Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni chai ya kijani na brown chillKiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka,Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021,kongole Mama yetu tunakupenda sana Yani mitano tena
unashangilia katili kukupa haki yako? Akili mbovu kabisaKiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka,Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021, kongole Mama yetu tunakupenda sana yani mitano tena
Vipi kuhusu Kikotoo? Bunge na serikali waliamuaje?Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka,Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021, kongole Mama yetu tunakupenda sana yani mitano tena.
kashachelewaFurahia kimya kimya na mkeo, kina mangi wapo humu jioni ukirudi home sukari imepanda 😹
Hizi slogan za kipumbaf kwa haki zenu wenyewe mnasaidiwa kufikiri na kuziandika au kuna mtu anawalipa?Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka,Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021, kongole Mama yetu tunakupenda sana yani mitano tena.
Waambie ukweli Hawa mapimbi!Kuongoza watanzania ni rahisi kuliko kuongoza kondoo.
Waibie milion moja halafu wape mchele kilo tano kama zawadi watakupigia makofi.
Hongereni sanaKiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka,Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021, kongole Mama yetu tunakupenda sana yani mitano tena.
Kuna wale raia walioajiriwa 2014 na 2015Furahia kimya kimya na mkeo, kina mangi wapo humu jioni ukirudi home sukari imepanda 😹
Ndo wanapanda mwezi huuKuna wale raia walioajiriwa 2014 na 2015
Hizi raia zimetimiza miaka 10 na wamepanda daraja moja tuu..!!
#YNWA