- Thread starter
- #21
Kama kumpenda Mama kwa mazuri anayotufanyia acha tuwe mazuzuKwa akili hizi,hakika watumishi wa umma ni mazuzu na wapumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kumpenda Mama kwa mazuri anayotufanyia acha tuwe mazuzuKwa akili hizi,hakika watumishi wa umma ni mazuzu na wapumbavu.
Ndo wanapanda mwezi huuIla ajira za kishamba sanaaa
Kuna wale walioajiriwa 2014 wamepanda daraja moja tu baada ya miaka 10..!!!
#YNWA
Kumbuka kipindi Cha Jiwe hatukupata hii hakiHiyo ni haki yako mtumishi. Huna sababu ya kushukuru.
Sasa hivi wanatakiwa kupanda daraja la 3Ndo wanapanda mwezi huu
Jaribu kuwa na kifua Mtumishi, friji lako bovu kweli kweli haliwezi kugandisha kabisaaaa maaana ukipata taarifa kifua chako kinavimba mithili ya Njiwa dume akiwa na Upwiru ona sasa umemwaga mtama. Tunaowaddai huku kitaa tutabanana sasa.Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.
Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.
Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Ni kweli ila hayo makosa yalifanyika kipindi Cha Magu aliacha kupandisha watumishi lakini Mama karudisha utamaduni wa kuwapandisha watumishi vyeoNdo wanapanda mwezi huu
Yote haya ni katika kumpongeza Mama yetu kwa kujali maslahi ya watumishiJaribu kuwa na kifua Mtumishi, friji lako bovu kweli kweli haliwezi kugandisha kabisaaaa maaana ukipata taarifa kifua chako kinavimba mithili ya Njiwa dume akiwa na Upwiru ona sasa umemwaga mtama. Tunaowaddai huku kitaa tutabanana sasa.
Ngoja wasomi wajeHivi mtumishi aliye fanyiwa Recategorization mwaka 2020 mwezi wa 8 anaweza kupanda daraja mwaka huu au mpaka mwakani?
Nadhani mwaka huu ingawa sina uhakika zanaHivi mtumishi aliye fanyiwa Recategorization mwaka 2020 mwezi wa 8 anaweza kupanda daraja mwaka huu au mpaka mwakani?
Tatizo ujasili haupoKama kumpenda Mama kwa mazuri anayotufanyia acha tuwe mazuzu
Ngoja tuone sisi yetu machoYote haya ni katika kumpongeza Mama yetu kwa kujali maslahi ya watumishi
Nimemcheki afisa utumishi ananiambia ni kweli kwa mujibu wa muongozo mpya ambao wameupata,anatakiwa apande daraja mwaka huu.Nadhani mwaka huu ingawa sina uhakika zana
bac ni jambo jemaNimemcheki afisa utumishi ananiambia ni kweli kwa mujibu wa muongozo mpya ambao wameupata,anatakiwa apande daraja mwaka huu.
Lakini kwa mujibu wa muongozo wa zamani angepanda mwakani.
Iwe ni pamoja na kuboresha maslahi yaoKiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.
Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.
Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Nimemcheki afisa utumishi ananiambia ni kweli kwa mujibu wa muongozo mpya ambao wameupata,anatakiwa apande daraja mwaka huu.
Lakini kwa mujibu wa muongozo wa zamani angepanda mwa
Hesabu miaka mi4...tangu recatego ifanyikeHivi mtumishi aliye fanyiwa Recategorization mwaka 2020 mwezi wa 8 anaweza kupanda daraja mwaka huu au mpaka mwakani?
Tayari...