Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie haiMwanaume anayevimbia vitu kama simu, magari ya kutembelea, nyumba za kuishi,kuvaa huyo ana akili za kivulana ama za kike. Mwanaume anavimbia investments na kama huna investments kaa kwa kutulia ujitafute.
Mkuu hujaelewaMimi binafsi si mpenzi wa iphone kabisa ni mpenzi samsung ila hii ya kusema kwamba wanaotumia iphone ni mashoga sijui wadangaji sioni kama imekaa sawa, mambo ya kusema kuna vitu kama simu au magari vya kiume na vya kike ni dalili ya kuwa na stress na roho za kimasikini, hao watengenezaji wenyewe sidhani kama huwa wanasema kwamba hizi wanatengenezea jinsia fulani au fulani
DuuhMwanaume anayevimbia vitu kama simu, magari ya kutembelea, nyumba za kuishi,kuvaa huyo ana akili za kivulana ama za kike. Mwanaume anavimbia investments na kama huna investments kaa kwa kutulia ujitafute.
Wengi wako hivyoI mean huyo mtu mmoja hawakilishi watumiaji wa I phone ungeweza kum sort out yeye kama yeye na sio iphone yake but it's okay mkuu just thought
😂Android ndiyo zinakaa mfukoni
I phone inashikw mkononi
Hizo drones za Iran kuna mwamba kaziita Saibaba🤣🤣 yaani watu wana maneno sio poa!😆😆😆
Defensive mechanism iliyotumika hapa inatungua hata drones za Iran
Nakubaliana na hoja yako.
Cha ajabu wanawake wenye Iphone hawana hata kazi wala biashara....sijui wanazipataje hapa mjini.
Au kuna sehemu wanagawa bure?
Mwanaume anayevimbia vitu kama simu, magari ya kutembelea, nyumba za kuishi,kuvaa huyo ana akili za kivulana ama za kike. Mwanaume anavimbia investments na kama huna investments kaa kwa kutulia ujitafute.
Ndo ulimbukeni wenyewe huoAndroid ndiyo zinakaa mfukoni
I phone inashikw mkononi
Kwamba?😂😂Kawaida ya masikini ni maneno mengi!
Miliki unachokipendaKwa hiyo tusiomiliki IPhone tufanyeje wakuu?