Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #61
au cyoIle ilikuwa ni kijembe cha kufurahisha darsa tu, usichukulie serious. Mimi siyo muumini wa show-off hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au cyoIle ilikuwa ni kijembe cha kufurahisha darsa tu, usichukulie serious. Mimi siyo muumini wa show-off hata kidogo.
Mimi sio mtaalam sana wa iphone lkn nipo na iphone 7plus nimesahau email niliyoisajili na icloud na nonaitaji kunitumia nifanyeje ili ifunguke msaada
inafanyiwa BipassMimi sio mtaalam sana wa iphone lkn nipo na iphone 7plus nimesahau email niliyoisajili na icloud na nonaitaji kunitumia nifanyeje ili ifunguke msaada jmn😂
App zinaweza kuwa chache lakini inachukua nafasi kubwa.Wakuu,
Nipeni msaada
Rahisi sana , Ichomeke kwenye computer then fanya back up kwenda kwenye hiyo computer . Reset kila kitu kwenye simu then restore backed up data zako. Tatizo linakuwa limeishaWakuu,
Nipeni msaada
inafanyiwa Bipass
[/QUsawa boss
Wewe unaweza kuifanyia Bipass?inafanyiwa Bipass
Vp una bikra? Vp na sisi tukiamua kuanza kutumia vitu sealed?Ulinunua mpya?
Binafsi sitokaa nitumie simu used
Irrelevant answer since am a mother of 3 kidsVp una bikra? Vp na sisi tukiamua kuanza kutumia vitu sealed?
Thank you,umejibu in a positive way, I appreciate ✊🏻Irrelevant answer since am a mother of 3 kids
Hii ni tekno iliyochangamka.Nipo na Oppo mwaka wa nne huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Mimi hii Infinix hot11 play ni mwaka wa 4 pia inaenda! Mwaka Jana nikasema ninunue Google pixel nikanunua imekuja kupasuka screen naenda Kwa fundi naambiwa 270-290kShukrani kiongozi, bora wewe umenitia moyo.
Matajiri wa JF wanatuonea sana na simu zetu jamii ya Techno. Lakini sie watumiaji watiifu wala hatuna shida nazo.
Zote kundi letu Moja kuanzia Techno, Infinix, Itel, Xiaomi, Oppo yaani sote tumewekwa kundi letu na kubandikwa tabaka la chini kabisa isipokua Iphone na Samsung.Hii ni tekno iliyochangamka.
Mm yang inaendea wa3 nahaina shida wala tatizo lolote niwashangaa wanao zsema cm za Oppo ni mbovuNipo na Oppo mwaka wa tatu huu.
View attachment 3092750
Ulinunua wapi na bei gani mtaalam?
Waone mafundi kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Ni wivu wao tu, hakuna kama tecno.Zote kundi letu Moja kuanzia Techno, Infinix, Itel, Xiaomi, Oppo yaani sote tumewekwa kundi letu na kubandikwa tabaka la chini kabisa isipokua Iphone na Samsung.
Waambie watuache tumezipenda wenyeweShukrani kiongozi, bora wewe umenitia moyo.
Matajiri wa JF wanatuonea sana na simu zetu jamii ya Techno. Lakini sie watumiaji watiifu wala hatuna shida nazo.
Si ndio hapo, sie tumekaa zetu kimya na Raha zetu. Simu zao zikianza leta tafran, wanaona watubughudhi na kutuchosha. Wajadili tu changamoto zao bila kuhusisha brand za simu zetu.Waambie watuache tumezipenda wenyewe