Daraja A halipo kwenye mishahara ya walimu labda kama aliakuwa mwl wa upe na akili inakataa kwa sababu ya umri wakeKwa hii salary slip onaonesha mambo yafuatayo.
1 Umezaliwa mwaka 1987
2
Inaonesha
1 Ni mwalimu
2 umezaliwa mwaka 1987
3 Umeanzia certificate
4 ulikuwa inapanda madaraja kwa wakati labda kwa Magu
Mshahara Mdogo, sasa mbona wanarogana kila kukicha?Kama kuna kitu nime-note kwenye mabango ya Mei Mosi ni kuwa Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa, yaani Halmashauri n.k., wana hali mbaya sana.
Ukiangalia mabango yao wengi wanaomba mishahara ipande na maslahi yao, lakini watu wa taasisi mfano WCF, Wizarani, PSSSF, TASAC, TPA wao wapo busy na mabango ya "mazoezi ni afya. ..mara chanjo".
Ipo haja ya kuwaangalia kwanza hawa wa Local Government, wamechoka sana ,kwa sura na kiuchumi.
Hiyo salar slip siyo yakehata mimi niliwaza hivyo kwasababu ukiangalia hapo anaonekana ni mwalimu hana bodi uwenda alianza diploma kama ni yake ola shida inakuja anaposema kaanzia ADaraja A halipo kwenye mishahara ya walimu labda kama aliakuwa mwl wa upe na akili inakataa kwa sababu ya umri wake
This is what I know...Watumishi wa wizara Wanamishahara ya hovyo sana, japo Wana status kubwa nipo wizarani
Inategemea na kitengo chako, kama wewe uko kitengo cha kupokea kero mbalimbali jeee??Wizara zina activities nyingi hawategemei mshahara.
Upo lakini kwa shida sana sababu ya mvua lakini pia kuna ugonjwa umeibuka unaopelekea ufuta kunyaukaNje ya mada..vipi ufuta mwaka huu uko najilinji unapatikana?
#MaendeleoHayanaChama
Shida iko wapi Mkuu? Mbona Mimi mwalimu Niko shule ya msingi nanjilinji liwale!!Kwa hii salary slip onaonesha mambo yafuatayo.
1 Umezaliwa mwaka 1987
2
Inaonesha
1 Ni mwalimu
2 umezaliwa mwaka 1987
3 Umeanzia certificate
4 ulikuwa inapanda madaraja kwa wakati labda kwa Magu
Hakipo Cha kujitambulisha hapoAcha panic... Ni ushauri tu. Ukitaka kufichia jina angalia na vingine viwezavyo kukutambulisha. Ni kwa nia njema tu !!
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Muda wako wa kazini hauendani na ulivyopanda madarajaShida iko wapi Mkuu? Mbona Mimi mwalimu Niko shule ya msingi nanjilinji liwale!!
2022-2007= 14,Kuna shida hapo Mkuu?Muda wako wa kazini hauendani na ulivyopanda madaraja
Ulipanda daraja kipindi cha magufuli?2022-2007= 14,Kuna shida hapo Mkuu?
Ile ngazi A uliyosema umeanza kupanda daraja ulikuwa mwl wa upe nn?2022-2007= 14,Kuna shida hapo Mkuu?
Nilianza Kama VEO, baadae nikasomea certificate ya ualimuIle ngazi A uliyosema umeanza kupanda daraja ulikuwa mwl wa upe nn?
walimu wanaanza na tgts B na sio A
Nani kakwambia mi nafanya kazi halmashauri? Nimenote tu jambo.Demand ya kazi hapo Halmashauri ipo vipi ?, Ukiacha leo atapatikana mwingine kwa kufanya kazi ile ile kwa ujira huo huo ?
Kama jibu ni ndio basi gundua hilo tatizo sio la kwenu pekee bali ni la kitaifa na huenda wewe upo better off kuliko wanaokuzunguka
Local government is really LOCALKama kuna kitu nime-note kwenye mabango ya Mei Mosi ni kuwa Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa, yaani Halmashauri n.k., wana hali mbaya sana.
Ukiangalia mabango yao wengi wanaomba mishahara ipande na maslahi yao, lakini watu wa taasisi mfano WCF, Wizarani, PSSSF, TASAC, TPA wao wapo busy na mabango ya "mazoezi ni afya. ..mara chanjo".
Ipo haja ya kuwaangalia kwanza hawa wa Local Government, wamechoka sana ,kwa sura na kiuchumi.
[emoji1787]ila umenchekesha I can relateHalafu wanajiona wapo secured vibaya sana . Kuwakuta wanaitana mkuu
Hahaaa..noma sana.Halafu wanajiona wapo secured vibaya sana . Kuwakuta wanaitana mkuu