Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachowasumbua wengi ni mkumbo, Yuko radhi apigwe Kwa Iphone fake wakati angeweza kupata simu nzuri tu aina nyingine.Mkuu tecno spark 8c tu ni bora kuliko iphone x mkuu
Karibu infinix ukichaji leo utachaji tena baada ya kupata mjukuu.sina hela we jamaa
Wasikudanganye. Iphone X bado ipo kwenye chart na haijapitwa sana. Hiyo yako itakuwa na matatizo mengine tu, labda ni fake au mbovu.Wakuu
nipeni msaada
wamezingua kwenye chipset dimensity 900 ndogo aisee ndogo hata kwa exynos 2100Nipo na Oppo mwaka wa nne huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Mbona tangu zitoke hazijafikisha hiyo miaka Mkuu?Nipo na Oppo mwaka wa nne huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Dalili za ukosefu wa fedha mifukoni huo. Cheza na Iphone 16 pro max nini? Ukiwa nayo hata njaa husikii.Na hapa ndio umezidi kupigilia msumari kwa simu zetu. Nnachokisema ni kwamba, wengi wetu matumizi ya simu ni kuwasiliana ( kupiga, kupokea, text, Whatsapp calculator na mambo ya picha) hivi ni vitu simu nyingi za kawaida zinafanya bila tatizo ukiachilia mbali wale wenye matumizi maalum.
Sasa, hilo kundi wanaohitaji hizo simu za kawaida kupata shida Kila simu maarufu zinapotoa matoleo mapya ni shida.
Fanya hivyo Kwa kuwa inabidi Kwa kazi zako au unamudu kupata bila kuathiri mambo mengine Kwa sababu, hizi simu za kawaida zinaweza kukidhi mahitaji ya wengi.
Labda kama Mango iphone x sio appleWasikudanganye. Iphone X bado ipo kwenye chart na inatumia mpaka ios 18, ambayo ni mpya kabisa kwa Iphone. Hiyo yako itakuwa na matatizo mengine tu, labda ni fake au mbovu.
Wasikudanganye. Iphone X bado ipo kwenye chart na inatumia mpaka ios 18, ambayo ni mpya kabisa kwa Iphone. Hiyo yako itakuwa na matatizo mengine tu, labda ni fake au mbovu.
Uko sahihi, asante nilipitiwa kidogo.Iphone x haipokei ios 18. Simu zitakazo support ios 18 ni Xs, Xr na matoleo yajuu yake.
Mimi sio mtaalam sana wa iphone lkn nipo na iphone 7plus nimesahau email niliyoisajili na icloud na nonaitaji kunitumia nifanyeje ili ifunguke msaada jmn😂Nipo na Oppo mwaka wa nne huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
unamwambia nani?? 😂😂😂sina hela we jamaa
Watu mmekua wagharatiaSasa una
unamwambia nani?? 😂😂😂
We si unapenda kutumia iphone bwanaa sawa
Kwann mkuuWatu mmekua wagharatia
Mimi sio mtaalam sana wa iphone lkn nipo na iphone 7plus nimesahau email niliyoisajili na icloud na nonaitaji kunitumia nifanyeje ili ifunguke msaada jmn😂