Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

Status
Not open for further replies.
X ipi? Maana ziko shazi
Xs kabayaaa kwa upande wangu
Xr nzuri
X max baba lao

11 mm niliipenda.
13 inajitahidi mno kukaa na chaji 💥
Xr na Xmas ni hatari …halafu kwa muundo bomba kwakweli 5s na 8 plain zina kamvuto kwa wale wasiopenda simu kubwa!

Ila ukweli ni kwamba matoleo uliyoyataja hapo bila kusahau hata 5s hakuna sehemu Oppo anatamba…Oppo akatambe pande za tecno ukooooooo😂😂
 
Mmeanza tena 😂 Hizi kelele huwa zinazidi Apple wakikaribia kutoa simu mpya, mbona mapema sana.

Binafsi kuacha kutumia Iphone labda kiwanda kifungwe, I said what i said! 😂
 
Kila mtu aishi kwa uwezo wake kama unaweza kununua cm ya mamilioni nunua tu hakuna atakae kupangia.
 
Mimi binafsi si mpenzi wa iphone kabisa ni mpenzi wa samsung ila hii ya kusema kwamba wanaotumia iphone ni mashoga sijui wadangaji sioni kama imekaa sawa, mambo ya kusema kuna vitu kama simu au magari vya kiume na vya kike ni dalili ya kuwa na stress na roho za kimasikini, hao watengenezaji wenyewe sidhani kama huwa wanasema kwamba hizi wanatengenezea jinsia fulani au fulani
Shida inaanzia kwa wanaume watumiaji , wengi kuna tatizo mahali.. Mwaka jana nilinunua I phone ya macho matatu aisee simu haikunipa amani kabisa japo nzuri mno ila kila mtu ananiangalia ,baada ya miezi miwili nikaiuza , nilichogundua preference za mtu zinaendana na tabia kwenye nguo mpaka kwenye simu.
 
Sasa wewe umesema sasa.
Iko hivi kuna vitu ukitaka kutumia, mapambano yako yanaproject whhat you will get. Ni sawa siijui lakini kama umewahi, ukiwa na mpango wakumiliki nchi 60+ TV leo unaweza ukawa huna hela. Ila projections zako makusanyo yako yanakufanya uipate.
Jiulize watu wa kubeti wanatumia kiasi gani kwa mwaka, unashindwaje kumiliki simu ya 3,5ml Kama mpambanaji mwenye mipango, watu wanamiliki ghetto, pikipiki, sijui Saa, sii kwakipato cha stable money, but movement money.
Mimi nina 15 plus, Na nilikua nazo mbili. Nilivozipata ni mapambano ya kila siiku. Leo wakitoa toleo jingine la juu, lazma niwe nalo, ina a month or two. Kwasbabu tayari nipo kwenye series.
Kwahiyo hata hao mabinti hawadangi, wanajikusanya. Utiwe upewe iphone wewe nani. Labda utiwe kila siku. Ambapo hata malaya wengine wanavi 7 plus tu au Samsung.
Basi sawa.
 
Kila mtu na anachokipenda,Mimi I phone hainishawishi kabisa,ila kuna simu inaitwa One Plus 9 Pro 5G naikubali balaa soon naichukua ndiyo simu ya ndoto zangu
 
Unaweza kutumia tecno, sema kipato na hobby vinaruhusu utumie iPhone. Hakuna asiyeweza kutumia tecno mkuu, usijitoe ufahamu.
Mkuu nadhani umenielewa vby
Naposem siwezi kutumia tcn haimaanish tecn n sim mbaya
Kwani hakun tekn zinazouzwa hela nying kushinda simu ninayoimiliki?
Hiyo ni fikra yako tu
Maana yang ipo kwenye kampuni na sio kipato

Ntakuambia kwanini
Document zang zote zipo kweny iCloud
Hivyo kwa vyovyote lazim nitumie apple coz natakiwa kivi fuatilia mal kwa mala.
Unaweza kutumia tecno, sema kipato na hobby vinaruhusu utumie iPhone. Hakuna asiyeweza kutumia tecno mkuu, usijitoe ufahamu.
M
 
Mkuu nadhani umenielewa vby
Naposem siwezi kutumia tcn haimaanish tecn n sim mbaya
Kwani hakun tekn zinazouzwa hela nying kushinda simu ninayoimiliki?
Hiyo ni fikra yako tu
Maana yang ipo kwenye kampuni na sio kipato

Ntakuambia kwanini
Document zang zote zipo kweny iCloud
Hivyo kwa vyovyote lazim nitumie apple coz natakiwa kivi fuatilia mal kwa mala.

M
Trust me, hata kama docs zako zipo icloud, unaweza kutumia simu nyingine yoyote anytime na hasa ikikulazimu. Hayo unayosema ni vile you have the luxury to choose, elewa maneno luxury to choose.
 
Watumiaji wa android sijui wana matatizo gani kila siku wanajishtukia!! Nyuzi kibao za kuponda iphone utasema tumewalazimisha kutumia hizo simu zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na huwezi Ona mtu wa iPhone akipondea simu zao ila wao wanavyojishtukia sasaa. Afu mbona iPhone bei rahisi tu jamani zimekua si wajipatie zao na wao wapunguze makasiriko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom