Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wakuu,
Nipeni msaada
Nipeni msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina hela we jamaaWenzio wapo 16 wewe bado unang'ang'ana na X.
Hiyo ni tecno iliyochangamka tu.
Apple declares the iPhone X and original AirPods 'vintage'—and they're on the road to 'obsolete' If you own one of these Apple devices, it will soon be more difficult to get repairs. One of the most iconic iPhone models is entering a new phase of life as Apple takes another step toward sunsetting it forever.sina hela we jamaa
Oppo yako inahusiana nini na ku stuck kwa iphone yake??Nipo na Oppo mwaka wa nne huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Oppo yako inahusiana nini na ku stuck kwa iphone yake??
Mlinganisho wa ubovu😃Iphone yake inahusisna vipi na Techno?
Kutumia fursa, sio mbaya😃Mshkaji anataka labda amuuzie
Simu Bomba Sana hiyoNipo na Oppo mwaka wa nne huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
NakaziaKikao cha mwisho tulikubaliana iphone zote zinaanzia 12
Sent from infinix smart 6
Apple declares the iPhone X and original AirPods 'vintage'—and they're on the road to 'obsolete' If you own one of these Apple devices, it will soon be more difficult to get repairs. One of the most iconic iPhone models is entering a new phase of life as Apple takes another step toward sunsetting it forever.
Soon itakuwa kama Oppo zinazouzwa laki laki.
Simu Bomba Sana hiyo
tatizo brand mkuu(shabiki maandazi)Unatumiaje simu ya 2002 hiyo we babu
Mkuu tecno spark 8c tu ni bora kuliko iphone x mkuuShukrani kiongozi, bora wewe umenitia moyo.
Matajiri wa JF wanatuonea sana na simu zetu jamii ya Techno. Lakini sie watumiaji watiifu wala hatuna shida nazo.
Hahaha, Nina Infinix hot 8 natumia toka 2021.Shukrani kiongozi, bora wewe umenitia moyo.
Matajiri wa JF wanatuonea sana na simu zetu jamii ya Techno. Lakini sie watumiaji watiifu wala hatuna shida nazo.
Ulinunua makumbusho?Wakuu
nipeni msaada