Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.

Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?

Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?

Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?

Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.

Ungekuwa na akili za kupambanua mambo basi ungeelewa kwamba maendeleo hayaletwi na mtu mmoja.

Alafu mimi sijalalamika nimesema mtazamo wangu.

Nilalamike kwani kuna mtu anapaswa anipe hayo maendeleo ?
 
Broo kuwa mwelewa, lugha siyo kikwazo strong cha sisi kuendelea huo ni umbulula.

Mbona zimbambwe wanatumia kingereza umeona wamekuwa matajiri ?

Maendeleo hayana excuse ya lugha bali sisi tuna na maujinga tu mengine ya ki-utawala na kukosa uzalendo wa kujipenda.

Mimi nazungumzia majority universities huko ng'ambo siyo vyuo vya binfsi vya kigeni.

Kwani hapa tanzania hakuna mtu yeyote mgeni akaamua kuanzisha chuo akaanza kufundisha kozi zake kwa kichina ? Sasa hiyo ndiyo utasema vyuma vya nchi husika hiyo vinatumia kichina.

Majority universites kwenye nchi za wenzetu wanatumia lugha zao wenyewe na siyo kingereza kama unavyo ng'ang'ana wewe.

Kwani maendeleo ya wachina kipindi cha MAO ZE DONG yaliletwa na kingereza ?

USSR ya JOSEPH STALIN ilifanya modern industrilization kwa kingereza ?

Mbona kuna vitu vina uelewa wa kawaida sana ?

Hivi upo serious kabisa nyuma ya keyboard unafananisha Tanzania na China na USSR kweli?

Wakati wao wanapata uhuru/revolution sisi hata dalili hiyo haikuwepo. Bado mpaka leo hatujaweza kutoka chini ya mti wa Common Wealth, jeuri ya ku'suspend Kiingereza tuitoe wapi? Tutumie Kiswahili mazima, then what next? Ndo technology itakua? Ndo uzalishaji utaongezeka? Ndo hela yetu itapanda thamani?

Hatua ya kwanza ni kujijenga kiuchumi ndipo hatua ya kuamua kutumia Kiswahili ifuate na si vinginevyo.
 
Ungekuwa na akili za kupambanua mambo basi ungeelewa kwamba maendeleo hayaletwi na mtu mmoja.

Alafu mimi sijalalamika nimesema mtazamo wangu.

Nilalamike kwani kuna mtu anapaswa anipe hayo maendeleo ?
Mtazamo unasaidia nini hapa kama hujachukua hatua zozote.

Unalalamika waarabu sijui wahindi ni matajiri. Wewe umekatazwa na nani kuwa tajiri?
 
Hivi upo serious kabisa nyuma ya keyboard unafananisha Tanzania na China na USSR kweli?

Wakati wao wanapata uhuru/revolution sisi hata dalili hiyo haikuwepo. Bado mpaka leo hatujaweza kutoka chini ya mti wa Common Wealth, jeuri ya ku'suspend Kiingereza tuitoe wapi? Tutumie Kiswahili mazima, then what next? Ndo technology itakua? Ndo uzalishaji utaongezeka? Ndo hela yetu itapanda thamani?

Hatua ya kwanza ni kujijenga kiuchumi ndipo hatua ya kuamua kutumia Kiswahili ifuate na si vinginevyo.
Broo mbona unauelewa finyu sana wewe.

Kwani kutoka Russian revolution 1917 mpaka miaka ya 1960s ni miaka mingapi imepita kama siyo 43 tu.

Sisi leo ni miaka sitini ngapi ya uhuru mpaka kiwembe bado tunatumia cha made in INDONESIA or INDIA.

China kutoka mwaka 1949 mpaka miaka ya 1980s ni miaka mingapi imepita kama siyo 31 tu.

Sisi for more than 60 years nini tunanivunia hasa cha kwetu wenyewe chenye thamani kubwa ?

English is a language, not a key for economic development
 
Mtazamo unasaidia nini hapa kama hujachukua hatua zozote.

Unalalamika waarabu sijui wahindi ni matajiri. Wewe umekatazwa na nani kuwa tajiri?
Ngoja nichague kuachana na wewe maana wewe ni miongoni mwa wale wanaochangia hii nchi kutoendelea.

Umejijaza ubinfsi tu na umimi kwenye akili yako na wala sioni kingine cha maana zaidi
 
Broo mbona unaulewa finyu sana wewe.

Kwani kutoka Russian revolution 1917 mpaka miaka ya 1960s ni miaka mingapi imepita kama siyo 43 tu.

Sisi leo ni miaka sitini ngapi ya uhuru mpaka kiwembe bado tunatumia cha made in INDONESIA or INDIA.

China kutoka mwaka 1949 mpaka miaka ya 1980s ni miaka mingapi imepita kama siyo 31 tu.

Sisi for more than 60 years nini tunanivunia hasa cha kwetu wenyewe chenye thamani kubwa ?

English is a language, not a key for economic development

Hivi unapotazamana na chizi, umewahi kujiuliza yeye anakuonaje wewe?

Hivi unahitaji mwalimu atoke Ujerumani aje akueleze kwamba China haiko influenced na colonial master wao mpaka leo kama ilivyo kwa nchi za Afrika?

Inahitaji mtu kuwa mwehu ili aweze kuilaumu Africa kwa kukosa maendeleo ya haraka kama ayatakayo yeye.
 
Hivi unapotazamana na chizi, umewahi kujiuliza yeye anakuonaje wewe?

Hivi unahitaji mwalimu atoke Ujerumani aje akueleze kwamba China haiko influenced na colonial master wao mpaka leo kama ilivyo kwa nchi za Afrika?

Inahitaji mtu kuwa mwehu ili aweze kuilaumu Africa kwa kukosa maendeleo ya haraka kama ayatakayo yeye.

Inahitaji mwehu kuelewa kuwa kuna vitu haviihitaji kuambiwa tazama.

Vinaonekana vyenyewe kuwa haviko sawa.

Kwani kwa mtazamo wako inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo watu wajue maana ya kuipenda nchi yao.

Inahitaji miaka mingapi baada ya uhuru ipite ndiyo viongozi wetu watambue kuwa rushwa ni adui wa mawndeleo.

Inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo viongozi wetu watambue kuwa tunapaswa kunitegemea kiuchumi badala ya kuwategemea wazungu.

Inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo tujue kwamba tuna mfumo mbovu wa elimu ambayo unazalisha wasomi useless kwa maendeleo ya hili taifa.

Baada tunahitaji miaka mingapi baada ya uhuru ili tuyajue haya ? Maana unaona sisi kama tunaharakisha sana ebu wewe weka time frame yako
 
Inahitaji mwehu kuelewa kuwa kuna vitu haviihitaji kuambiwa tazama.

Vinaonekana vyenyewe kuwa haviko sawa.

Kwani kwa mtazamo wako inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo watu wajue maana ya kuipenda nchi yao.

Inahitaji miaka mingapi baada ya uhuru ipite ndiyo viongozi wetu watambue kuwa rushwa ni adui wa mawndeleo.

Inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo viongozi wetu watambue kuwa tunapaswa kunitegemea kiuchumi badala ya kuwategemea wazungu.

Inahitaji miaka mingapi ipite baada ya uhuru ndiyo tujue kwamba tuna mfumo mbovu wa elimu ambayo unazalisha wasomi useless kwa maendeleo ya hili taifa.

Baada tunahitaji miaka mingapi baada ya uhuru ili tuyajue haya ? Maana unaona sisi kama tunaharakisha sana ebu wewe weka time frame yako

Ndugu, maendeleo in hatua. Tulipokuwa miaka 10 iliyopita sipo tulipo leo. Inaweza isiwe kwa pace inayoridhisha ila tunaenda.

Nchi zilizoendelea hakuna watu wasio wazalendo?

Nchi zilizoendelea hakuna rushwa?

Kuhusu suala la kujitegemea kiuchumi na kubadili mfumo wa elimu, nilishakupa sababu hapo nyuma. Vikwazo katika kufikia huku viko vingi sana. Kosa lako ni kudhani kwamba una akili na mbinu zaidi ya wote waliowahi kuhudumu serikalini. Maendeleo ni mchakato. Maendeleo ni mchakato. Maendeleo ni mchakato.

Hatua ya kwanza ni kukata mizizi inayoturudisha nyuma ambayo haiwezi kukatwa kiurahisi kama utakavyo wewe laasivyo matokeo yake ni political unrest.
 

Hivi nguvu ya ROMAN EMPIRE ulikuwa unaijua wewe ?

Ndugu, ndiyo maana nimekuelekeza usitumie papara, mhemko, hisia pamoja na hasira. Mara nyingi hivi vitu hupelekea kuwa na madhara kwenye uchambuzi yakinifu, maamuzi pamoja na mchakato wake mzima kwenye mada husika kama yako!!!!!!

Nakuuliza swali: a) Unawezaje kuutenganisha Urumi (dola) na umagharibi?????

b) Unawezaje kuzitenganisha dola kubwa za ulaya na ustaarabu wa kimagharibi


Western civilizationtraces its roots back to Europe and the Mediterranean. It is linked to ancient Greece, the Roman Empire and Medieval Western ...


https://en.wikipedia.org › wiki › History_of_Western_...


Western world

A geographical concept of the West started to take shape in 4th century CE when Constantine–the first Christian Roman emperor divided the Roman Empire between ...


Introduction · ‎Historical divisions


https://en.wikipedia.org › wiki › History_of_Western_...


Rise of Western Dominance


A combination of economic and political transformations in Europe that began in the 1450 to 1750 era converged between 1750 and 1914 to allow the "west" ( ...


https://www.historyhaven.com › APWH

Halafu nimesema siyo kuwa haiwezekani mwamba huyu hapa amejaribu, umeona kuna waafrika wanamsapoti??? Zaidi ya kuwa vuguvugu?????

Putin says West's desire for global dominance increases ...


9 Dec 2022 — Russian President Vladimir Putin on Friday said the West's desire to maintain its dominance on the world stage was increasing the risks of ...

Reuters | Breaking International News & Views › world › putin-says-wests-desir...


Putin Says West Playing 'Dangerous, Bloody Game'


27 Oct 2022Putin said the world is at a "historical turning point," and the "period of undivided dominance of the West in world affairs is coming to an end ...

VOA - Voice of America English News › putin-says-west-playing-d...
 
Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.

Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?

Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?

Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?

Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.
Wenye mamlaka ya kufanya hayo mabadiliko kama hawafanyi unategemea wewe mwenyewe utaweza kufanya hayo mabadiliko kwa bara zima?

Kwamba, unadhani wewe binafsi unaweza kubadilisha mfumo wa Elimu wa nchi nzima ukiwa wewe kama wewe?

Mtu mmoja mmoja, Hawezi kubadilisha mfumo mzima wa nchi au bara.

Inatakiwa wahusika wenye mamlaka na viongozi wayafanye hayo.

Ndio maana watu wana lalamikia viongozi wenye mamlaka wafanye mabadiliko.

Sasa, Usipo lalamika hao viongozi wata fahamu vipi mifumo inahitaji mabadiliko?

Lazima walalamikiwe ili warekebishe.

As an individual you can't change the whole continent.

Huku kudanganyana na misemo uchwara kama huu wa "Changes begins with You" Halafu kuna viongozi wajinga wachache hawataki changes zifanyike Haisaidii kitu.

Lazima watu walalamike ikibidi hata kwa Vita na maandamano.
 
Wewe umefanya nini kusaidia watu weusi wapate maendeleo.

Au unaishia kulalamika na kulaumu tu. Hata ukilaumu, unamlaumu nani sasa?

Mtu unakuta analaumu Afrika ni maskini, sawa ni maskini lakini je? wewe umefanya nini kuondoa huo umaskini?

Mtu anasema Afrika elimu yetu ni mbovu ya kukariri, sawa ni mbovu ya kukariri. Wewe umefanya nini ili kuibadili?

Kulaumu na kulalamika, wakati wewe mwenyewe hujafanya chochote huwa naona nao ni upumbavu tu.
Nikupe mfano wa nchi ya Niger iliyofanya Mapinduzi siku chache zilizopita.

Unadhani mtu mmoja angeweza kufanya mabadiliko ya kumwondoa madarakani huyo Rais wa Niger aliye pinduliwa bila nguvu ya jeshi na uma?

Bila wananchi wa Niger kupiga kelele na kulalamika jeshi lingempindua huyu Raisi?

Nguvu ya uma na kelele za wananchi ni muhimu sana kuwafanya viongozi wabadilike au wasipo badilika watolewe kwenye nafasi zao.

Sasa je unadhani wananchi wa Niger wasinge lalamika kungekuwa na mabadiliko ya ki uongozi yaliyo fanywa na jeshi?

Narudia tena kukwambia hivi, Mtu binafsi huwezi kufanya mabadiliko ya bara zima au mabadiliko ya nchi nzima.

Lazima pawepo malalamiko mengi kisha muungane kwa pamoja kufanya mabadiliko.
 
Ndugu, maendeleo in hatua. Tulipokuwa miaka 10 iliyopita sipo tulipo leo. Inaweza isiwe kwa pace inayoridhisha ila tunaenda.

Nchi zilizoendelea hakuna watu wasio wazalendo?

Nchi zilizoendelea hakuna rushwa?

Kuhusu suala la kujitegemea kiuchumi na kubadili mfumo wa elimu, nilishakupa sababu hapo nyuma. Vikwazo katika kufikia huku viko vingi sana. Kosa lako ni kudhani kwamba una akili na mbinu zaidi ya wote waliowahi kuhudumu serikalini. Maendeleo ni mchakato. Maendeleo ni mchakato. Maendeleo ni mchakato.

Hatua ya kwanza ni kukata mizizi inayoturudisha nyuma ambayo haiwezi kukatwa kiurahisi kama utakavyo wewe laasivyo matokeo yake ni political unrest.
Unadhani nchi zilizoendelea ziliyafikia maendeleo kwa kubembelezana?

Kwamba walipata maendeleo kwa Amani bila hizo political unrest?

Hakuna maendeleo yanayo kuja kwa amani kwa kubembelezana na kuchekeana.
 
Unadhani nchi zilizoendelea ziliyafikia maendeleo kwa kubembelezana?

Kwamba walipata maendeleo kwa Amani bila hizo political unrest?

Hakuna maendeleo yanayo kuja kwa amani kwa kubembelezana na kuchekeana.

Ewaaa! ulichokiongea ni sahihi kabisa kabisa kabisa mkuu na ndio maana hata enzi za mwamba JPM angalau mwanga ulikuwepo. Kama anatokea mtu wa kufanya mambo off the books mimi wala sina tatizo maana maendeleo ndo yataenda kwa speed inayoridhisha.

Ila kwakua bureaucracy imetamalaki nchini kwetu, basi hatuna budi kutembea na chaki.
 
Leo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.

Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".

Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.

Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.

Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.

Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.

Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.

Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.

Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.

Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.

Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.

Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.

Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.

Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.

Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.

Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.

Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?

Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?

Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.

Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.

Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.

Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]

Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.

I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.

Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.

To day I declare that, Being black is an Evil
Sawa wew si chotara
 
Leo nna hasira najikuta sitaki hata salamu.

Japo inauma lakini ukweli ndiyo huo inabidi tuukubali kwamba "Watu weusi tutabaki kuwa duni milele".

Nimekuwa nikifatilia historia ya mtu mweusi since enzi za utumwa kuja huku mbele hadi leo, sijaona dalili za mtu mweusi kuheshimika, kujikomboa kifikra na kiuchumi.

Mpaka naanza kuwa na dhana huenda material yaliyotumika kutokea kwa mwanadamu mweusi yalikuwa tofauti sana na hayana thamani kama ambayo yalitumika kutokea kwa mwanadamu mweupe.

Yeah acheni tu nifikiri hivo maana sioni dalili ya ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya uduni alionao.

Mtu mweusi awe anaishi nje ya AFRICA, popote duniani anapoishi ili mradi ni mweusi,huwa anakuwa treated tofauti kabisa na walio weupe.

Kifupi hatuna tunachoweza kujivunia kwamba sisi ni miongoni mwa watu duniani, kuanzia humu humu kwetu AFRICA tunamoishi hatuna kabisa cha maana tunachoweza ku-offer kwa ulimwengu zaidi ya ujinga na unafiki.

Nakupa mifano dhabiti kuanzia hapa hapa kwetu TANZANIA kwa kuangalia hali za kiuchumi.

Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.

Si mahoteli makubwa makubwa, si viwandani wala biashara za bandarini kote huko ni waarabu au wahindi ndiyo wamiliki, sisi weusi tupo tupo tu yaani tukiamini wanatumia ushirikina kufanikiwa.

Nenda Zanzibar hapo kisiwani wanakosema tanganyika inawanyonya, hakuna kitu.

Zanzibar biashara zote kubwa kubwa ni Bakressa na waarabu/wahindi wenzake, lakini wazawa wao wanaishia kuwa wanunuzi tu au wauza madafu na ukwaju, hakuna biashara za maana ambazo weusi wazawa wanazimiliki.

Nenda kwenye mahoteli makubwa makubwa ya nyota 5 hadi 7 zanzibar uone wamiliki wake, ni wazungu wala siyo weupe, sisi tunaishiwa tu kuajiriwa kama ma-garderner na ma-house keeping kwa miashara ya laki tatu kila mwezi wakati wao wanavuna mabilion ya pesa kwa mda mfupi tu.

Angalia SOUTH AFRICA ambako tunaona ndiyo imeendelea sana kwa hapa Africa, lakini in fact hayo maendeleo ni ya weupe siyo ya weusi.

Data za WOLRD BANK zilizotolewa mwaka 2021 zinaonesha kuwa population ya wazungu south africa ni 10% tu, huku wenyeji wakichukua almost 90% ya population nzima.

Lakini cha kushangaza pamoja na wazungu kuwa wachache south, bado wao ndiyo wanamiliki asilimia 80% ya uchumi wa South Africa, that means the majority of south africans wana miliki only 20% of the whole south african economy.

Sasa hapo kuna pa-kujisifia kuwa weusi wenzetu wa kule wamepiga hatua ?

Kwa kifupi tumewaruhusu wazungu watutumie kujitajirisha hapa hapa kwetu, waumiliki uchumi wetu hapa hapa kwetu alafu sisi tukiishia kuwa vibarua wao, what hell is this ?

Alafu tunawashangilia kabisa na mara pengine sisi wenyewe tuna msaidia kutu-pora sisi.

Sisi watu weusi wakati wa uumbaji kuna kitu itakuwa hakikwenda sawa kabisa.

Sisi kwa sisi hatupendani na kuthaminiana kama wenzetu weupe, kipindi cha utumwa kuna weusi wenzetu walishirikiana na wazungu kuuza weusi wenzao kwa wakoloni, tumepita huko tumekuja sasahivi kwenye uhuru wa bendera, viongozi wetu wa kisiasa wa ki-africa wanawauzia wazungu na kuwa-binafsishia rasilimali zetu kwa bei chee kabisa kwa maslahi yao binfsi bila kuangalia maslahi ya wengi anao waongoza.

Hii ndiyo hali ya mtu mweusi ilivyo, na bado ukienda nchi za wenzetu na rangi yako unabaguliwa na kuonekana siyo binadamu mwenzao, wakati wao wakiwa huku unawachukulia kama malaika, what stupid is this [emoji35]

Yaani nchi za wenzetu wanaungana wawe wamoja na nguvu kwa ajli ya kujenga taifa lenye nguvu kwa ajli ya vizazi vyao, lakini sisi tunachojua ni kutengana,ubinafsi,usaliti, unafiki, mawazo finyu badala ya kufanya kazi unakimbilia kwa mwaposa kwenda kufata sijui udongo, maji na mafuta ya upako, yaani ni ujinga mtupu.

I wish ningekuwa mkuu jeshini, hii nchi ningeipundua mchana kweupe alafu niwafunze watu ni namna gani tunapaswa tuwe.

Africans we have a lot of excuces in attaining develepment.

To day I declare that, Being black is an Evil
Acha hasira na badala yake anza kuleta mabadiliko ya hii hali.
 
Sisi tumewekeza kiroho na hicho ndio kitu chenye thamani.

Hizo anasa za kumiliki majumba na vitu vya kifahari inaonekana ni ujanja katika vision ya kibinadamu.

Sisi waafrika tuna hazina yetu mbinguni hakuna haja ya kuotesha uyoga ambao hautakusaidia kwenye future life.
 
Sisi tumewekeza kiroho na hicho ndio kitu chenye thamani.

Hizo anasa za kumiliki majumba na vitu vya kifahari inaonekana ni ujanja katika vision ya kibinadamu.

Sisi waafrika tuna hazina yetu mbinguni hakuna haja ya kuotesha uyoga ambao hautakusaidia kwenye future life.
Hiyo dini yenyewe kama siyo wao ungeijua lini ?
 
Kuna mahali tumefanya kosa kubwa bila kujijua ndio maana yote haya yanatupata pengine tumewatupa mababu zetu kwa kivuli cha ushirikina hebu watazame wahindi na waarabu wanavyoshindana kufuga mandondocha waafrika tumepumbazwa pesa ina nguvu flani ndani yake nahisi hata utengenezaji wake sio wa kawaida ndio maana wanaotajirika hawatumii nguvu kama wasukuma mikokoteni kuna jambo la kulitazama
 
Unadhani nchi zilizoendelea ziliyafikia maendeleo kwa kubembelezana?

Kwamba walipata maendeleo kwa Amani bila hizo political unrest?

Hakuna maendeleo yanayo kuja kwa amani kwa kubembelezana na kuchekeana.
Ndo maana nakwambia mimi ningekuwa mkuu jeshini ningepindua nchi mchana wa saa nane kweupe.

Ukiruhusu sana demokrasia isiyo na mipaka utashindwa kufikia malengo ya msingi kwa wakati.

Gaddafi hakuifikisha libya pale ilipokuwa kwa kuruhusu demokrasia za kibepari
 
Back
Top Bottom