Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Na wewe utafanya kazi gani kama hawa walinzi wetu wataanza uzalishaji waache kutulinda wakati tunazalusha? Kwa mfano Jirani wanasema ziwa ni lao mpaka ufukeni huwezi kuvua samaki wala kuchota majk, kuogelea , je nani anafanya uweze kuoga , nk? Mtu mmoja asikufanye usahau manufaa yote hayo.
 
Uzuri binti atalipwa vizuri mimi hayo mengine ya kutokamatwa au kukamatwa watajuana hukohuko
 
Hawezi kufafanua zaidi mpaka watakapomaliza kuukwangua ukoko kabla haujaliwa na panya.
 
Probably, mwanaume rijali lazma ambato minimum ni 3 times a week. Sasa umeoa mke halafu anakupiga konga daily mara ooh nimechoka mara we unawazaga K tu. Kwa hali hiyo lazma utafute pa kusagia valve.
 
Nchi Ina Mambo ya ajabu Sana.
Mwanajeshi anakiuka maadili mema aliyofundishwa na jeshi la kisasa lililo tukuka ndani na nje ya nchi na kuongea mbele ya kamera eti "Mimi nataka mavi"
 
Jeshi lenu limejaa wahalifu na watu wasio na maadili. Nawaambia watanzania siku watawala wenu vihiyo wakijichanganya kwa mzee wetu Kagame tutalichapeni jeshi lenu na kuirudisha mikoa yetu ya Kigoma na Kagera.
Ona pimbi huyu, nchi nzima ina watu tisa tu mnataka kututisha watu zaidi ya 30M? Hata mje na AK47 sisi tubebe mapanga nakuhakikishia hamtatuweza, kagame anawajaza ujinga sana.
 
Mke mwenyewe Fatuma Karume mfano
 
Waziri bila kuwaona live wamekamatwa hakuna kitu hapa fanyeni kazi yenu muonekane.
 
Nani mkweli? RPC au Waziri? Waziri kasema wamekamatwa, RPC kasema bdo wanaendelea na uchunguzi... Hapa tayari siasa imeingia....
Hawa wanacheza na muda ili jambo likiisha nguvu na wao wanapotezea hizo ndio njia kuu za kulipoza jambo. Jana namsikia yule mkuu wa wilaya ya Temeke anasema wameenda kumtafuta dada ila hayupo Temeke hili tendo halikufanyika Temeke, unajiuliza hivi hawa vyeo wanapewa kwa misingi ipi. Nilitamani nilitie kofi lingekuwa karibu yangu kwani kuna tofauti gani ikiwa Temeke au imetokea mpakani mwa Zambia, viongozi zero hawajui hata njia za kuongea na watu ku deal na crisis. Kama kesi hii itawashinda basi kitengo cha upelelezi wote watakuwa ma bogus. Video mnayo, picha zao mmeona na hamjui muanzie wapi, eti saidieni police, hiyo kazi yenu kutafuta taarifa sio kusaidiwa.
 
Huwezi kiwa Rais we bwege. 😀😃😄😁
 
Kufuatia sakata la msichana mmoja kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya Binafsi na umma.

Katika taarifa yake kupitia hivyo vyombo UWT ngazi ya Taifa wamelaani vikali vitendo hivyo!

Ushauri wangu kama ni chombo cha kina mama na aliyebakwa ni wa jinsi a hiyo. Wasiishie tu kutoa matamko ya kulaani bali waende mbele zaidi kwa kumsaidia Binti huyu msaada wa kisheria ,matibabu, mafao ya udhalilishaji huo na haki zote kwa ujumla Hayo ndio yangu maoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…