu na mengineyo. I rest my case!
 
This is rubbish kaka. Kusema kwamba wameua wataalam ni very weak defending statement. Kama ni kweli we were that superb haya mambo ya intelligence ni genetic issue. Hivyo bado tungeweza kuzalisha hao wajuzi na watu wenye vipawa vikubwa hata kama the ancestors waliuwawa.
Huyo mwalimu wako msingi anakwambia ulipata elimu baada ya kukutana na mkoloni, pale chuo kikuu engeeneering unajifunza kuchomea viti, Kisha kweli unaweza kusema hatuna intelligence genes???? Hebu mtafute philiP Emiagwali mswahili wanigeria mwenzetu kabisa amefanya Nini??? Kusema tulivyo ndivyo tulivyo, na kukana mambo na shuhuda Lukuki zinazothibitisha utekelezwaji wa agenda mahususi ya kudumisha ulemavu na udumavu wa maendeleo Africa Ni ujinga, hutaki kukiri kwamba, tumegawanywa kidini, hutaki kukiri utuwetu na historia imepotoshwa, hutaki kukiri watu wanaobomoa ndio Wana sapotiwa na wenzetu wa magharibi na mashariki, idi amin alikimbilia saudia, Ronald Reagan na CIA WALIMCHOMEKA SESEKO MOBUTU, akamuua Lumumba, hahaaaaa, hao hao walimsapoti savimbi Kisha wakamuua, CIA wanasapoti vikundii vya ugaidi, ikiwa ni pamoja na boko haram, ndio waasisi, Nani alimuua Compaore? Na Sankara? Naamini ubishi mwingine si wa dhati, Bali humu humu JF tuna shughulika na vibaraka wa CIA, HAUSHANGAZI, POA TU, lakini kwenye jumba la Sanaa usijifanya msanii!!!!!

Alamsiki
IBin taharuri
 
Huyo mwalimu wako msingi anakwambia ulipata elimu baada ya kukutana na mkoloni, pale chuo kikuu engeeneering unajifunza kuchomea viti, Kisha kweli unaweza kusema hatuna intelligence genes???? Hebu mtafute philiP Emiagwali mswahili wanigeria mwenzetu kabisa amefanya Nini??? Kusema tulivyo ndivyo tulivyo, na kukana mambo na shuhuda Lukuki zinazothibitisha utekelezwaji wa agenda mahususi ya kudumisha ulemavu na udumavu wa maendeleo Africa Ni ujinga, hutaki kukiri kwamba, tumegawanywa kidini, hutaki kukiri utuwetu na historia imepotoshwa, hutaki kukiri watu wanaobomoa ndio Wana sapotiwa na wenzetu wa magharibi na mashariki, idi amin alikimbilia saudia, Ronald Reagan na CIA WALIMCHOMEKA SESEKO MOBUTU, akamuua Lumumba, hahaaaaa, hao hao walimsapoti savimbi Kisha wakamuua, CIA wanasapoti vikundii vya ugaidi, ikiwa ni pamoja na boko haram, ndio waasisi, Nani alimuua Compaore? Na Sankara? Naamini ubishi mwingine si wa dhati, Bali humu humu JF tuna shughulika na vibaraka wa CIA, HAUSHANGAZI, POA TU, lakini kwenye jumba la Sanaa usijifanya msanii!!!!!

Alamsiki
IBin taharuri
Hahaha mkuu umeandika kwa uchungu sana. Haya yote uliyoyaandika nayatambua vema. Na si kuwa namaanisha sisi hatuna akili la hasha mkuu!
Hapa nachokiona ni kuwa sote tu wajenzi wa nyumba moja ila tunatofautiana aina ya ramani ya ujenzi. Naomba nieleweke jambo moja, mimi si pro-white supremacy kabisa. Na wallahi kwa jina la Mola mlezi nawachukia sana hawa watu kwa.jinai mbaya waliotufanyia waafrika na bado tukaamka na kutabasamu na kushirikiana nao kana kwamba hakuna jinai yoyote waliotufanyia.
 
Lakini nilichogundua Black-Centric viewers Wanalalamika sana kujari
Kumbe wewe as opposed to us ni Eurocentric??? Hatutafuti huruma Kokote kule, Bali tunawasilisha fact na takwimu, kwamba wenzetu weupe kwa makusudi kwa zaidi ya miaka 3000, wamekuwa na kampeni ya kutuhujumu huku wakitudhulumu
Mauaji holela, ya mweusi kote ulaya na Asia, biashara ya silaha kwa mamluki kila palipo na madini, madeni ambayo undani wake hauko bayana, corrupting governments, mbona kabila mkubwa aliuliwa na CIA, kwa ushirikiano na Huyo dogo, mnajifanya hamuoni,kututengenezea na kupandikiza magonjwa?, sasa baada ya ukimwi na ebola, tuna homa ya ini !!!! kusapoti vyama tawala visiondoke madarakani, supporting out dated educational curriculums, mbona ni mengi ndugu zetu???? Mnabisha nini????
 
Hapo kale nchi za afrika kaskazini zilikua za watu weusi. Waafrika weusi wa leo ndio uzao wa Ham (Mizraim, Cush and Phut). Leo hii wa canaan ni wachache sana au hawapo kabisa kwasababu wengi wao sana walishakufa zamani sana. Mizraim ni ancient Egypyt (wamisri wa kale), Cush ni ancient Ethiopia and Phut ni ancient Libya. Wahabeshi wa leo ni machotara wa kiafrika na kiarabu na hivyo hivyo wasomali. Uchotara huu unaweza ukawa wa miaka zaidi ya 2000.

Kibantu na ubantu ni very complex. Lugha ya kibantu ilikua lugha kuu (lingua franca) ya himaya hizo za kale za watu weusi kwa kipindi fulani kirefu sana. Kuna wabantu ambao ni ancient Egyptians, kuna wabantu ambao ni ancient Ethiopians na kuna wabantu ambao ni ancient Libyans. Kuna sehemu ya maneno ya kibantu ambayo ni maneno yaliyo tumiwa na Kizazi cha Noah kabla ya lugha kugawanywa kwenye mnara wa Babel.

Wabantu huenda inamaanisha watoto wa anu na antu, ambao ni miungu ya uwongo ya ancient Sumeria. Ancient Sumeria ipo Sehemu ya Iraq ya leo. Kumbuka kwamba himaya kama Assyria na Babylon zilikua na hamitic phase (Nimrod and company) na Semitic phase Senacherib na Nebuchadnezzar and company.

Makabila ambayo ni pure wafugaji kama wamasai ni direct vitukuu wa ancient Cush (ancient Ethiopians). Kuna uwezekano wamasai ni ancient sabeans, ancient sabeans ni sub-category ya ancient cush. Ancient Ethiopia ni Sudan ya leo, ingawa kuna vipindi vya kale zaidi ambapo ilikua pia sehemu za Iraq, sehemu ya Saudia na Yemen, saa ingine hadi sehemu ya India na sehemu ya cambodia.

Makabila ambayo yanachanganya kilimo na ufugaji na yana ishi karibia na mto Nile au Lake Victoria kama Waluo hawa watakua ancient Egyptians au ancient ethiopians. Kuna wabantu ambao ni ancient Egyptians (hususan wale wa river Nile and Lake Victoria area kama wahaya, wabaganda). Wachagga, Wakikuyu na Wakamba wanaweza kua ancient Egyptians au ancient Libyans, lakini kuna probability kubwa wakawa ancient Libyans. Mataifa ya ancient Libya, Egypt na Ethiopia yalikua na muingiliano mkubwa. Kuna vipindi virefu sana ambvyo mafarao wa Ethiopia na Libya walitawala Misri and vice-versa.

Kuna jamii za waafrika weusi (especially wamisri wa kale) ambazo huko zamani sana walikua wanamchukia na wanabishana sana na Mungu wa Israel (na watakatifu wake) na walikua na akili sana, mafanikio sana, utajiri mwingi sana na kiburi sana. Pia walikua wanapenda sana sensual sins.

Ina sadikika kwamba kutokana na ubishi na kiburi cha hawa jamaa, Mungu wa Israel ali waadhibu waafrika weusi kwa kuwashusha chini sana sana kimaendeleo kwa kipindi kirefu sana sana mpaka leo hii afrika haija recover sawa sawa. Kushushwa huko kulipelekea kuja kwa ukoloni, utumwa na kukaliwa kwa afrika kaskazini na watu wa jamii ya kiarabu (waarabu weupe, wa-semites).

Ham ndo alikua mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Noah, Shem alikua wa pili, Japheth alikua watatu. Canaan ndie aliefanya kosa lile, Noah akamlaani Caanan. Akampa Shem haki za mtoto wa kwanza na akambariki Japheth pia, Ham hakutajwa kwenye Baraka zile, lakini pia hakulaaniwa. So ikawa Shem, Ham and Japheth. Na Yesu akaja kupitia uzao wa Shem, Abraham, Isaac na Jacob. So the right of the first born son and the holy and royal line of the priest hood aliipata Shem. Wakristo kupitia Yesu ni warithi wa kiroho wa hiyo right of first born. Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Japheth ni baba wa wazungu na Shem ni baba wa waebrania (waisraeli wa zamani), waarabu weupe na mataifa ya mashariki ya kati. Baada ya Kutawanywa kwa wajenzi wa mnara wa Babeli, Mungu wa Israel aliunda mataifa 70 ambayo yalitokana na Shem, Ham na Japheth. Na watu wote walioko duniani leo ni vitukuu vya hayo mataifa 70.
 
Back
Top Bottom