pole sana mwambaBro kumnunilia mtoto nguo mpya aiondoi "his right and your obligation kumpa chakula"
Mwambie mwenyekiti wenu aache "uzurumishi "
1. Anipe maadaraja yangu mawili.
Nilitakiwa niwe E ila tokea yeye aingie bado nipo palepale TGS C.
Yaani alinidanganya kunipa TGS C2 ili anipoze.
Mungu HAPENDI UZULISHI.
2. Mwambie anipe increament zangu za kila mwaka ambazo zipo kisheria.
Namdai haki yangu ambavyo ipo KISHERIA ya NYONGEZA YA MIAKA MITANO.
mwambie "No one is above the law"
3. Mwambie anilipe arraers zangu.
Kama kanidhulumu pesa ngoja mimi mimdhulumu muda.
JINO KWA JINO.
#YNWA
Acha Kazi
Una hakika ni mitanoMODER
MODERATOR.
Heading....
Kwenye heading naomba isomeke KUUMIA na sio KUTUMIA.
""
Watumishi wa UMMA tujiandae kutumia tena kwa miaka 5"" iwe ""
Watumishi wa UMMA tujiandae kuumia tena kwa miaka 5""
Thanks.
#YNWA
Watakoma na baridi la Ulaya kwa upuuzi wao maana ndio linaanza hapa bongo mvua tu ikinyesha watu hawaaandamaniMaandamano yasiyo na ukomo yameanza London, Paris, Sweden
Emu tuambie katika aliyoyataja mtoa mada kipi ni uongo chenye kuleta uchochozi.Huu ni uchochezi wa kipuuzi sana kutoka kwa mlalahoi ambaye hajawahi kuwa mtumishi hata wa stand ya jiji
Hapo kwa dadako fukara ww ndio TGS EMi ni mtumishi wa umma mwenye TGS C2.
Ila kiuhalali ilipaswa ni TGS E.
Ila kwa kuwa mwenyekiti wako ni JIWE lisilosikia.
Kanidhulumu maadaraja yangu na increment yangu.
Mwambie Mungu anamuona.
#YNWA
Halafu walimtoa kiulaini.Tutajuta kuzaliwa Tanzania. Halafu akina Ndugai wanabadili katiba 2024 ili Jiwe aendelee baada ya 2025! Mashujaa wale waliomtoa Karume madarakani 1972 sijui walikwenda wapi?
Dah! Wanatutesa sanaa hawa walimu.Hahaha nchi hii mmezoe kutawaliwa na walimu, next time mtuletee hata mwalimu wa Geography tuone moto wake na yeye.
Mwambie atuonee huruma.Cheti Nimepewa Leo
Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch Sitaiwasha
Haa 😀😁😂😅😄😄Mwambie atuonee huruma.
Atupe haki ZETU tena nyengine zipo kisheria.
#YNWA
Wewe! Si walisema hadi 2023?Kikokotoo kinaanza kufanya kazi mwakani
Nan akupende wakat ww mwenyew hujipendi?Na haya ndiyo majibu ya Watanzania! Anakujibu acha kazi ana sahau kama mtumishi ana haki na sheria inayomlinda! Badala ya kusimama na mtumishi kuona ni namna gani hizo haki na sheria zinalindwa!
Watanzania hatupendani!
Badala ya kujadili katika kutafuta solution ya kumsaidia mtumishi, tunatoa majibu hovyo hovyo!!
Huyu unaweza kuta ndiyo mjomba wako anayekulipia ada na upo nyumbani umesimamishwa masomo!
Hahaha zoea tu mateso ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.Dah wanatutesa sanaa hawa walimu..
#YNWA
Kweli tutajuta Mkuu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya mipango ya kutaka aongezwe muda was Kutawala dhidi ya Katiba ya Nchi in mwanzo was Kiongozi Hugo kuwa Dikteta.Tutajuta kuzaliwa Tanzania. Halafu akina Ndugai wanabadili katiba 2024 ili Jiwe aendelee baada ya 2025! Mashujaa wale waliomtoa Karume madarakani 1972 sijui walikwenda wapi?
WaliuliwaTutajuta kuzaliwa Tanzania. Halafu akina Ndugai wanabadili katiba 2024 ili Jiwe aendelee baada ya 2025! Mashujaa wale waliomtoa Karume madarakani 1972 sijui walikwenda wapi?
Aanze na wakeMimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!
Inaonekana ni mikubwa sana...ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!
Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.
Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Hakuna jipya chini ya jua. Rushwa iko pale pale. Upigaji uko pale pale, utamulikwa ikiwa yeye hajahusishwa. Mashuleni watu wanalipa kama kawaida, kwani elimu bora ina gharama zake. Ujenzi mkubwa kwa sasa unawanyonya wananchi, wanaolipa kodi kila uchwao na wasiopewa haki ya kuchagua wamtakaye, kupata habari na kutoa maoni yao katika nchi huru ya Tz., ukizingatia teknolojia inaruhusu.Hujasema kama:
1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka
Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.