Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Nisinge muona full migebuka na Ali mrangi gigili, Uzi ungekuwa batili.
 
Kuna mmoja wa chunya makongolosi namsikiaga sana R.F.A anajiita LAWENA NSONDA
 
Huyo wajadi fundi wajadi binadamu mashaka nakumbuka RTD enzi hizo
 
Father nagunwa nakomolwa aka (fanana)...singida,huyu yupo,anayetaka mawasiliano naye ani-dm
 
Ima Kulaya...

Jamaa wanapiga simu kipindi cha kuamshana asubuh na mim najiandaa kwenda shule nmewasha redio mkulima ya baba sebulen πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Walikuwa wanajitolea kweli kweli kwa vocha zao....

Ova
 
Pale pale mjini na ndio maana ikawa ni rahisi kumpata.....ni watu maarufu kwenye mji ule,tena kwasasa huyo Paul ana duka la jumla la retail shop

Nitarudi tena kwenye ule mji muda si mrefu nimepakumbuka ni almost miaka 2 sijafika
Aise namm nimepamiss San sumbawanga
 
Umesahau Matumla s Matumla wa kirombero kidatu Morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…