Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Tafsiri yake ni hiyo, yaani rushwa..


Bado tafsiri ya hiyo assessment Ina uelekeo wa rushwa tena bila hata kuwa na diploma ya "uta - KUKURU!!"

Kuna maswali muhimu kadhaa ya kujiuliza ni hili;

1. Ikawaje wakatengeneza njama za kumfungulia kesi ya uhujumu uchumi na wao wenyewe tena kuifuta/ondoa mahakamani kesi hiyo?. Jibu ni rahisi: Kum - indimidate atishike ili wapate wanachokitaka!!

2. Na unadhani ikawaje variation ya hiyo assessment ikawa inabadilika kiwango kutoka 30b kisha 15b and then 10b na mwisho "njoo uchukue mzigo wako?"

##Unataka ufundishwe na nani ili ujue kuwa hiyo ni direct rushwa na hata kama zingetoka zisingeingia ktk fuko la serikali??

It doesn't matter.

Ingekuwa ni bidhaa isiyoruhusiwa ishu hapo isingekuwa Kodi tena bali ni kosa la jinai. Kwa hiyo walipaswa kumshitaki tu mfanyabiashara

Hizo zilikuwa ni bidhaa za kawaida tu lakini eti Kodi 30bn. Hata Tanzania Breweries LTD (TBL) au Bakhresa Group of Companies LTD hawalipi kodi ya kiwango hicho tena Kwa mwaka mzima!!


Hakuwa na hela hiyo ya rushwa kwa kiwango hicho...!!

Kumbuka kuwa, kama business woman, lazima alikuwa na pesa ya kulipa Kodi halali ya serikali..!!

Ni mfanyabiashara gani makini anaweza kuagiza bidhaa ya biashara yake asiweke na bajeti ya Kodi, tozo na ushuru wa serikali..??

Katika scenario ya namna hii, you don't need to hear anything from TRA Kwa sababu picha ya rushwa iko very crystal clear.!!

Yaani mfumo wa rushwa ktk nchi hii unaundwa na syndicate hatari sana ikihusisha vigogo toka Kila idara muhimu serikalini: TRA, polisi, TISS, WIZARA ya fedha na pengine mpaka ikulu..
Ingekuwa kila mfanyabiashara anajiandaa kwa kodi kusingekuwa na minada ya bandarini kila uchwao.

Hayo yote ya rushwa ni speculation and intetpretation zako wewe na mleta uzi. Mwenyewe mwanamama hakutamka kaombwa rushwa. Alisema hakuwa na hela.

Kuongeza machumvi kwenye mvutano na TRA kunadhoofisha kesi yao dhidi ya TRA kwa sababu wakiombwa evidence of solicitation of corruption hawana.

Kodi kubwa, makadiro mabovu ndio tatizo la leo lililofunga Kariakoo. Rushwa ni agenda tofauti ya kitaifa, kijamii, kisheria, na haiwezi kutatuliwa na watu wa Kariakoo peke yao. Wasiichanganye hapa. Kodi ikipunguzwa watu waka afford rushwa itapungua automatically.
 
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Kweli kabisa, serikali yetu haijali watu wake hata kidogo maana kama wangekuwa wanajali wangekuwa wanafuatilia vitu ila wapi, kila kiongozi yuko bize kuiibia nchi. Mtu unaagiza gari used toka nje kuja hapa nchini unalipa ushuru mara mbili ya hilo gari na serikali yetu ipo tu. Wananchi tunalalamika wao wako bize kukuna pumbu huku wakitucheka. Serikali ya CCM ni wezi sana na hawana huruma na wananchi wao.
 
Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.

Mbwa kabisa
Ni kweli, Magufuli alikuwa anajuwa kila kitu kuhusu TRA na aliwashughulikia haswa hawa wababaishaji (TRA) ila huyu mama kwa kuwa naye yuko kibiashara zaidi anawaachia kina Mwigulu waibe tu mwisho wa siku wanampa mgao wake na yeye.
 
Sinyaa wa watu wamemfilisi. Wamekamata kontena yake, tbs nao wakakamata vipodozi ( Tena Hawa tbs) nao wachunguzwe, Wanang'ang'ana wafanyabiashara vipodozi vyao, wanatokomea navyo. Wanakomoa watu.

SERIKALI ITAMBUE HAO WATUMISHI WA TAASIS ZA UMA WANAFILIS WAFANYABIASHARA, NA KUWACHONGANISHA NA SERIKALI YAO.

SINYAA ASAIDIWE ARUDISHIWE CONTAINER YAKE. HALIKADHALIKA MAMA WA VITENGE.
 
Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.

Mbwa kabisa
Angejishughulikia na yeye mwenyewe aliyetengeneza task force wakawapachikia watu mashtaka ya uongo kisha wakawapiga na kitu kizito plea bargaining wakapiga mapesa wakapeleka kuficha China.

Magufuli na TRA wanafanana mijizi mikatili yote hii
 
Wanastahili adhabu ila wasinyongwe, ukianza kunyonga basi utanyonga waishe maana wasafi wanaweza kuwa wachache sana. Ukumbuke kuna Polisi, Halmashauri, wizarani na hata sekta binafsi. Kote huko kuna watu wa aina hii. Hapo hujagusa wanasiasa.

Wapunguziwe majaribu, mfumo wa kodi uwe digital kupunguza uhusiano wa moja kwa moja wa mlipa kodi na afisa. Tuwekeze kwenye technology.

Mfano magari zamani makadirio walikuwa wanapiga sana, sasa hivi hilo jaribu wameepushwa nalo.

Tusiwekeze kwenye uzalendo kwa mtindo wa kuacha mianya ya mtu kushawishiwa au kushawishi kupata kitu.
Wakiisha shida ikwap
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.

Mbwa kabisa
Hapana sio kweli kwani hizo sheria mbovu na hizo task forces na police kwenye kodi alianzisha na kuendeleza hayati Magufuli. Mifano/ushahid iko mingi sana kwa hiyo tunayoyaona ni legacy yake.
DC Sabaya kule Hai, Polisi na sakata la Prof. Maeda Arumeru nk nk

Mambo hayo yalianza rasmi 2016, nina ushahidi: maana nami ni Mfanyabiashara. Tulifanyiwa hivyo hivyo kama alivyoshuhudia huyo mama!

Na sio kuchukua, kuzuia au kuiba mizigo ya Wafanyabiashara; bali TRA na Task Forces kuwafuata majumbani na mali za Wafanyabiashara kutaifishwa na hata kuiba/kuchukua fedha kwenye akaunti zetu. Ilikuwa ni dhuluma na uporaji wa Dola dhidi ya raia. Ila hapakuwa na uhuru wa habari.
Hayati Magufuli alizuia media kutoa habari (hasa za ukweli) lakini wakati huohuo yeye akatumia media kufanya propaganda zake, ambazo kuna kundi kubwa la wajinga waliziamini. Magufuli alaaniwe milele!

Tunachokiona leo na kukisikia ni kwa sababu tu awamu ya sita kuna uhuru wa kupashana habari, credit to Rais Samia for that.

Lakini ushenzi huu umekuwepo. Ndio legacy halisi ya "Kishindo cha Awamu ya Tano". Ndio maana huwezi kusema kulikuwa na hata "harufu" ya utawala bora enzi za Mwendazake sababu hapakuwa na uwazi. Bila uwazi kuna rushwa, dhuluma na mambo yote maovu.

Ni kweli Magufuli alichukia Wafanyabiashara na hasa matajiri; na hakuficha. Alisema wazi na kuonyesha kwa vitendo katili hiyo chuki. Historia na rekodi iko hivyo na itabaki kuonekana hivyo.

Tunataka Katiba Mpya ili tuepukane na kutoka hapa tulipo. Yaani wahuni kuhujumu uchumi na maisha yetu kisa tu wako serikalini.
 
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Hatari
 
Msikilize vizuri. Hajasema aliombwa rushwa ya bilion 30. Na hajatamka neno rushwa. Huyu mleta mada wetu ndio ame introduce rushwa.

Kodi ndio ilikuwa bilioni 30. Amesema "TRA wakatoa assessment ya bilioni 30." Assessment maana yake kodi, sio rushwa. Makadirio ya kodi.

Mfanyabiashara ndio anajua ndani ya makontena 20 kulikuwa na nini. Na ndio maana wala hakubisha kiasi cha kodi, yeye kasema "sikuwa na hela." She knows what she brung to the country. Ni hadithi ya upande mmoja wa mfanyabiashara. Hatujasikia claims za TRA.
Kama ni hivyo ilikuwaje sasa hao hao TRA wakashusha kodi mpaka 10bn na baada ya sakata la mgomo siku moja kabla ya mkutano na PM wakampigia simu tena akachukue mzigo wake wote bila masharti kama kweli walikuwa wamefanya assessment ya haki bila makando kando?
 
Hao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
Hata cocaine, mandrax na heroin zina multiplier effect bila ya kusahau bangi tuziachie tu zikuze uchumi?
 
Tafsiri yake ni hiyo, yaani rushwa..


Bado tafsiri ya hiyo assessment Ina uelekeo wa rushwa tena bila hata kuwa na diploma ya "uta - KUKURU!!"

Kuna maswali muhimu kadhaa ya kujiuliza ni hili;

1. Ikawaje wakatengeneza njama za kumfungulia kesi ya uhujumu uchumi na wao wenyewe tena kuifuta/ondoa mahakamani kesi hiyo?. Jibu ni rahisi: Kum - indimidate atishike ili wapate wanachokitaka!!

2. Na unadhani ikawaje variation ya hiyo assessment ikawa inabadilika kiwango kutoka 30b kisha 15b and then 10b na mwisho "njoo uchukue mzigo wako?"

##Unataka ufundishwe na nani ili ujue kuwa hiyo ni direct rushwa na hata kama zingetoka zisingeingia ktk fuko la serikali??

It doesn't matter.

Ingekuwa ni bidhaa isiyoruhusiwa ishu hapo isingekuwa Kodi tena bali ni kosa la jinai. Kwa hiyo walipaswa kumshitaki tu mfanyabiashara

Hizo zilikuwa ni bidhaa za kawaida tu lakini eti Kodi 30bn. Hata Tanzania Breweries LTD (TBL) au Bakhresa Group of Companies LTD hawalipi kodi ya kiwango hicho tena Kwa mwaka mzima!!


Hakuwa na hela hiyo ya rushwa kwa kiwango hicho...!!

Kumbuka kuwa, kama business woman, lazima alikuwa na pesa ya kulipa Kodi halali ya serikali..!!

Ni mfanyabiashara gani makini anaweza kuagiza bidhaa ya biashara yake asiweke na bajeti ya Kodi, tozo na ushuru wa serikali..??

Katika scenario ya namna hii, you don't need to hear anything from TRA Kwa sababu picha ya rushwa iko very crystal clear.!!

Yaani mfumo wa rushwa ktk nchi hii unaundwa na syndicate hatari sana ikihusisha vigogo toka Kila idara muhimu serikalini: TRA, polisi, TISS, WIZARA ya fedha na pengine mpaka ikulu..
Mkuu Uzima Tele asante kwa kumkaanga huyu mfanyakazi wa TRA Ofisi ya Mkoa wa Ilala anayeitwa Tindikali . Akikujibu uni tag
 
Kuishi kwenye shit-hole countries kama Tanzania raha sana, utajiri nje nje kwa rushwa na kupindisha haki na dili ikibuma unapakazia kesi. Si ajabu kukuta wasimamizi wa sheria ndo wavunjaji wakuu na wazuia rushwa ndo walaji wakuu.
# Who regulates the regulators?
Ayo yakwako sasa
 
Back
Top Bottom