Watumishi wa UMMA tujiandae kuumia tena kwa miaka 5

Watumishi wa UMMA tujiandae kuumia tena kwa miaka 5

Kumbe nawe dada kichwani mweupeee! Hujamsikia Waziri mkuuwa Uingereza Boris Johnson katangaza Lock down ya kuanzia kesho 2/11/ hadi 5/12/2020 au unasema London ya Runzewe?
Uko dunia gani? Marekani kulikuwa na lockdown na kulikuwa na utitiri wa watu baada ya mauaji ya Floyd.
 
Tutajuta kuzaliwa Tanzania. Halafu akina Ndugai wanabadili katiba 2024 ili Jiwe aendelee baada ya 2025! Mashujaa wale waliomtoa Karume madarakani 1972 sijui walikwenda wapi?
Wamezimwa ziiii. HAWA thaminiki tenaa.

#YNWA
 
Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!
Inaonekana ni mikubwa sana...ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!

Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.

Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Tulifosiwa na waliogopa vibarua vyao vitaota nyasi.

#YNWA
 
Ni yuleyule alieiba kura na kujitangaza.
Ni yuleyule ambae tumeona kura zinazagaa kwenye mabegi, vikapu,mifuko
Ni yuleyule ambae anafisadi nchi
Ni yuleyule wabunge wa ccm wanamuogopa kuliko shetaniView attachment 1617319
Dictator on the movement.
Ipo siku hata CCM wenyewe watajuta.

Toto tundu lisilo fokewa ipo siku litamuaibisha hata baba ake.

#YNWA
 
Ukisoma ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi sioni sehemu wanaonyesha kuwa kutakuwa na ajira mpya Wala kuongelea Maslahi ya wafanyakazi
 
Nan akupende wakat ww mwenyew hujipendi?

Relax. Fata taratibu pale unapoona Haki zako hazifatwi ndio maana Kuna Labor Law na Ile ya Code of G Conduct na zingine nyingi, umejaribu kuzisoma?

Umechukua hatua Gani?

Pili, mkuu kasema ataongeza Mishahara, tulia

Off course!! Ndiyo kanuni iliyo wazi Tanzania kwa sasa, jipende mwenyewe ya mwingine hayakuhusu! Limekukumba pambana mwenyewe!! Nime relax!

Unaelewa mtu anaposema kakosa "haki" zake? Maana yake ni kwamba kwa miaka mitano watu wamefuata taratibu zinazotakiwa kuchukua na hakuna mafanikio!

Kana sijakosea keshalitamka hilo neno mara ya nne sasa katika miaka tofauti! Kampeni 2015, May Mosi Moshi, May Mosi Iringa, kampeni 2020! Wacha tuendelee kunywa mtori....!!
 
Aliyeshinda uchaguzi ni

1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)

2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014

3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.

4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.

5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.

Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.

6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.

7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.

KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.

Eti ameshinda tenaa..

Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.

TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.

Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.

Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.

#YNWA
Nyie muendelee kuumia tu, wala sioni haja ya kututangazia hapa.
 
Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!

Inaonekana ni mikubwa sana, ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!

Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.

Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Wanyimwe mshahara kabisa.

Watumishi wa umma kama makondoo.
 
Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!

Inaonekana ni mikubwa sana, ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!

Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.

Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Unawaonea bure watumishi wa uma.
Waliomsaidia kuharibu uchaguzi ni watu wachache tu ila wana vyeo vikubwa kwenye idara zao.
 
Hujasema kama:

1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka

Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Rais Wetu Yule Pale
Kiongozi wetu Yule Pale

Ikulu Hiyo Ikulu Hiyoooo
Wengine Wanatetemeka
Sababu Ya Ikulu Hiyooo

Magu Piga Kazi
Hapa Kazi Tuuuu.
 
Off course!! Ndiyo kanuni iliyo wazi Tanzania kwa sasa, jipende mwenyewe ya mwingine hayakuhusu! Limekukumba pambana mwenyewe!! Nime relax!

Unaelewa mtu anaposema kakosa "haki" zake? Maana yake ni kwamba kwa miaka mitano watu wamefuata taratibu zinazotakiwa kuchukua na hakuna mafanikio!

Kana sijakosea keshalitamka hilo neno mara ya nne sasa katika miaka tofauti! Kampeni 2015, May Mosi Moshi, May Mosi Iringa, kampeni 2020! Wacha tuendelee kunywa mtori....!!
Nyie ww kuwalaumu ni VIONGOZI wa vyama vya Wafanyakazi.. na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom