hakuna kitu nakuambia..ni maigizo.Hongereni sana Jeshi la polisi ,hatuwezi kufuga WAHUNI nchini...Ingependeza waonyeshwe ili tu-confirm kama ni wao isije ikawa adakadabra.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kitu nakuambia..ni maigizo.Hongereni sana Jeshi la polisi ,hatuwezi kufuga WAHUNI nchini...Ingependeza waonyeshwe ili tu-confirm kama ni wao isije ikawa adakadabra.
Tumepigwa na kitu kizitoKatika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Wako wapi ? Kwa nini Afande hajakamatwa?Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Siyo lazima wewe uamini, mahakama ndio chombo cha kutenda haki.Ambao hatujaona hizo clip hizi tuhuma tutaziamini vipi tutendeeni na sisi haki ya kikatiba yujiridhishe kwanza ndipo tujue kama kweli walifanya makosa au laaaaa
Na ninyi wandishi mmekosea, baada ya huo ujumbe wake mngemuuliza IGP papohapo ungesikia tupo kwenye mchakatoWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Ccm wanachoweza kukifanya kwa umahiri ni wizi wa kura tu.Wako wapi ? Kwa nini Afande hajakamatwa?
Kuondoa laana kwenye nchi ni kuwageuza kibla!Hawa akiwa mmojawapo ni family member wenu mnatakiwa kumtenga na ukoo.
Hawa mpaka wapewe ultimutum na Rais ndio utasikia watuhumiwa wapo mbaroni na wanamulikwa na makamera.Na ninyi wandishi mmekosea, baada ya huo ujumbe wake mngemuuliza IGP papohapo ungesikia tupo kwenye mchakato
Naunga mkono hoja.Kuondoa laana kwenye nchi ni kuwageuza kibla!
Nimeonaa clip moja tu, japo nasikia kuna clip tatu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi hujaona kwaniii? Woiiiiiih
Hawanaa jipyaa bhanaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeonaa clip moja tu, japo nasikia kuna clip tatu.