Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Weka hapa hiyo sheriaRudi kasome sheria tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hapa hiyo sheriaRudi kasome sheria tena.
NotedKwanini huoni wasomi wananyimwa fursa kujenga nchi
Inatokana mtu kuangalia future yake zaidi kuliko MaslahiSheria ni nzuri hakuna kuchanganya siasa na utumishi wa umma, wakiteuliwa kikubwa wanaenda kuiba mali za umma wala hawafanyi cha maana
Leta hyo Sheria acha ushabiki maandaz bila document...wabunge wenyewe wanaweza rud kwenye utumish wao pale wakimaliza wakitaka..Rudi kasome sheria tena.
Tunataka maslahi ya taifa na siyo ya mtu binafsiInatokana mtu kuangalia future yake zaidi kuliko Maslahi
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.
Miezi kadhaa kuna mabosi wa Chama cha Walimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.
Mimi binafsi niliwaelewa sana, maana wangetoka kwenye ajira baadae wakafanya kosa na kutenguliwa basi hawawezi kurudi kwenye ajira zao na kuwalazimisha kuwa machawa mpaka watakapopata teuzi zingine.
Hatua hii imefanya wanasiasa wengine kujishushia heshima na utu ili tu wapate teuzi. Mfano kuna Professor alimuita Rais Mungu.
Hii mada nawaelekezea watumishi mbalimbali ambao wapo katika ajira za kisiasa hasa Wabunge na Mawaziri na Marais mfanyie marekebisho sheria hii.
Hii sheria ni ya kikoloni na kibaguzi. Unakuta Daktari mzuri kabisa au Professor mzuri lakini akiteuliwa basi ameaga R.I.P na Madini ya kichwani.
Tunaomba Wabunge na Mawaziri wenye madini lukuki kichwani badilsheni hii sheria. Kuna siku nchi itatawaliwa na vijana ambao hawajaiva kitaaluma kama akina Mkumbo, watabakia machawa kusaka teuzi.
Nawasilisha.
Brigedia generali Marco Gaguti alikuwa mkuu wa Mkoa Kigoma then Kagera baadae nafikiri Lindi au Mtwara ametumbuliwa sasa hivi karudi jeshinKuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.
Miezi kadhaa kuna mabosi wa Chama cha Walimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.
Mimi binafsi niliwaelewa sana, maana wangetoka kwenye ajira baadae wakafanya kosa na kutenguliwa basi hawawezi kurudi kwenye ajira zao na kuwalazimisha kuwa machawa mpaka watakapopata teuzi zingine.
Hatua hii imefanya wanasiasa wengine kujishushia heshima na utu ili tu wapate teuzi. Mfano kuna Professor alimuita Rais Mungu.
Hii mada nawaelekezea watumishi mbalimbali ambao wapo katika ajira za kisiasa hasa Wabunge na Mawaziri na Marais mfanyie marekebisho sheria hii.
Hii sheria ni ya kikoloni na kibaguzi. Unakuta Daktari mzuri kabisa au Professor mzuri lakini akiteuliwa basi ameaga R.I.P na Madini ya kichwani.
Tunaomba Wabunge na Mawaziri wenye madini lukuki kichwani badilsheni hii sheria. Kuna siku nchi itatawaliwa na vijana ambao hawajaiva kitaaluma kama akina Mkumbo, watabakia machawa kusaka teuzi.
Nawasilisha.
NitajieSiyo kweli. Hakuna sheria ya namna hiyo. Watu wanarudi kwenye utumishi wa Umma
Ubalozi si utumishi wa Umma. Ni hadhi ya kisiasaGladius Byakanwa alikuwa rc Lindi akaliwa kichwa.
Ameibukia kwenye ubalozi akitokea kwenye ubalozi Fulani huko Asia