Watumishi wa Umma wakimaliza utumishi wa kisiasa warudi kwenye ajira zao mpaka watakapostaafu

Hakuna kitu kama hicho. sema waliogopa kumwaga mamilioni yao ya kila mwezi ndani ya hicho chama kwa kazi ya miaka mitano tena yenye kupelekeshwa na wakuu wa mikoa.
 
NAUNGA MKONO HOJA. NDIYOOOO. TUMEPANDIKIZWA IMANI POTOFU JUU YA SIASA KAMA SIASA NI KITU MBAYA HATARI KINACHOAMBATANA NA MANENO MABAYA KAMA UONGO, UCHAWI, USHIRIKINA, UUAJI, N.K. LKN SASA MBONA WENGI WANAKIMBILIA HUKO! AU WALIOHUKO WANAJILINDI WASIINGILIWE HUKO KUZURI! NCHI ZILIZOENDELEA KAMA USA WATU WOTE WANAJUA SIASA NI MAISHA NA WOTE WANAHUSIKA KIKAMILIFU. NAONA HII KUTORUHUSU NA KUWEKEANA VIGINGI KWA MTUMISHI KUINGIA KWENYE SIASA SI HAKI NA NI HADAA. KILA MTU YEYOTE HATA MCHUNGAJI KAMA ANAUWEZO NA WANANCHI WANAMTAKA INATAIWA KUSHIRIKI SIASA. KINYUME NA HAPO NDO MATATIZO HAYA SASA. KUKAMATANA, KUSHITAKIANA, UADUI BADALA YA USHINDANI, UFICHO/ USIRI BADALA YA UWAZI, CHUKI BADALA YA UPENDO, NK
 

Inaruhusiwa kurudi mkuu, Yule aliyeteuliwa kule kazini kwake anahesabika kama mtumishi aliyeazimwa kwenda kutumika mahali pengine.
 
Gladius Byakanwa alikuwa rc Lindi akaliwa kichwa.


Ameibukia kwenye ubalozi akitokea kwenye ubalozi Fulani huko Asia
 
Brigedia generali Marco Gaguti alikuwa mkuu wa Mkoa Kigoma then Kagera baadae nafikiri Lindi au Mtwara ametumbuliwa sasa hivi karudi jeshin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…