Tetesi: Watumishi wa Umma kupandishwa madaraja karibuni

Tetesi: Watumishi wa Umma kupandishwa madaraja karibuni

Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.

Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.

Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Mitano kwake ni ya uhakika, hilo daraja, ni kama kujifariji, ishi kwa matumaini, na nyiongeza ya mshahara sambamba na kupanda daraja, labda ndotoni! Sikukuu ya wafanyakazi,
hakuona umuhimu wa kuhudhuria. Tetesi kama tetesi, mtaisahau muda ukiwadia!
 
Mitano kwake ni ya uhakika, hilo daraja, ni kama kujifariji, ishi kwa matumaini, na nyiongeza ya mshahara sambamba na kupanda daraja, labda ndotoni! Sikukuu ya wafanyakazi,
hakuona umuhimu wa kuhudhuria. Tetesi kama tetesi, mtaisahau muda ukiwadia!
Acha kutukatisha tamaa
 
Back
Top Bottom