Watumishi wa Umma wakimaliza utumishi wa kisiasa warudi kwenye ajira zao mpaka watakapostaafu

Watumishi wa Umma wakimaliza utumishi wa kisiasa warudi kwenye ajira zao mpaka watakapostaafu

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.

Miezi kadhaa kuna mabosi wa Chama cha Walimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.

Mimi binafsi niliwaelewa sana, maana wangetoka kwenye ajira baadae wakafanya kosa na kutenguliwa basi hawawezi kurudi kwenye ajira zao na kuwalazimisha kuwa machawa mpaka watakapopata teuzi zingine.

Hatua hii imefanya wanasiasa wengine kujishushia heshima na utu ili tu wapate teuzi. Mfano kuna Professor alimuita Rais Mungu.

Hii mada nawaelekezea watumishi mbalimbali ambao wapo katika ajira za kisiasa hasa Wabunge na Mawaziri na Marais mfanyie marekebisho sheria hii.

Hii sheria ni ya kikoloni na kibaguzi. Unakuta Daktari mzuri kabisa au Professor mzuri lakini akiteuliwa basi ameaga R.I.P na Madini ya kichwani.

Tunaomba Wabunge na Mawaziri wenye madini lukuki kichwani badilsheni hii sheria. Kuna siku nchi itatawaliwa na vijana ambao hawajaiva kitaaluma kama akina Mkumbo, watabakia machawa kusaka teuzi.

Nawasilisha.
 
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.

Miezi kadhaa Kuna mabosi wa chama cha waaalimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.

Mimi binafsi niliwaelewa sana maana wangetoka kwenye ajira baadae wakafanya kosa na kutenguliwa basi hawawezi kurudi kwenye ajira zao na kuwalazimisha kuwa Machawa mpaka watakapo pata teuzi zingine.

Hatua hii imefanya wanasiasa wengine kujishushia heshima na utu ili tu wapate teuzi. Mfano kuna professor alimuita Rais Mungu.

Hii mada nawaelekezea watumishi mbalibali ambao wapo katika ajira za kisiasa hasa wabunge na Mawaziri na Marais Mfanyie marekebisho sheria hii.
Hii sheria ni ya kikoloni na kibaguzi. Unakuta daktari mzuri kabisa au professor mzuri lakini akiteuliwa basi ameaga R. I. P na Madini ya kichwani.

Tunaomba wabunge na Mawaziri wenye Madini lukuki ki
 
Hiii inazuia wasomi kuingia kwenye siasa. Mtatawaliwa na mambulula mpaka mshangae
Huyo lipumba tulieaminishwa ni nguli wa uchumi mpaka anasaidia nchi zingine kutoka kwenye umaskini toka aingie kwenye siasa anatofauti gani na msukuma mwezi wa madini
 
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.

Miezi kadhaa Kuna mabosi wa chama cha waaalimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.

Mimi binafsi niliwaelewa sana maana wangetoka kwenye ajira baadae wakafanya kosa na kutenguliwa basi hawawezi kurudi kwenye ajira zao na kuwalazimisha kuwa Machawa mpaka watakapo pata teuzi zingine.

Hatua hii imefanya wanasiasa wengine kujishushia heshima na utu ili tu wapate teuzi. Mfano kuna professor alimuita Rais Mungu.

Hii mada nawaelekezea watumishi mbalibali ambao wapo katika ajira za kisiasa hasa wabunge na Mawaziri na Marais Mfanyie marekebisho sheria hii.
Hii sheria ni ya kikoloni na kibaguzi. Unakuta daktari mzuri kabisa au professor mzuri lakini akiteuliwa basi ameaga R. I. P na Madini ya kichwani.

Tunaomba wabunge na Mawaziri wenye Madini lukuki kichwani badilsheni hii sheria.
Kuna siku nchi itatawaliwa na vijana ambao hawajaiva kitaaruma kama akina Mkumbo watabakia Machawa kusaka teuzi.
Nawasilisha.
Hakuna Sheria ya dizaini hyo... Mfanyakaz yeyote akiteuliwa anashika hyo nafasi na akitenguliwa Anarud kwenye utumishi wake otherwise akatae au astaafishwe Kwa manufaa ya umma na rais..

Wale wa cwt walikataa Kwa Sababu za msingi kabsa..wangekuja kutenguliwa wangerudi kushika chaki lakini sio vyeo walivyokuwa navyo CWT.
 
Sheria ni nzuri hakuna kuchanganya siasa na utumishi wa umma, wakiteuliwa kikubwa wanaenda kuiba mali za umma wala hawafanyi cha maana
 
Hakuna Sheria ya dizaini hyo... Mfanyakaz yeyote akiteuliwa anashika hyo nafasi na akitenguliwa Anarud kwenye utumishi wake otherwise akatae au astaafishwe Kwa manufaa ya umma na rais..

Wale wa cwt walikataa Kwa Sababu za msingi kabsa..wangekuja kutenguliwa wangerudi kushika chaki lakini sio vyeo walivyokuwa navyo CWT.
Rudi kasome sheria tena.
 
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.

Miezi kadhaa Kuna mabosi wa chama cha waaalimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.

Mimi binafsi niliwaelewa sana maana wangetoka kwenye ajira baadae wakafanya kosa na kutenguliwa basi hawawezi kurudi kwenye ajira zao na kuwalazimisha kuwa Machawa mpaka watakapo pata teuzi zingine.

Hatua hii imefanya wanasiasa wengine kujishushia heshima na utu ili tu wapate teuzi. Mfano kuna professor alimuita Rais Mungu.

Hii mada nawaelekezea watumishi mbalibali ambao wapo katika ajira za kisiasa hasa wabunge na Mawaziri na Marais Mfanyie marekebisho sheria hii.

Hii sheria ni ya kikoloni na kibaguzi. Unakuta daktari mzuri kabisa au professor mzuri lakini akiteuliwa basi ameaga R. I. P na Madini ya kichwani.

Tunaomba wabunge na Mawaziri wenye Madini lukuki kichwani badilsheni hii sheria.
Kuna siku nchi itatawaliwa na vijana ambao hawajaiva kitaaruma kama akina Mkumbo watabakia Machawa kusaka teuzi.
Nawasilisha.
Siyo kweli. Hakuna sheria ya namna hiyo. Watu wanarudi kwenye utumishi wa Umma
 
Back
Top Bottom