Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Tunataka kujua mwenendo mzima wa kesi,naamini jeshi lishanawa mikono tayari sio watu wao tena,order zishasambazwa vikosi vyote
 
Hahahaa. Mujiandae tu tarehe 09 kushindwa kuamka kwenda kulijenga Taifa sababu ya kipigo. 🤣🤣


Ewaaa! Haya ndio maneno mdogo wangu tutawaona siku wakipelekwa mahakamani. 🤝
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas, woiiiiiih
 
Daah! Tutayasikia mengi sana Mtani.

Saa ingine ukute ni Wahuni tu na hicho walichofanya ndio kazi zao, hapo sababu wamemtaja Afande basi wamegeuzwa gumzo na kupewa vyeo visivyo hata vyao kama yule muuza madafu.
 
Wapo mtaani hawajakamatwa toka lini taarifa ya waharifu wasitoe Polisi atoe Waziri...
Sheria za kijeshi wale watavuliwa uaskari halafu watakabidhiwa kwa polisi,sasa hivi watakua chini ya military police nimeona waziri gwajima kule x kasema kuna taratibu zinafuatwa baada ya hapo kila kitu kitakua wazi
 
Sisi wa Agentina na Tiptop usituletee dharau
 
Hahahaa. Mujiandae tu tarehe 09 kushindwa kuamka kwenda kulijenga Taifa sababu ya kipigo. 🤣🤣


Ewaaa! Haya ndio maneno mdogo wangu tutawaona siku wakipelekwa mahakamani. 🤝
Dada Dada!!!!
Tutawandandika vibaya...Nakutaadharisha mapema🤣🤣

Amen Dada....Na haki Itendeke tu kwa kweli...
 
Sheria za kijeshi wale watavuliwa uaskari halafu watakabidhiwa kwa polisi,sasa hivi watakua chini military police nimeona waziri gwajima kule kasema kuna taratibu zinafuatwa baada ya hapo kila kitu kitakua wazi
Kesi ya Kubaka mbaya ni SA bora uue mtu hao jamaa hata huko selo sijui kama wangeona mwanga tena Gang rape ndio kabisaa wanapigwa sindano huku wakiwa wanaudhuria Mahakamani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…