Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #201
Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.
Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?
Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?
Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?
Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.
Broo kuwa mwelewa, lugha siyo kikwazo strong cha sisi kuendelea huo ni umbulula.
Mbona zimbambwe wanatumia kingereza umeona wamekuwa matajiri ?
Maendeleo hayana excuse ya lugha bali sisi tuna na maujinga tu mengine ya ki-utawala na kukosa uzalendo wa kujipenda.
Mimi nazungumzia majority universities huko ng'ambo siyo vyuo vya binfsi vya kigeni.
Kwani hapa tanzania hakuna mtu yeyote mgeni akaamua kuanzisha chuo akaanza kufundisha kozi zake kwa kichina ? Sasa hiyo ndiyo utasema vyuma vya nchi husika hiyo vinatumia kichina.
Majority universites kwenye nchi za wenzetu wanatumia lugha zao wenyewe na siyo kingereza kama unavyo ng'ang'ana wewe.
Kwani maendeleo ya wachina kipindi cha MAO ZE DONG yaliletwa na kingereza ?
USSR ya JOSEPH STALIN ilifanya modern industrilization kwa kingereza ?
Mbona kuna vitu vina uelewa wa kawaida sana ?
Mtazamo unasaidia nini hapa kama hujachukua hatua zozote.Ungekuwa na akili za kupambanua mambo basi ungeelewa kwamba maendeleo hayaletwi na mtu mmoja.
Alafu mimi sijalalamika nimesema mtazamo wangu.
Nilalamike kwani kuna mtu anapaswa anipe hayo maendeleo ?
Broo mbona unauelewa finyu sana wewe.Hivi upo serious kabisa nyuma ya keyboard unafananisha Tanzania na China na USSR kweli?
Wakati wao wanapata uhuru/revolution sisi hata dalili hiyo haikuwepo. Bado mpaka leo hatujaweza kutoka chini ya mti wa Common Wealth, jeuri ya ku'suspend Kiingereza tuitoe wapi? Tutumie Kiswahili mazima, then what next? Ndo technology itakua? Ndo uzalishaji utaongezeka? Ndo hela yetu itapanda thamani?
Hatua ya kwanza ni kujijenga kiuchumi ndipo hatua ya kuamua kutumia Kiswahili ifuate na si vinginevyo.
Ngoja nichague kuachana na wewe maana wewe ni miongoni mwa wale wanaochangia hii nchi kutoendelea.Mtazamo unasaidia nini hapa kama hujachukua hatua zozote.
Unalalamika waarabu sijui wahindi ni matajiri. Wewe umekatazwa na nani kuwa tajiri?
Broo mbona unaulewa finyu sana wewe.
Kwani kutoka Russian revolution 1917 mpaka miaka ya 1960s ni miaka mingapi imepita kama siyo 43 tu.
Sisi leo ni miaka sitini ngapi ya uhuru mpaka kiwembe bado tunatumia cha made in INDONESIA or INDIA.
China kutoka mwaka 1949 mpaka miaka ya 1980s ni miaka mingapi imepita kama siyo 31 tu.
Sisi for more than 60 years nini tunanivunia hasa cha kwetu wenyewe chenye thamani kubwa ?
English is a language, not a key for economic development
Hivi unapotazamana na chizi, umewahi kujiuliza yeye anakuonaje wewe?
Hivi unahitaji mwalimu atoke Ujerumani aje akueleze kwamba China haiko influenced na colonial master wao mpaka leo kama ilivyo kwa nchi za Afrika?
Inahitaji mtu kuwa mwehu ili aweze kuilaumu Africa kwa kukosa maendeleo ya haraka kama ayatakayo yeye.
Inahitaji mwehu kuelewa kuwa kuna vitu haviihitaji kuambiwa tazama.
Vinaonekana vyenyewe kuwa haviko sawa.
Kwani kwa mtazamo wako inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo watu wajue maana ya kuipenda nchi yao.
Inahitaji miaka mingapi baada ya uhuru ipite ndiyo viongozi wetu watambue kuwa rushwa ni adui wa mawndeleo.
Inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo viongozi wetu watambue kuwa tunapaswa kunitegemea kiuchumi badala ya kuwategemea wazungu.
Inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo tujue kwamba tuna mfumo mbovu wa elimu ambayo unazalisha wasomi useless kwa maendeleo ya hili taifa.
Baada tunahitaji miaka mingapi baada ya uhuru ili tuyajue haya ? Maana unaona sisi kama tunaharakisha sana ebu wewe weka time frame yako
Hivi nguvu ya ROMAN EMPIRE ulikuwa unaijua wewe ?
Wenye mamlaka ya kufanya hayo mabadiliko kama hawafanyi unategemea wewe mwenyewe utaweza kufanya hayo mabadiliko kwa bara zima?Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.
Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?
Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?
Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?
Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.
Nikupe mfano wa nchi ya Niger iliyofanya Mapinduzi siku chache zilizopita.Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.
Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?
Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?
Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?
Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.
Unadhani nchi zilizoendelea ziliyafikia maendeleo kwa kubembelezana?Ndugu, maendeleo in hatua. Tulipokuwa miaka 10 iliyopita sipo tulipo leo. Inaweza isiwe kwa pace inayoridhisha ila tunaenda.
Nchi zilizoendelea hakuna watu wasio wazalendo?
Nchi zilizoendelea hakuna rushwa?
Kuhusu suala la kujitegemea kiuchumi na kubadili mfumo wa elimu, nilishakupa sababu hapo nyuma. Vikwazo katika kufikia huku viko vingi sana. Kosa lako ni kudhani kwamba una akili na mbinu zaidi ya wote waliowahi kuhudumu serikalini. Maendeleo ni mchakato. Maendeleo ni mchakato. Maendeleo ni mchakato.
Hatua ya kwanza ni kukata mizizi inayoturudisha nyuma ambayo haiwezi kukatwa kiurahisi kama utakavyo wewe laasivyo matokeo yake ni political unrest.
Unadhani nchi zilizoendelea ziliyafikia maendeleo kwa kubembelezana?
Kwamba walipata maendeleo kwa Amani bila hizo political unrest?
Hakuna maendeleo yanayo kuja kwa amani kwa kubembelezana na kuchekeana.
Sawa wew si chotaraLeo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.
Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".
Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.
Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.
Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.
Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.
Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.
Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.
Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.
Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.
Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.
Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.
Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.
Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.
Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.
Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.
Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?
Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?
Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.
Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.
Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.
Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]
Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.
I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.
Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.
To day I declare that, Being black is an Evil
Acha hasira na badala yake anza kuleta mabadiliko ya hii hali.Leo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.
Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".
Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.
Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.
Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.
Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.
Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.
Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.
Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.
Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.
Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.
Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.
Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.
Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.
Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.
Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.
Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?
Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?
Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.
Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.
Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.
Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]
Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.
I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.
Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.
To day I declare that, Being black is an Evil
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.
Hiyo dini yenyewe kama siyo wao ungeijua lini ?Sisi tumewekeza kiroho na hicho ndio kitu chenye thamani.
Hizo anasa za kumiliki majumba na vitu vya kifahari inaonekana ni ujanja katika vision ya kibinadamu.
Sisi waafrika tuna hazina yetu mbinguni hakuna haja ya kuotesha uyoga ambao hautakusaidia kwenye future life.
Ndo maana nakwambia mimi ningekuwa mkuu jeshini ningepindua nchi mchana wa saa nane kweupe.Unadhani nchi zilizoendelea ziliyafikia maendeleo kwa kubembelezana?
Kwamba walipata maendeleo kwa Amani bila hizo political unrest?
Hakuna maendeleo yanayo kuja kwa amani kwa kubembelezana na kuchekeana.