kitongaah
Member
- Jan 7, 2018
- 76
- 68
Hua najiuliza n kwanini sehemu yoyote ile ya dunia utawakuta watu weusi halafu wanatudanganya ya kua walikua watumwa inawezekanaje watumwa kuzaliana wakat walikua wanahasiwa ukweli ni kwamba mtu mweusi alipewa maarifa na mungu hebu tizama mapyramidi yalivyo jenga misri unahisi ni tecknologia gani je watu wazaman walikua wanalimaje kwa hyo na falao aliishi mapangoni ni machache tuu pia spain imekua chini ya dola ya kiislamu kwa muda wa miaka mingii acha hilo mbinu za kivita vimegundishwa barabara ndani ya kitabu kitakatifu cha quran na jinsi ya ustaarabu wa kuishi katika jaamii na ndioo maana wazungu hutumia juhudi kubwa kutuchukia na kuaminisha jamii kua wao n bora ila ukweli sisi niwatu tulio pewa kitaabu muongozo wa maishaa