Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Naisubiri hapa Mkuu..Haswaaa,ngoja nikupe connection
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naisubiri hapa Mkuu..Haswaaa,ngoja nikupe connection
Mleta uzi mwenyewe anasema kuna mtu alimuona nayo akamuuliza kama hiyo ni iPhone alivyokuta siyo akaanza kumdharau. Ilimkasirisha sana 😢Mbona wanakopi macho ya afon 😀
Haha mambo yenu magumu, wacha nijiEnjoy zangu na EPLMleta uzi mwenyewe anasema kuna mtu alimuona nayo akamuuliza kama hiyo ni iPhone alivyokuta siyo akaanza kumdharau. Ilimkasirisha sana 😢
Shikamoo Iphone yaani unaweza ukawa chizi kwa kupiga picha 🙌🏻🙌🏻🙌🏻😁😁Hapo naona mpk chini ya maji 😂
View attachment 2963628
Mitaa ya China plazaNaomba namba zao Kama hutojali, lipo kkoo mtaa upi ?
Ngoja anielekeze kesho nikachukue Oppo inayofanana na IPhone . Pia watumiaji wa iPhone mna ka ushamba flan hivi kujifanya mnaangalia EPL wakati ligi ya bongo ipoHaha mambo yenu magumu, wacha nijiEnjoy zangu na EPL
Hapo naona mpk chini ya maji 😂
View attachment 2963628
Chizi kweli 😂😂😂Ngoja anielekeze kesho nikachukue Oppo inayofanana na IPhone . Pia watumiaji wa iPhone mna ka ushamba flan hivi kujifanya mnaangalia EPL wakati ligi ya bongo ipo
vitu clear, no ukunguShikamoo Iphone yaani unaweza ukawa chizi kwa kupiga picha 🙌🏻🙌🏻🙌🏻😁😁
Sasa Mimi siyo mababu zangu Mimi ni Mimi .. kesho oppo nachukua tukutane kwenye uzi .. nikishachukua naanzisha na Uzi juuChizi kweli 😂😂😂
Mababu zako j3 mpk j3 walikuwa wanakula ugali, mbona hujaiga wewe?
Nilinunua 1.3M kipindi zimeongia now nahisi zitakua zimeshukaNimeipenda , naipataje hii ? How much ?
Hakika.Kikubwa unapiga na kupokea, na mtandaoni unaingia. Basi. Trend tuwaachie hawa vijana.
😂😂 yan simu mpya na uzi juu? Huo sasa ndio ushamba BobdirlinSasa Mimi siyo mababu zangu Mimi ni Mimi .. kesho oppo nachukua tukutane kwenye uzi .. nikishachukua naanzisha na Uzi juu
Sahihi😂😂Naongezea,anachokipenda na anachokimudu.
Nmeachaaa😂🙌😂😂 ni vile tu siwezi kurudi nyuma, ila naikubali Xr.
Hahaa acha uchizi
Yeah na nimeona baadhi yenu kwenye Uzi huu mmeweka picha mlizopiga na iPhone zenu za kishamba. Ntaanza na nyie mjipange😂😂 yan simu mpya na uzi juu? Huo sasa ndio ushamba Bobdirlin
Hii ni punch nzito sana 😂Android ndiyo zinakaa mfukoni
I phone inashikw mkononi