Watumiaji wa iphone: Iphone x yangu imeanza kustack kama techno nifanyaje?? na haina app nyingi wala

Watumiaji wa iphone: Iphone x yangu imeanza kustack kama techno nifanyaje?? na haina app nyingi wala

Dalili za ukosefu wa fedha mifukoni huo. Cheza na Iphone 16 pro max nini? Ukiwa nayo hata njaa husikii.

Uko sawa mkuu, siwezi kujua unaongelea fedha/ Pesa kiasi gani ila kitu kimoja Sina shaka nacho, uwezo wa kununua Iphone toleo lolote nnao. Achilia mbali kununua, napewa ofisini kama kitendea kazi. Lakini Sina upepo nazo na sio kipaumbele changu.

Kama ukiwa nayo dhiki ndogo ndogo unaachana nazo sio tatizo. Zingatia kwenye post yangu nimesisitiza, wengi wetu matumizi ya simu ni ya kawaida sana, hayahitaji kuathiriwa na matoleo ya simu mpya.
 
Mbona tangu zitoke hazijafikisha hiyo miaka Mkuu?

Uko sahihi, niliinunua 2021 nafikiri ndio zilikua zinaingia sokoni ( kitu kama 1.2M).

Uzee ndugu yangu, mambo mengi na sijui kwanini mara nyingi akilini hua imejiweka niliinunua 2020.

Shukrani Kwa kuweka kumbukumbu sawa.
Screenshot_2024-09-10-22-55-39-27_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Uko sahihi, niliinunua 2021 nafikiri ndio zilikua zinaingia sokoni ( kitu kama 1.2M).

Uzee ndugu yangu, mambo mengi na sijui kwanini mara nyingi akilini hua imejiweka niliinunua 2020.

Shukrani Kwa kuweka kumbukumbu sawa.
View attachment 3092809
Miaka inatembea Mkuu, mm mwenye huwa inafika stage naona 2019 ni kama ilikua juzi, ila ndo hivyo miaka inasepa kama upepo.
 
Apple declares the iPhone X and original AirPods 'vintage'—and they're on the road to 'obsolete' If you own one of these Apple devices, it will soon be more difficult to get repairs. One of the most iconic iPhone models is entering a new phase of life as Apple takes another step toward sunsetting it forever.

Soon itakuwa kama Oppo zinazouzwa laki laki.
Sent from my iphone 6s 😮‍💨😮‍💨
 
Uko sawa mkuu, siwezi kujua unaongelea fedha/ Pesa kiasi gani ila kitu kimoja Sina shaka nacho, uwezo wa kununua Iphone toleo lolote nnao. Achilia mbali kununua, napewa ofisini kama kitendea kazi. Lakini Sina upepo nazo na sio kipaumbele changu.

Kama ukiwa nayo dhiki ndogo ndogo unaachana nazo sio tatizo. Zingatia kwenye post yangu nimesisitiza, wengi wetu matumizi ya simu ni ya kawaida sana, hayahitaji kuathiriwa na matoleo ya simu mpya.
Ile ilikuwa ni kijembe cha kufurahisha darsa tu, usichukulie serious. Mimi siyo muumini wa show-off hata kidogo.
 
Ile ilikuwa ni kijembe cha kufurahisha darsa tu, usichukulie serious. Mimi siyo muumini wa show-off hata kidogo.
Tuko Pamoja mtaalam, hapa JF ni pa kutoa stress tu na kupata burudani. Hata hivyo bado naitafuta pesa ndugu yangu, ni kweli uhaba upo. Kijembe kimenichangamsha pia.

Vinginevyo nikutakie siku njema na kwenye harakati zako za kutafuta pesa na kujenga taifa.
 
Back
Top Bottom