Tetesi: Watumishi wa Umma kupandishwa madaraja karibuni

Tetesi: Watumishi wa Umma kupandishwa madaraja karibuni

Mkopo wa wakorea kusini unanguvu jamani. Kuna mtumishi kafanya kazi miaka 6 hajapandishwa hata daraja la mirunda
 
Kwa akili hizi,hakika watumishi wa umma ni mazuzu na wapumbavu.
Kuongoza watanzania ni rahisi kuliko kuongoza kondoo.
Waibie milion moja halafu wape mchele kilo tano kama zawadi watakupigia makofi.
Kwa hii habari tegemea kuporomoshewa matusi na hasira za vijana wa Mbowe.

Sijui kwanini wanachukia watumishi na mambo mazuri!
 
Hii thread ni kipimo tosha cha kuonyesha ni kwanini wanawake walikuwa hawaruhusiwi kupiga kura.
 
Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.

Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.

Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Huna option zingine zaidi ya mshahara?
 
Kuongoza watanzania ni rahisi kuliko kuongoza kondoo.
Waibie milion moja halafu wape mchele kilo tano kama zawadi watakupigia makofi.
Kilo tano nyingi mkuu, watu wanapewa kanga na wanapiga makofi 😃
 
Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.

Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.

Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Huu ni muendelezo tuu wa mengi mazuri ambayo Rais Samia amefanya Kwa Watumishi wa umma.

Hawajaanza Leo kuoandishwa madaraja na Samia ,toka ameingia amewapandisha madaraja,amelipa madai Yao na akawapandishia salary hasa wale wa chini.

Amewanunulia vitendea kazi,na ameajiri maelfu.Ukiacha JK aliyewatebdea vyema Watumishi ni Samia.

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1797944254141964609?t=alqhVWwf7ofZCbStg_KfKg&s=19

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1797975781328458168?t=3EsCLR2Pj0OL9dAm78IAKg&s=19
 
Huu ni muendelezo tuu wa mengi mazuri ambayo Rais Samia amefanya Kwa Watumishi wa umma.

Hawajaanza Leo kuoandishwa madaraja na Samia ,toka ameingia amewapandisha madaraja,amelipa madai Yao na akawapandishia salary hasa wale wa chini.

Amewanunulia vitendea kazi,na ameajiri maelfu.Ukiacha JK aliyewatebdea vyema Watumishi ni Samia.

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1797944254141964609?t=alqhVWwf7ofZCbStg_KfKg&s=19

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1797975781328458168?t=3EsCLR2Pj0OL9dAm78IAKg&s=19

Duuh waalimu nawaona kama wamejichokea sana. Alafu wamezeeka au hawa ni wastaafu?
 
Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.

Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.

Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Kupanda daraja ni haki yako, haihusiani na sifa za kijuha unazo ambatisha katika uzi wako.
 
Back
Top Bottom