Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Wachaga walishajiajri kitambo tu,ukikuta mchaga serikalini huyo kachanganya wazaziila wachaga mnapata tabu sana, anyway logeni ccm itoke madarakani ndio itakua nafuu kwenu
Moja,itasaidia kwenye kujua kama kazi zitaendelea siku ya ijumaa au la kama wote wataenda kusali msikitini
Pia kuna packages za mikopo ya iddi na Christmass kwa watumishi wa umma, itasaidia taasisi za serikali kujipanga na kuzuia upigaji
Pia kuna masuala ya kijamii kama vile vifo, ndoa, haki za urithi za warithi wa marehemu katika mafao yaliyoko huko kazini
Lakini pia ili serikali iweze kuondoa udini, maana kama watu wa dini moja ndo wanaonekana wanapata hizi ajira, au wamejazana kwenye taasisi moja lazima serikali iweze kukusanya data na kujua kwa nini, hii inaweza kuifanya serikali ichukue hatua za kuaddress hilo tatizo ili harmony ipatikane katika nchi la sivyo grievances zinaweza kupelekea katika chuki na hata vita vya wenyewe kwa wenyewe, naamini hutaki hilo litokee.
Itumike huko inakotumika, mtumishi akienda kuupgrade ataelewa akiombwa hizo details, sio kuomba details kiholelaholela,Demographics zina tumika sana kwenye research na proposals
Mkojani ni Kabila la wapi. Maana hata sijuikabila jaza mkojani dini muislamu la sivyo......
Mfumo jike ni hatari sana,USA waliliona hili wakati wa ushindani wa H.Clinton na Trump.Mambo haya ni kinyume na misingi iliyoasisi taifa hili hayaruhusiwi popote pale hata kufanywa na mjumbe wa nyumba kumi;
Mwalimu na Karume na wazee wenzao hawakuwa wajinga hata kama wakati wao wengi hawakuwa na elimu, wewe huwezi kuwazidi wazee wale, na akili yao ilikuwa haijachafuliwa na pollution yoyote iwe ya kimaadili ama ya vyakula, leo hii kwa sababu hatunauangalizi mkali wa misingi yetu kanaweza kuibuka kajinga fulani katika mfumo wa utawala kuanzia ngazi ya chini hata ya taifa , kalikofanya ufuska wakutosha kwa pollution za western cultures, akili yenyewe mbovu, kakaja kupinga mambo mazito kama hayo, yaani kamtu kama hako kanataka kaumbe taifa lake kenyewe na ss ndio katufanye watoto wake, kutoka kwa baba wa taifa ambae ss ni watoto wake tangu mwanzo,
- Kuruudisha uchifu ambao waasisi walithibisha kwa vitendo haufai kwa mustakabali wa taifa.
- Kurudisha utegemezi kwa mabepari ambao ni kinyume na misingi ya kujitegemea, hata kama hilo la kujitegemea ni la propaganda zaidi kuliko utekelezaji wake, sio vema kulikana hadharani mchana kwwupe.
- Kurudisha huo ukabila na udini na uzanzibari, hata kama hausemwi lakini tunaona.
Point kubwa sana.Itumike huko inakotumika, mtumishi akienda kuupgrade ataelewa akiombwa hizo details, sio kuomba details kiholelaholela,
Ina tegeme una fanya study kwa mtindo gani kama ni una angalia ma file ya watumishi tu?Itumike huko inakotumika, mtumishi akienda kuupgrade ataelewa akiombwa hizo details, sio kuomba details kiholelaholela,
Kwenda zako huko. Kuna sehemu walikuuliza kabila?Boss sio kweli mm wakati naanza ajira kuna kipengele kwenye mkataba wangu ajira za serikali kinauliza dini.Hili jambo sio jipya nashangaa kuona mleta mada analikuza kana kwamba limekuja leo.Au kwakuwa kwenye ajira za serikali ni mgeni.
Taarifa za watumishi wote zitapelekwa Kwa Msajili wa Hazina.Waziri gani anahusika na huu upumbav?
Mtajeni tupeleke jina lake mbele
Mungu Tusamehe Afrika.Siuna dini na kabila bwana viandike tu shoda iko wapi?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kabila huwezi kujaza NIL kama wewe sio Mtanzania mzungu, mhindi au mburushi.kwenye dini na kabila jaza NIL
Mkuu weighing out the balance shows kuna faida kubwa kuyaacha hayo kuliko kudeal nayo, tunaweza kurudishwa mbali tulikotoka kwa njia ya shortcut, hao watu ni hatari sana kwa mistakabali wa taifa letu, can you imagine tunavyoinjoi the diversity nchi hii, tunachanganyikana makanisani, misikitini, makazini, masokoni, mashuleni mitaani , michezoni n.k jambo kubwa ambalo ss kwa kulizoea tunalichukulia poa , angalia walikolikosa kwa wenzetu limewagharimu maisha yote : uhai, uchumi , maendeleo , amani n.kIna tegeme una fanya study kwa mtindo gani kama ni una angalia ma file ya watumishi tu?
Labda Kuna "invincible hand", inalipeleka Taifa letu somewhere ambako hata wao hawajui.Mwingira aliwahi kusema kuwa ikulu kuna shetani,I second him
Wakristo Wana chuki Sana na Waislamu,Cha ajabu Waislamu Wala hawawachukii wakristo!Niliajiriwa mwaka 2009, nilikutana na fomu yenye vipengele vyote hivyo. Mwaka 2019 tulitakiwa ku-update taarifa zetu kwa kutakiwa kujaza cv iliyoandaliwa serikalini na ilikuwa na vipengele vyote ninavyoviona hapo; hakukuwa na kelele wala miguno ya kidini kwa kiongozi aliyekuwepo. Kwa sasa tangu achukue nchi mama samia nimejifunza yafuatayo;
1. Samia anachukiwa sababu ya dini yake tu basi. Kila anachofanya lazima KILAZIMISHWE kuhusishwa na dini yake na kikihusishwa na dini yake basi lazima ILAZIMISHWE kuwa kapendelea dini yake. Hali haikuwa hivyo kwa mtangulizi wake aliyeleta upendeleo sio wa udini tu bali hadi ukabila.....alisifiwa na kutukuzwa huku habari ya udini wake wa wazi na ukabila hata haukusemwa! Mapungufu meeengi tunayoambiwa ya samia, ukweli uliofichika ni chuki dhidi ya dini yake tu asingekuwa dini hiyo ninaamini hata tusingesikia. Hata huyu Kikwete asiyekoma kutukanwa na kuhusishwa na utawala wa mama samia, sababu kuu ni dini yake tu. Mkapa angelikuwa hai hata usingesikia mashambulizi yoyote dhidi yake.
2. Chuki na hila za maadui kumbe huleta baraka sana; tutulie na kuwapenda tu maadui Mungu yupo na anaangalia na analipa. Nimejifunza hili kutoka kwa mwinyi, kikwete na sasa huyu mama samia. Hawa watu hukuti jema linasemwa kuhusu wao humu mitandaoni. Ni taarifa hasi tu dhidi yao kuwa hawajui kuongoza, wana udini, hawajaleta maendeleo yoyote n.k Yanasemwa hayo huku waliokuwa wadini haswa wakiachwa, wenye roho mbaya wakiachwa, wenye upendeleo wa wazi wa kikanda wakiachwa. Uungwana wao wa kuwapenda watu na kuwapa furaha kwa kuwamwagia ajira na fursa zingine unafichwa ndani huko. Lakini mwisho wa yote Mungu anawafariji kwa kuwapa umri mrefu wenye furaha na vizazi vyema vinavyochipua (sote ni mashahidi hapa).
Kabila na dini havina maana zaidi ya uchawi/tambiko tu na ubaguziKuna watu wanatetea wanasema ni kawaida.
Mimi najiuliza Dini, Kabila vinasaidia nini ktk utendaji wa mtumishi.?!
Tunataka kujua Kabila lake, leo, na yupo kazini miaka, tulishamuajiri kwa vigezo vya elimu, uzoefu, ujuzi,n.k.
Kabila la nini leo? Tumpandishe Cheo kwa kabila, au tupime utendaji wake kwa Dini?
Taarifa za dini sio muhimu, badala ya kulazmisha dini kwa kigezo cha kifo ni vyema hao watumishi wafundishwe kuandika wosia au wawe wanajaza fomu fupi za wakifa wanataka wazikweje.Taarifa za dini ya mtu ni muhimu. Labda hatujakaa tufikiri vizuri tu.Mfano, watumishi wanakufa kila leo na wanahitaji huduma kwa mujibu wa dini zao. Kama serikali haina taarifa sahihi itawahudumiaje hawa watu?
Umeongea fact mkuu!Niliajiriwa mwaka 2009, nilikutana na fomu yenye vipengele vyote hivyo. Mwaka 2019 tulitakiwa ku-update taarifa zetu kwa kutakiwa kujaza cv iliyoandaliwa serikalini na ilikuwa na vipengele vyote ninavyoviona hapo; hakukuwa na kelele wala miguno ya kidini kwa kiongozi aliyekuwepo. Kwa sasa tangu achukue nchi mama samia nimejifunza yafuatayo;
1. Samia anachukiwa sababu ya dini yake tu basi. Kila anachofanya lazima KILAZIMISHWE kuhusishwa na dini yake na kikihusishwa na dini yake basi lazima ILAZIMISHWE kuwa kapendelea dini yake. Hali haikuwa hivyo kwa mtangulizi wake aliyeleta upendeleo sio wa udini tu bali hadi ukabila.....alisifiwa na kutukuzwa huku habari ya udini wake wa wazi na ukabila hata haukusemwa! Mapungufu meeengi tunayoambiwa ya samia, ukweli uliofichika ni chuki dhidi ya dini yake tu asingekuwa dini hiyo ninaamini hata tusingesikia. Hata huyu Kikwete asiyekoma kutukanwa na kuhusishwa na utawala wa mama samia, sababu kuu ni dini yake tu. Mkapa angelikuwa hai hata usingesikia mashambulizi yoyote dhidi yake.
2. Chuki na hila za maadui kumbe huleta baraka sana; tutulie na kuwapenda tu maadui Mungu yupo na anaangalia na analipa. Nimejifunza hili kutoka kwa mwinyi, kikwete na sasa huyu mama samia. Hawa watu hukuti jema linasemwa kuhusu wao humu mitandaoni. Ni taarifa hasi tu dhidi yao kuwa hawajui kuongoza, wana udini, hawajaleta maendeleo yoyote n.k Yanasemwa hayo huku waliokuwa wadini haswa wakiachwa, wenye roho mbaya wakiachwa, wenye upendeleo wa wazi wa kikanda wakiachwa. Uungwana wao wa kuwapenda watu na kuwapa furaha kwa kuwamwagia ajira na fursa zingine unafichwa ndani huko. Lakini mwisho wa yote Mungu anawafariji kwa kuwapa umri mrefu wenye furaha na vizazi vyema vinavyochipua (sote ni mashahidi hapa).
Point kubwa:Mkuu weighing out the balance shows kuna faida kubwa kuyaacha hayo kuliko kudeal nayo, tunaweza kurudishwa mbali tulikotoka kwa njia ya shortcut, hao watu ni hatari sana kwa mistakabali wa taifa letu, can you imagine tunavyoinjoi the diversity nchi hii, tunachanganyikana makanisani, misikitini, makazini, masokoni, mashuleni mitaani , michezoni n.k jambo kubwa ambalo ss kwa kulizoea tunalichukulia poa , angalia walikolikosa kwa wenzetu limewagharimu maisha yote : uhai, uchumi , maendeleo , amani n.k
Shetani ni shetani tu hawezi kosa reason fulani ya kudanganyia ili apenyeze upuuzi wake, lazima atunge ushawishi ili akubalike,