Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili liko ndani ya uwezo wangu bhanaa, afu mbona hakuna chochote kipyaa.
Wee unaonajee?
Alafu nyie mnaotambaga huku nje hamna lolote,mkipelekewa moto kidogo huko ndani tayari mnaanza kumwita yesu na Maria, mara mungu wangu,huku mnatetemeka mwili mzima!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chaumbea ni kweli ni askari bhana[emoji51][emoji51][emoji51]
Jamani em kuweni serious, askari wamekauka vilee? Nguvu za kupekeka moto hawana, wamebaki mafujo uchwara na kutishia mtoto kwa chupaa,

Wanaongea maneno makali, na vile viba100 vyao, woiiiiiih.
Wapo km wapiga vigoma wa manzese darajani, aaah wee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alafu nyie mnaotambaga huku nje hamna lolote,mkipelekewa moto kidogo huko ndani tayari mnaanza kumwita yesu na Maria, mara mungu wangu,huku mnatetemeka mwili mzima!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mtoto yule amewamudu vilivyo, ndo waje kwa konker??
Aaaaah wee!!
 
Jamani em kuweni serious, askari wamekauka vilee? Nguvu za kupekeka moto hawana, wamebaki mafujo uchwara na kutishia mtoto kwa chupaa,

Wanaongea maneno makali, na vile viba100 vyao, woiiiiiih.
Wapo km wapiga vigoma wa manzese darajani, aaah wee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Subiri taarifa rasmi ila ndio hivyo ila imeniumiza sana sijui tunakwenda wapi daah
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.

Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.

Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.

Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.

Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.

Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.

Pia soma
Mpaka tuone picha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mtoto yule amewamudu vilivyo, ndo waje kwa konker??
Aaaaah wee!!
Naona konker wwe ndiyo ungewazimisha wajeda na vibamia vyao, saa hii wwe ndiyo ungekua unatafutwa na police baada ya kuwazimisha wajeda watano kwenye game la kubakana!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom