Watumishi wa Umma waombwa na Hazina kuorodhesha Dini na Kabila zao. Rais Samia na Wasaidizi wako, haya yanafanyika kwa lengo gani?

Mimi Bora wale rushwa watakavyo, ila wasiguse kabisa hii misingi midogo midogo inayofanya tuendelee kujiona wamoja.

Naumia siwezi hata kuelezea.
Sasa unaumia nini what if itatumika kuleta usawa?!

Isnt the national cake for all?
Unahofia utapoteza kitengo?.!
 
Tunataka kujua Wachaga wako wangapi
 
Tatizo liko wapi ?
 
It also could be you had your own answer which isnt mine; If am to ask, was this an exam or a dialogue? If at all you know what it means to communicate...Kila la heri!
 
Hiyo CV Ni ya mtumishi wa serikali kweli?
Haina proof yoyote.

Ila Kama ni kweli,huu ni ujinga.
Mtu anaweza kubadili dini muda wowote.
 

Kwenye rekodi za ajira wanaweka mpaka kabila la mtu, dini, kijiji anachotokea, mtu maarufu kijijini kwao n.k

Walioajiriwa wanajua hili. Hiyo ni mwanzoni kabisa wakati faili linafunguliwa.

Acheni kupotosha watu
 
Hizi ni taarifa za kawaida kwenye mikataba ya Ajira serikalini.Mtoa mada inawezekana Kuna Jambo la ziada unalojua au umejenga hofu tu.Suala la kumlalamikia Rais Samia halina mashiko kwasababu huu ni utaratibu Wa siku nyingi.
ndio hata mim nimeshangaa.maana nilojaza hizo particulars miaka ming kwel kwel nakumbuka muda 2011 sijui.ndio maana nashangaa kipi kipya?
 
Uchifu haujawahi kufutwa Tanzania ila yale mamlaka na priviledges za kichifu ndo ziliondolewa. Marais wote kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli walisimikwa uchifu katika maeneo mbalimbali ya nchi. Hata akina Tundu Lissu na Mnyika wameshasimikwa uchifu katika ziara zao mbalimbali
 
Ilikuwa uchifu sasa dini na kabila.Ngoja tusubiri tuone tunapelekwa wapi.
 
Nashauri huu uzi ufutwe.
haufai wala hauna tija zaidi ya kuchochea na kueneza chuki.
kwa maslahi ya Taifa letu ufutwe kabisaa.
 
Mbona hizi form tumijaza tangu enzi za ukoloni na hata ukienda Polisiau hospitali unaulizwa? Mahakamani kwa kina mbowe na wenziye sasa hivi wanauliza. Kabila ni asili yetu, tunazifurahia (kutuunganisha) bila kuziabudu kututenganisha kama CHADEMA wanavyofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…