Watumishi wa Umma kucheka au kulia

Watumishi wa Umma kucheka au kulia

Kuna mwalimu mmoja kutoka katika halmashauri X, Yeye aliajiriwa mwaka 2017 akianza na TGTS C, Mwezi mei mwaka huu kapanda daraja kutoka C hadi G ...Asee kuna mijitu ina bahati ile mbaya saiv Basic inasoma 1.6M na vi senti huko....japo Sijajua kama inaweza kumletea shida hii.
Itamletea shida Sana ,la awe ameandika barua kurudisha cheo chake anachostahiki !
Afu halmashauri waee hawajafanyia kazi hapo haitasumbua Ila kama kakaa kimya atafurahia shoo mbona!atacheua Senti zote alizokula
 
Waswahili walisema usiku wa deni haukawii kucha. Zimebaki siku chache ili watumishi wa umma nchini waweze kupokea mshahara wao mpya wa mwaka wa fedha 2022-2023.

Kufuatia nyongeza ya 23.3% iliyotangazwa na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan siku ya Mei Mosi 2022, watumishi wengi wamejawa na matumaini makubwa kuwa mishahara yao itapanda walao kwendana na mfuko wa bei hapa nchini.

Hata hivyo baada ya kutangazwa kwa nyongeza hiyo palitokea mijadala ya hapa na pale kuhusu ongezeko hilo la 23.3%.

Kwa hiyo siku chache zijazo tutegemee watumishi kucheka, kunung'unika au kulia.July Salary-Loading.
ni huzuni
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Dah watumishi n kuonewa mwanzo mwisho..mtetezi wetu yu wapi?..
 
Huwa napenda kujishughulisha kidogo

Mfano mwalim wa daraja F basc ni 1,235,000/=

Kama mnasema ongezeko ni 50 elfu baada ya makato it means ngezeko la jumla kabla ya makato ni 60 elfu

So basic yake ya 1,235,000/= sasa itasoma 1,295,000=/ je hili ni sawa na ongezeko la asilimia ngapi?

60000 ÷ 1235000 *100 = 4.8%

So hii nisawa? Maana kima cha chini anaongezeko la 23% kadri inavyo panda inapaswa kupungua je nikweli 18% zote zimekwapuliwa???

hilo swali nilimuuliza mhuni mmoja idarani kwangu,akatoka mbio.[emoji23][emoji23]

4.8% sijui hata kama waziri wa elimu anaikuta kwa trend ya kushuka,viongozi wa juu kabisa wa idara wanajikita kwenye 13%
 
Ninachoshindwa kuwaelewa ni kuwa mtu unashindwaje kujua utapata shilingi ngapi, wakati
1. Basic pay yako unaijua
2. Asilimia ya ny0ngeza unaijua (23.3%)
3. PAYE unaijua ni asilimia ngapi PLUS fixed PAYE amount kiasi gani kwa kuwepo kwako kwenye kundi fulani la kodi
4. Unajuwa NSSF percentage deduction
5. Unajuwa makato yako ya 2% kwa wanachama wa vyama vya wafanyakazi
6. etc

Kwamba hesabu ndiyo ngumu hadi ungoje kuwa surprised au ni kitu gani?
Subiri siku chache zijazo ndipo utatambua na wewe hujui kitu!!!!
 
Bro,Acha utani, mtumishi gani atafurhia ongezeko dogo kama hili,unajua hii ni annual increment walionyomwa for 6yrs ndio wamepewa?
Mbwembwe zote za kasimu Majaliwa ndo zimekuwa hivyo
 
Kuna mwalimu mmoja kutoka katika halmashauri X, Yeye aliajiriwa mwaka 2017 akianza na TGTS C, Mwezi mei mwaka huu kapanda daraja kutoka C hadi G ...Asee kuna mijitu ina bahati ile mbaya saiv Basic inasoma 1.6M na vi senti huko....japo Sijajua kama inaweza kumletea shida hii.
Asikae kimya anapaswa kutoa taarifa. Ni sawa na ukute pesa kwenye account yako bila kujua alafu uzitumie.
Atakatwa pesa yote iliyozidi na anaweza kuchukuliwa hatua nyingine.
 
Kuna mwalimu mmoja kutoka katika halmashauri X, Yeye aliajiriwa mwaka 2017 akianza na TGTS C, Mwezi mei mwaka huu kapanda daraja kutoka C hadi G ...Asee kuna mijitu ina bahati ile mbaya saiv Basic inasoma 1.6M na vi senti huko....japo Sijajua kama inaweza kumletea shida hii.
Kakupiga fix huyo. Hakuna kitu kama hicho. Nini kimemfanya hadi kuvushwa hivyo?
 
Back
Top Bottom