Watumishi wa Halmashauri wana mishahara duni

Mkuu Nani kasema anatafuta mchawi? Mimi sio mtu wa kulia Lia!
 
Upo sahihi zile taasisi hasa SU n.k wanalipwa vizuri sn kati ya milioni 3 mpaka 15 lakini halmashauri ni kati ya laki 3 mpka 1.8M basi na wakati ndiyo wazalishaji wakubwa
 
Wafanyakazi wa "Wizarani" hawana tofauti yoyote ya mishahara na wa Halmashauri.
 
M
Mkuu umepotea sana
 
Amefanya vizuri sana kutokutaja.
 
Hawakubali Mkuu, wakiweka hii opsheni cwt itakufa , hakuna mwalimu anaikubali cwt
Basi wapunguze kiasi!!! Pesa hiyo kwa idadi ya walimu wote nchini basi wanapata millions of shillings per month sababu walimu ni almost 30% ya wafanyakazi wote wa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…