Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Kwahiyo wazazi wa kwa mpalange, Buza, kwa Bi Bonge hao wanaokataga mauno kwenye madaladala wakiwa wamevaa vijora ndio unasema wanahangaika na watoto wao?

Wale vijana WANAWAKILISHA MALEZI YA WAZAZI WAO.
 
Wazazi wao watajwe kwani wazazi ndo waliwatuma? Marafiki kwani ndo waliwatuma? Usimamizi wa sheria hauhitaji mihemko ndo maana watuhumiwa wote wanayo haki ya kisheria kuwa na mawakili
Kwahiyo watoto wa uswahili kwetu huku ndio wana tabia hizo na wakishua hawana, ni wazazi ndio wanawalea hivyo ama ni wao wenyewe?
 
Jiwe gizani limekupata, wajuvi wameshajua kua una njia pana sana!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili liko ndani ya uwezo wangu bhanaa, afu mbona hakuna chochote kipyaa.
Wee unaonajee?
 
In a very strong opinion kama raia wa kawaida nalifuatilia hili jambo kwa ukaribu saana. Serikali fanya kazi yenu
 
Watu wanavolipambania hili swala πŸ˜‚πŸ™Œβ€¦β€¦β€¦. Tungekua tuna pambania na rasilimali zetu hivihivii kwa sauti moja tungekua mbalii sanaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wabongo n wazee wa kwenda na trending watu wanaiba uko tuko kimya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…