Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

Status
Not open for further replies.
Bado hujaelezea wanaringia nini. Una uwezo wa kununua ila una nunua oppo? Are you serious bro? Natumia simu zote , zote zina pro na cons zake. Tafuta kinachoendana na wewe tumia acha malalamiko yasiyo na msingi
Kwani kama Na uwezo wa kununua iPhone ni lazima ninunue iPhone???😃😃😃😃
 
Kila kitu kina shuka bei na dhaman as time inavyoenda. Nilipata samsung S20 na S21 wkt ni hot cake mjini, leo bei yake mnyonge yoyote ana nunua. Rav4 TRD new model leo ni hot cake, ni chache for now, miaka kadhaa mbelen zitajaa road balaa. Thats life

Si lazima , ila kulikuwa kuna haja ya kutoa povu kama ana uwezo huo?
Anhaaaaa kumbe uwezo Sina
 
Mimi binafsi si mpenzi wa iphone kabisa ni mpenzi wa samsung ila hii ya kusema kwamba wanaotumia iphone ni mashoga sijui wadangaji sioni kama imekaa sawa, mambo ya kusema kuna vitu kama simu au magari vya kiume na vya kike ni dalili ya kuwa na stress na roho za kimasikini, hao watengenezaji wenyewe sidhani kama huwa wanasema kwamba hizi wanatengenezea jinsia fulani au fulani
Napinga kabisa mwanaume na iPhone kama sio content creator bas jua ni ulimbukeni na ushamba.. plus elements za kijionesha ambayo imekaa kike
 
Nakubaliana na hoja yako.


Cha ajabu wanawake wenye Iphone hawana hata kazi wala biashara....sijui wanazipataje hapa mjini.

Au kuna sehemu wanagawa bure?
Sasa wewe umesema sasa.
Iko hivi kuna vitu ukitaka kutumia, mapambano yako yanaproject whhat you will get. Ni sawa siijui lakini kama umewahi, ukiwa na mpango wakumiliki nchi 60+ TV leo unaweza ukawa huna hela. Ila projections zako makusanyo yako yanakufanya uipate.
Jiulize watu wa kubeti wanatumia kiasi gani kwa mwaka, unashindwaje kumiliki simu ya 3,5ml Kama mpambanaji mwenye mipango, watu wanamiliki ghetto, pikipiki, sijui Saa, sii kwakipato cha stable money, but movement money.
Mimi nina 15 plus, Na nilikua nazo mbili. Nilivozipata ni mapambano ya kila siiku. Leo wakitoa toleo jingine la juu, lazma niwe nalo, ina a month or two. Kwasbabu tayari nipo kwenye series.
Kwahiyo hata hao mabinti hawadangi, wanajikusanya. Utiwe upewe iphone wewe nani. Labda utiwe kila siku. Ambapo hata malaya wengine wanavi 7 plus tu au Samsung.
 
IPhone ina fetures nying sana hasa za security - mtu ananunua afu anashinda kwa mitandao kuuza viatu na boxer, sasa badala ya kutumia 3m kwa simu si ungenunua infix ya laki mbili ingefanya kazi hiyo hiyo.

Unanunua iPhone ya 5m wakati huna chochote cha security kwa info zako - yaani hata acc ya dola huna, biashara nje ya nchi huna yaani umejaa mikopo mitupu.
 
IPhone ina fetures nying sana hasa za security - mtu ananunua afu anashinda kwa mitandao kuuza viatu na boxer, sasa badala ya kutumia 3m kwa simu si ungenunua infix ya laki mbili ingefanya kazi hiyo hiyo.

Unanunua iPhone ya 5m wakati huna chochote cha security kwa info zako - yaani hata acc ya dola huna, biashara nje ya nchi huna yaani umejaa mikopo mitupu.
Sasa hizo viatu anazouza akipiga na infinix huoni itamchenga kiasi kwenye mambo ya marketing.
 
Kuna simu halafu kuna iphone sasa utachagua ww!!
 
Ukitaka kujua iphone ni nini itokee shida ya pesa halafu nyie wenye oppo na wa iphone nani atafanya biashara fasta na kuchukua mpunga. Acha kufananisha iphone na vitu vya kijinga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom