Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mi Nina Pixel 4 tokea 2022 naishi fresh. Simu kitu cha kifala ukienda na trend.Na mbay zaidi nkianz tumia sim hadi ifie mkonon au nishindwe tumia apps furan kutokana na kushindwa ku update system
Kinyume na hapo ntaitumia hadi mwisho.
Hivi unakumbuka iPhone X mwaka 2017 inatoka inauzwa mpya $1,150 GB 256.
Sahivi unapata kwa Tsh 350k.